Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wote tumeona na kusikia kauli na matamshi ya viongozi wa chadema Toka mwaka Jana kiasi cha kusababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu yetu ambayo imejengwa kwa garama kubwa, uharibifu huu...
0 Reactions
79 Replies
731 Views
Wakuu, Kama mtakumbuka uzi wangu uliopita, nilieleza jinsi fedha za VIP Engineering zilivyosambazwa kwa wanasiasa wa chama tawala wakiwemo viongozi wawili wa juu wa Upinzani. Sasa mambo yanaanza...
15 Reactions
973 Replies
95K Views
Napenda kuwatia moyo kuwa katika mapambano haya ya kudai Haki na usawa katika nchi hii hampo peke yenu. Mwamko ni mkubwa sana huyu nyoka CCM apondwe kichwani afe. People's, people's, people's...
11 Reactions
51 Replies
551 Views
Hiyo katiba mpya itakujaje huku mnahubiri vurugu, huku mnafanya uchochezi, huku mnahujumu uchumi wa nchi, inamaana viongozi wa chadema hawayaoni haya? Nadhani ni vihio/vilaza wote Ukiwaona...
0 Reactions
56 Replies
437 Views
Katika mahojiano maalum yaliyorushwa na M&S Podcast, Juni 24, 2026, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, Prof. Mussa Juma Assad, amefafanua kuwa kiongozi bora ni yule...
2 Reactions
1 Replies
118 Views
Kwenye vita huwa hatushambulii kulia, kushoto, mbele na nyuma lazima uache njia ya kukimbilia ukizidiwa. Baada ya kusikia Mke wa Lissu na Dada wa Polepole kwenye bunge la Ulaya niseme kuwa hakuna...
61 Reactions
123 Replies
3K Views
Kuna viongozi wa awamu ya 6 wengi wao ni wasomi wa level ya PhD na Profesa kwenye finance bill ya bajeti ya 2026 wameamua kuwapa msamaha wawekezaji wa madini wasilipe share ya 16% na loyalty fee...
2 Reactions
7 Replies
170 Views
Utafiti wetu unaonyesha kwamba, katika watu 100, Watu 80 wanafuatilia Mikutano ya hadhara ya Chadema kote inakopita, huku Watu 20 Pekee wakifuatilia michuano ya kombe la Dunia, Hakuna...
6 Reactions
23 Replies
349 Views
Huu ni Mkutano wa Saa 6 Mchana, Wananchi wamesubiri tangu saa 12 asubuhi, wengi wao wakiwa na miswaki ya miti mdomoni na mataulo kiunoni Tukutane Tunduma
17 Reactions
36 Replies
593 Views
Inatokana na nini? Kuharibu misitu? Kwani western europe hakuna misitu? tuel,ishane
0 Reactions
1 Replies
93 Views
Naibu Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina akizungumza leo Juni 23, 2026 alipokuwa akichambua Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2026/27. Pia soma ~ Mpango wa LATRA kusitisha...
4 Reactions
8 Replies
364 Views
Kadiri siku zinavyosonga mbele, PB ya Mawinguni inaonekana kupoteza sehemu ya mvuto na ubora uliowahi kujengwa na majina makubwa kama Masoud, Fetty na Siza. Ingawa bado ina mashabiki wake, wapo...
2 Reactions
12 Replies
206 Views
Jukwaa la Vijana la CHAUMMA limeikosoa Bajeti Kuu ya Serikali ya Sh trilioni 62.33 kwa mwaka 2026/2027, likidai ni "kiini macho" kinacholinda matumizi ya viongozi huku wananchi, hasa vijana...
2 Reactions
5 Replies
108 Views
Selective prosecution ni Nini? Ni hali ambapo mamlaka ya mashitaka, kama DPP, wanaamua kumshitaki mtu mmoja lakini wakaacha watu wengine waliotenda kosa hilo bila mashitaka. Kwa maneno mengine...
5 Reactions
8 Replies
150 Views
Mara.zote.watawala wakiishiwa nguvu hizi ndo mbinu wanazoweza kuzitumia maana kuua siyo suluhisho. 1. Divide them and rule.. 2. Fake Propaganda and illusions.. 3. If you can't convince them...
3 Reactions
8 Replies
271 Views
Katika hotuba yake ya hivi karibuni mkoani Njombe, Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson alitoa maagizo yanayoshtua. Baada ya kuwaonya watumishi wa umma dhidi ya kuvujisha "siri za serikali," alitangaza...
1 Reactions
0 Replies
94 Views
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Songoro Mnyonge ametoa agizo la kusitishwa kwa gulio la Biafra akibainisha kuwa, Gulio hilo linauza bidhaa ambazo zinauzwa kwenye masoko mengine yaliyopo...
0 Reactions
1 Replies
87 Views
Kalenda ya Mahakama kwa mwaka 2024 ilianza rasmi tarehe 1/ 02/ 2024 na inatarajiwa itaisha pengine Desemba 15/ 12/ 2024. Mahakama ya Rufani wametoa ratiba ya kesi za Februari 2024 peke yake...
0 Reactions
44 Replies
3K Views
Back
Top Bottom