Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nimejiuliza maswali mengi juu ya huyu bonge Mzimbabwe ambae ana kashfa kubwa ya ufisadi kwenda huko Kizimkazi na kumkubatia rais Samia ambaye kwa sasa yupo eda. Je hii ni sahihi? 👇
6 Reactions
49 Replies
615 Views
Wanabodi, Leo kuna SMS nimetumiwa, nilipoisema humu hiyo SMS imeleta kizaazaa! hadi kufikia kutoleana maneno mabaya kwa baadhi ya watu humu kutoleana maneno ya kufuru kwa Mwenye Enzi Mungu...
10 Reactions
59 Replies
5K Views
Nimeikuta mahali, confirm maana inaleta ukakasi mkubwa. Najua watu walishalipwa amnbako bomba litapita. Sasa hii tena inatoka wapi.
1 Reactions
3 Replies
265 Views
Leo ndugu Lema, mbunge wa zamani wa Arusha mjini ambaye pia ni mnufaika wa michango ya CHADEMA kama tonetone, join the chain na mingine mingi, katoa salamu za pole kwa Mheshimiwa Rais Mama Samia...
1 Reactions
7 Replies
266 Views
Mwandishi wa habari kutoka Wasafi Media, Charles William, ameeleza kuwa urasimu katika upatikanaji wa kibali na ukomo wa uhuru wa kihariri ndivyo vitu vinavyovizuia vyombo vya habari vya serikali...
0 Reactions
1 Replies
32 Views
Wazungu wanazema time will tell! Time has spoken now. KIFO NI KIFO LAZIMA KILETE TAHARUKI. Haya yote watu kwenda Kizimkazi ni kwa vile KIFO SIYO KIFO, LAZIMA KILETE TAHARUKI. Nadhani kuna SOMO...
0 Reactions
1 Replies
40 Views
Maana siku za hukumu huwa kuna vimbwanga vituko na taharuki za za kila aina. Kwa mtazamo wako huru, unadhani siku ya hukumu ya uhaini, hali itakuaje kizimbani wakati au baada ya hukumu kusomwa...
0 Reactions
0 Replies
30 Views
Sijui kama wengi wanajua ni kwanini Mwigulu aliteuliwa waziri mkuu pamoja kutofaa kabisa. Kwa wajuao, aliteuliwa ili kupingana na Tundu Lissu wanayetoka mkoa mmoja. Hivyo basi, Mwigulu si waziri...
6 Reactions
22 Replies
372 Views
Makomredi tayari dalili zimeonekana kuwa mwenyekiti wa chama rafiki CHADEMA anaweza kukutana na hukumu kali kwenye kesi ya uhaini inayomkabili. Hukumu ya hili kosa ni kunyongwa mpaka kufa ila mara...
0 Reactions
17 Replies
238 Views
Waziri wa Mambo ya ndani Patrobas Katambi akalia kuti kavu. Yaani ni kwamba hapo alipo ni mguu mmoja nje mguu mmoja ndani.. Yaani mguu mbele mguu nyuma. Sijajua ni nini kimetokea kati yake na...
6 Reactions
26 Replies
804 Views
Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani nchini Tanzania kwa mwaka 2020,huenda ukawa uchaguzi bora kuliko yote au uchafuzi kuliko yote toka tuingie chaguzi chini ya mfumo wa vyama vingi 1995...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimewaza tu kwa sauti na kwa maono ya Kimadhabau, Je yawezekana Rais akatokea huko mbeleni (Sisemi wa sasa) akaomba kupimzika kwa maslahi ya Taifa? 1. Inaweza kuwa ni kweli anataka kupumzika...
21 Reactions
117 Replies
3K Views
Hapa kijijini kwetu kuna muungano wa familia mbili unashangaza sana, huu muungano ulianzishwa Mara tu baada ya simba alokuwa akila watu kufukuzwa, familia zikabaki na hofu kubwa sana, Sasa...
14 Reactions
51 Replies
5K Views
== David Zacharia Kafulila was introduced by TICD to Tanzanians as the Executive Director of the Public Private Partnership Center in Tanzania. He is a highly accomplished Tanzanian professional...
4 Reactions
35 Replies
346 Views
Akichangia mjadala kwenye kituo cha demokrasia MH wasira alisema tujihadhari sana na kupunguza nguvu ya rais , kwa mazingira yetu tukimpunguzia sana rais nguvu nchi haitapata maendeleo. Hizi akili...
11 Reactions
61 Replies
572 Views
Mke ambaye ni wa pili katika ndoa, endapo mume wake amefariki dunia, je, naye anatakiwa kukaa eda (iddah) kwa muda uliowekwa katika Sharia? Na katika kipindi hicho, je, anapaswa kupewa faraja na...
3 Reactions
12 Replies
174 Views
Wakuu JF amani iwe nanyi, Baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kumkuta Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, na kesi ya kujibu kwenye mashtaka ya uhaini, mjadala mkubwa umehamia kwenye orodha ya...
1 Reactions
3 Replies
135 Views
Watu weusi tunakua kama nyani hata nyani hawafanyi huo upumbavu sisi kweli sio binadamu kamili kupishana mitazamo ndo kiwe kisa cha kumweka Dr Nchimbi kizuizini alafu sisi wana CCM tuko kimya kosa...
18 Reactions
57 Replies
843 Views
Wanabodi Hii ni Safu yangu mpya ya Taamuli Huru ya Gazeti la Mwananchi, kulaletea wana JF, makala zangu kwenye gazeti la Mwananchi, ili kikitokea kile nilichokishauri, niwe nakumbushia tuu...
8 Reactions
18 Replies
492 Views
Back
Top Bottom