BIDHAA BANDIA ZINAHATARISHA MAISHA YA WANANCHI-DKT. MWIGULU
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kupambana na biashara ya bidhaa bandia kwa kuwa zinakwamisha ukuaji wa...
Serikali ya Tanzania imeendelea kuonesha dhamira yake ya kujitegemea kifedha katika uendeshaji wa shughuli za maendeleo na huduma za umma, huku ikieleza kuwa takribani robo tatu ya bajeti yote ya...
We are living in a new country with relatively new fundamental values, but often disguised in the language of old values and norms. Nowadays, the ability to make deals and act as a middleman can...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amewahakikishia amani na utulivu wananchi wa Tanzania huku akiwataka kuendelea na shughuli za kiuchumi na maendeleo hata katika tarehe inayotajwa...
Kamati ya Bunge la Ulaya ya haki za binadamu imepokea ushahidi kuhusu madai ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Tanzania katika kikao maalum.
Soma: Mke wa Lissu abubujikwa machozi akitoa...
International relations nightmare wanayopitia kutoka kwa jumuiya ya kimataifa na public outrage nyumbani haijawahi kutokea tangu nchi iasisiwe.
Mabunge ya dunia yanawajadili, yanawapangia...
Friends and Our Enemies,
Kauli alizozisema sheikh mwaipopo na za kuungwa mkono na kila mzalendo na mpenda amani wa taifa letu.
Hakuna ubaya kabisa kama watu wanaopanga uhalifu kama walioufanya...
Kampuni za Algeria zatafuta wabia wa biashara na uwekezaji Tanzania
Kampuni za Algeria zinazojishughulisha na uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zikiwemo za viwandani na kilimo zinatafuta wabia wa...
Baadhi ya watu wanadhani fursa za huu utalii tena wa mikoa mingine unatakiwa kunufaisha kwao tu
Ni vita kubwa sana hii, kwa sasa tunasikia milio kila muda panaposikika habari za ujenzi wa uwanja...
Mbunge wa Baraza la Wawakilishi na Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu, Simai Mohammed Said akihojiwa na waandishi wa habari baada ya kupitisha bajeti kuu ya Serikali leo Juni 23, amekwepa kumtaja Yuda...
Indicator iwe ni kero ya ardhi mkoani na wilayani kwake; mfukuze.
Wakuu wa Mikoa na Wilaya kama watafanyakazi za kuhudumia wananchi vizuri badala ya kujihudumia wao wenyewe hautakuwa na sababu ya...
Mara nyingi serikali umesema haihusiki na vitendo vya kuteka na kuuwa raia wake ila kwa muongo sasa vitendo hivyo vimeshamiri nchini.
Nakumbuka Waziri mkuu ndugu Nchemba alisema kuwa utekaji na...
Sawa ni kazi nzuri wanaifanya EU, lkn maneno maneno, vikao hawa watu hawayaogopi! Wanaogopa kufa ingawa wao wanaua! madikiteita wanataka vitendo.
Madulo asingelitoka bila vitendo, maana USA...
Kwanza sio LAZIMA Kila kitu tusubiri viongozi wananchi wenyewe wajiorganize hapo waone namna ya kutatua hiyo changamoto
Pia uvumilivu ni jambo la muhimu sana Bora kuchota maji na ndoo ziwani Kwa...
Kwa miaka mingi suala la utekaji na kupotea kwa watu si jambo geni kwa sisi tuliokula chumvi nyingi kwa sababu mbalimbali
Kwa sasa msukumo mkubwa umekuja kwa kuimarika technology na vijana wengi...
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la NIPASHE la leo 1/09/2024
Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala zangu elimishi za Kwa Maslahi ya Taifa ambazo huwa na swali, hoja kisha jibu...
Wanabodi,
Mafundisho yote ya dini yanafundisha kuwa "Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu", kwa lengo la kuwathibitishia waumini wote wa dini zote kuwa tawala...
Baadhi ya askari wa jeshi la polisi wakitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) na kamanda wa polisi mkoa wa Tabora, Richard George Abwao aliyefariki...
Nashauri Serikali iunde kitengo maalumu cha kutathmini utendaji wa taasisi za umma na kupokea malalamiko pamoja na maoni ya wananchi. Kitengo hiki kiwe na ofisi hadi ngazi ya wilaya na kiwe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.