Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa afya na umri wake, Museveni apaswa kubadili katiba ili amteue ima mkewe au mwanae ili lolote likitokea kama litakavyotokea, achie usukani na familia iwe salama. Kkkkk. Unaweza kuzuia kupinga...
2 Reactions
6 Replies
147 Views
Huyu hapa ni miongoni mwa Wanaojiita Mabilionea huku haifahamiki anachomiliki popote Tanzania, kwenye page yake kaweka haya mambo Sasa wanaokanusha kwanini wasianze na hawa vijana wajinga ili...
37 Reactions
142 Replies
6K Views
Je unaweza kumpa kiongozi heshima kama unajua hajashinda uchaguzi! Watu wanatumia neno mheshimiwa kwa wale wawakilishi halali wa wananchi sasa kama wewe umeiba kura na kila mtu anajua au wewe...
6 Reactions
5 Replies
98 Views
hahaha kakutana na wababe wenzake, sasa anapata wapi uhalali wa kumvamia muslim ayatola kwa kosa la kudili na waandamanaji? kaweka mpira kwapani. D.Trump labda amepuuzia ukweli kwamba walioiweka...
3 Reactions
26 Replies
537 Views
Habari ndio hio kwa kifupi. Wakati wao ukifika, watatia huruma sana. Akichomoka kipindi hiki yuko madarakani, anaweza kuja kukabidhiwa ICC na mrithi wake kwa mshangao wa wengi kutokana na...
17 Reactions
40 Replies
589 Views
GT Hili jambo linaudhi sana Kinachofanya Tundu.lissu akae mahabusu mpaka sasa ni kitu gani maaana hatusiki hata ratiba ya kesi yake. Tumeona huko Venezuela wafungwa wa kisiasa zaidi ya 400...
17 Reactions
37 Replies
652 Views
DKT. MWIGULU AKUTANA NA PROF. MKENDA NA TIMU YA WATAALAM YA WIZARA YA ELIMU Waziri Mkuu, Dkt.Mwigulu Nchemba leo Januari 15, 2026 amefanya kikao cha kazi na Waziri wa Elimu , Sayansi na...
1 Reactions
2 Replies
148 Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi akizungumza mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje Ulinzi na Usalama(NUU), inayoongozwa na Mwenyekiti wa kamati,Najma Murtaza Giga...
2 Reactions
4 Replies
222 Views
Askofu Kalikawe Lwakalinda Bagonza kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Facebook anasema: RAIS APOKEE NYONGEZA YA KERO Mh. Rais Samia amewatubia Majaji na Mahakimu. Ametumia fursa hiyo kueleza...
15 Reactions
12 Replies
415 Views
Ni kupokezana kijiti kwa familia ya Karume na Mwinyi kuwa marais wa Zanzibar. Lakini aliyempindua Sultan Jamshid ni John Okello. Ambae hakufaidi hata kwa tone mapinduzi ya Zanzibar. Leo hii...
10 Reactions
48 Replies
764 Views
Kwako Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA Ni wazi CDM mnapoteza focus maana Kama alivyosema E Lowassa mwaka 2015 kuwa Chama chenu ni wana harakati zaidi kuliko wanasiasa. Wanaharakati huenda na...
37 Reactions
115 Replies
8K Views
Moja ya mbinu ambazo kwa muda mrefu wanasiasa wamekuwa wakizitumia kufanikisha malengo yao ya kisiasa ni kutoa ahadi za kimkakati zinazolenga makundi maalumu ndani ya jamii. Siku chache baada ya...
0 Reactions
2 Replies
145 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema mwaka 2025, Tanzania ilikabiliwa na vurugu wakati wa uchaguzi ambazo hazijawahi kutokea tangu nchi...
1 Reactions
9 Replies
280 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameeleza kuwa diplomasia ya Tanzania imepita katika mtihani mzito zaidi tangu uhuru kufuatia matukio ya...
-5 Reactions
25 Replies
498 Views
Africa sijui tutakuja kuamka lini aisee Unaona viongozi wanapambana sana na Internet linapofika suala la mambo ya msingi mustakabali wa maisha yetu na kutaka haki na utawala bora. Ukweli ni...
5 Reactions
8 Replies
166 Views
Soma pia: Museveni Vs Bobi Wine: Uzi Maalum wa kinachoendelea kwenye Uchaguzi Mkuu nchini Uganda 2026
3 Reactions
23 Replies
578 Views
Akiongea katika Kituo cha Hija cha Pugu Jimbo Kuu la Dar es Salaam Baba Askofu Ruwaich amewasisitiza wakatoliki kubaki kuwa wakatoliki. Amesema tusiwe wakatoliki wa vijora na kuhongwa. Awali...
31 Reactions
144 Replies
2K Views
Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akipokea...
40 Reactions
323 Replies
64K Views
https://www.youtube.com/watch?v=Vb7IeyvxrtE Mzee wetu Mohamed Said ameeleza historia ya chimbuko la BAKWATA. Amesimulia kwa kina mchakato wa kuivunja East African Muslim Society na kuanzisha...
3 Reactions
5 Replies
152 Views
GT Hakuna asiyejua contents creator wengi wa Tanzania ni propaganda machines za CCM . Hivi wanaombewa 2B kwa lipi kwanza. Hivi hili taifa halina vipaumbele hadi tunaenda kwenye biashara za watu...
1 Reactions
13 Replies
205 Views
Back
Top Bottom