Whilst I am not against this idea or Prof Katima whatsoever (Soma hapo chini). As an Alumni at this very institution I am inclined to believe kwamba siasa inaua hiki chuo especially the College of...
Na Aristariko KONGA
UCHUNGUZI wa matumizi mabaya ya fedha katika Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) umemuumbua Mkurugenzi Mtendaji, Dk. Idris Rashidi.
Miongoni mwa mambo ambayo yamegundulika...
Naombeni kuuliza? Huu mtindo wa wafanyabiashara haswa hawa wenzetu wenye asili ya Kiasia kutaka publicity wanapotoa misaada inanikera! Hebu angalieni hii picha hapa chini ya
huyu mhusika wa...
NCCR Mageuzi leo imefungua kesi mahakamani ya kuishinikiza serikali ivunje tume ya taifa ya uchaguzi na iunde nyingine ambayo itakuwa huru kabla ya 2010,
Swali je ktk muda mchache huu uliobaki...
mjadala umeshakuwa wa wazi sasa ambapo mwanzo tulikuwa tunanong'ona. Je unadhani kuna mwanaccm ambaye ni kuntu kupokea kijiti kutoka kwa muungwana???
lete jina na wasifu tuchambue hapa...
Na Mwandishi Maalum
NIMEFUATILIA kwa siku nyingi sana kelele zinazopigwa na viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuhusu kile kinachoitwa kuwa ni "kashfa" ya...
Hivi bakuli la serikali analolitembeza rais wetu mheshimiwa sana JMK kwa watu weupe na lile bakuli la ombaomba Matonya je zina utofauti?
Matonya alikuwa mzee, wengine hawana mikono, miguu, elimu...
Baada ya mtifuano uliotokea hivi karibuni ambapo wanasiasa wakongwe nchini Joseph Butiku na Matei Qaresi kueleza udhaifu wa raisi kikwete katika uongozi wake kwa kushindwa kufanya maamuzi...
EPA scandal: Dar law firm continues to evade prosecution
By ThisDay Reporter
14th December 2009
The BOT Twin Towers headquarters in Dar es salaam
MYSTERY continues to surround the...
Tunataka kufahamu reaction ya wananchi huko Tanga leo imekuwaje? Je Chadema bado wana momentum ile ya mwanzo? Mnyika njoo utupe jibu humu ndani na tunataka na pícha za umati!
Habari wakuu, Naomba tujaribu kukitathmini Chama cha Mapinduzi, Mimi nakipa 0% Kwasababu toka kimeanza ni miaka chungu nzima na hakikustahili kuwa hapa kilipotuweka. Toa tathmini yako kwa...
Clouds FM yatusaliti!
The whole week PJ wa Power Breakfast (clouds FM) alikua anatembelea migodi ya Barrick. Akaja na bla bla bla kwamba wamepeleka maendeleo katika vijiji vilivyo zunguka...
Foreign Affairs and International Cooperation minister Bernard Membe has expressed his governments displeasure at the conduct of Canadian diplomat Jean Touchette whom allegedly spat on a traffic...
Baada ya kuwa mwangaliaji wa muda mrefu kuhusu masuala ya ufisadi, ningependa kusema kuwa hakuna kitu kinachoitwa vita dhidi ya ufisadi.
Haya ni maoni yangu binafsi na sina nia ya kuwakatisha...
Ilishawahi kusikika: 'Kelele za mlango hazitunyimi usingizi'
---
Wiki moja iliyopita:
'Pamoja na watu kulalamikia safari zangu, ukweli ni kuwa nalazimika kusafiri kwa kuwa safari zangu...
Halmashauri kuu ya chama cha NCCR-Mageuzi imemaliza kikao chake cha siku mbili jijini Dar, leo jioni.
Katika kikao hicho, wanachama wapya waliohamia kutoka chama kingine walihudhuria kama...
It has always bothered me. Anytime we have a serious debate or discussion in the country on corruption or there is a new scandal erupting you'll hear that a so and so donor country has given...
Wakuu,
Nafikiri tumefikia hatua ambapo kuna haja ya kubadili katiba yetu ili Rais anayechaguliwa katika uchaguzi mkuu akae madarakani kwa kipindi kimoja tu kisichozidi miaka mitano. Hii...