Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mufti Mkuu na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dkt. Abubakar Zubeir bin Ally, amewakosoa vikali viongozi wa dini (masheikh na waalimu) kwa kukaa kimya wakati viongozi wa nchi—wakiwemo Rais, Serikali na...
3 Reactions
14 Replies
185 Views
Na kwakuwa CCM wengine ni fuata upepo ukweli upo mioyoni mwao, Hiyo ndiyo habari iliyopo mezani
0 Reactions
1 Replies
48 Views
Nakumbuka kauli ya JK na hapa namnukuu "Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani" kauli hiyo ni ya kijasusi na yenye mlengo wa kuwafanya wanachama na viongozi wandamizi kutoaminiana. Leo gazeti...
33 Reactions
129 Replies
13K Views
Habari wana wa Mungu jf popote mlipo, amani Bwana ikawe juu yenu. Mungu akanionesha yeyote aliye nyuma kuhujumu mwana wa Mungu Lissu sio muda atakufa mdomo wazi. Mwachieni mapema sana...
2 Reactions
33 Replies
344 Views
Leo wakati napitia magazeti ya zamani nimekutana na habari kwamba Aboud Jumbe alikamatwa na kuwekwa katika kifungo cha nyumbaji na Rais Mwl.Julius K. Nyerere. Nimejaribu kufukua ili kujua sababu...
9 Reactions
89 Replies
20K Views
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa imemteua Ndg. Emmanuel Nchimbi kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Nchimbi anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Daniel...
17 Reactions
277 Replies
84K Views
Mimi binafsi niliona mahakama imepoteza mwelekeo kitendo cha kukubali kujenga vibanda vya njiwa ndani ya mahakama kisa Tundu Lissu...
3 Reactions
7 Replies
246 Views
Kama atakutwa na hatia ya uhaini na kupewa msamaha wa Rais atakuwa na sifa za kugombea udiwani, ubunge, urais na cheo kingine chochote. Kama lengo ni kumzuia kugombea urais tumnyonge au tumwache...
4 Reactions
9 Replies
120 Views
Kuna kila dalili ya Ema The Boy kung'atuliwa ila ni namna na wakati sahihi wa kumng'atua ndiyo Kizungumkuti. Inadaiwa katumiwa rafiki yake Jasusi Kutoka TISS, Ema kamjibu kawaambie waliokutuma...
18 Reactions
51 Replies
1K Views
Mbowe alizoea kuishi kwa siasa za kilaghai siasa kupitia damu za watu na kutengeneza wealth. Alivyokuja mwamba Magufuli akaona kumbe upinzani wanapiga kelele then unawaita Ikulu unawapa bahasha...
7 Reactions
105 Replies
3K Views
Leo ni siku ya kuzaliwa mtume Muhammad S. A.W,kiongozi wa kiislamu. Tutaangazia kidogo kuhusu msimamo wa Mtume Muhammad ktk swala la kutoa haki ktk vyombo vya mahakama. Upi ulikuwa msimamo wake...
5 Reactions
16 Replies
178 Views
Yote hii ni matakwa ya watu watano tu chamani yatimizwe, CCM yote kwa sasa iko kwa watu watano tu!na sio timu tena! Wengine wote wanaburuzwa tu, hawana cha kuamua wala chakulaani, ni watu wanao...
5 Reactions
16 Replies
295 Views
"Mtu mwenye akili akikushauri jambo la kipumbavu nawe ukafanya, atakudharau"- J.K Nyerere Mwaka 2023 nchi nzima iligawanyika sana. Watu wanamtetea MAMA na mradi wake wa DP World. Vinara wa huu...
55 Reactions
230 Replies
4K Views
Kumekua na kelele nyingi kuhusu huu muhimili wa mahakama kupokea maelekezo kwenye kesi ambazo serikali inakua na interest . Tuliona kwenye kesi ya Mbowe pamoja na kukutwa na kesi ya kujibu lakini...
0 Reactions
5 Replies
52 Views
𝗗𝗞𝗧. 𝗠𝗪𝗜𝗚𝗨𝗟𝗨: 𝗧𝗨𝗘𝗡𝗗𝗘𝗟𝗘𝗘 𝗞𝗨𝗟𝗜𝗢𝗠𝗕𝗘𝗔 𝗧𝗔𝗜𝗙𝗔 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗨𝗠𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗔𝗠𝗔𝗡𝗜 WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania kuendelea kuliombea Taifa na kudumisha amani, akisema amani ni msingi unaowezesha...
2 Reactions
6 Replies
107 Views
Hamjambo! Bila kuwa na maneno mengi. Ni hakika katika nchi yetu kama ingekuwa zamani basi leo hii tungekuwa na Nabii aitwaye Tundu Antipas Lissu. Anatimiza vigezo vyote vya kuwa Nabii...
12 Reactions
40 Replies
348 Views
In fact kujiuzulu ni ushamba. Kwanza unajiuzulu ili umuuachie nani ulichokitafuta mwenyewe kwa nguvu na jasho lako usiku na mchana kwa niaba ya waTanzania wote? Lakini pia unajiuzulu ili uende...
6 Reactions
100 Replies
991 Views
Kiufupi hii nchi Kwa Sasa Kuna watu wamepata pesa nyingi sana ,kupitia ufisadi wa kiserikali kuliko walivyopata pesa nyingi kupitia madawa ya kulevya huku nyumba, huko zikiwa zote hizi ni...
6 Reactions
31 Replies
741 Views
Back
Top Bottom