Amanikwenu
Senior Member
- Dec 1, 2009
- 187
- 0
Wakuu,
Nafikiri tumefikia hatua ambapo kuna haja ya kubadili katiba yetu ili Rais anayechaguliwa katika uchaguzi mkuu akae madarakani kwa kipindi kimoja tu kisichozidi miaka mitano. Hii itatusaidia sana kuepukana na matatizo ambayo yanatokana na udhaifu wa kiongozi wa juu katika nchi zetu.
Kwangu mimi miaka mitano inatosha sana kwa Rais kufanya kile ambacho amepanga kuifanyia nchi yake na watu wake.
Naomba kuwasilisha.
Nafikiri tumefikia hatua ambapo kuna haja ya kubadili katiba yetu ili Rais anayechaguliwa katika uchaguzi mkuu akae madarakani kwa kipindi kimoja tu kisichozidi miaka mitano. Hii itatusaidia sana kuepukana na matatizo ambayo yanatokana na udhaifu wa kiongozi wa juu katika nchi zetu.
Kwangu mimi miaka mitano inatosha sana kwa Rais kufanya kile ambacho amepanga kuifanyia nchi yake na watu wake.
Naomba kuwasilisha.