Sheria namba 1, 14, 18, 35, 38, na sheria namba 46
Never Outshine the Master
Pose as a Friend, Work as a Spy
Do Not Build Fortresses to Protect Yourself—Isolation Is Dangerous
Master the Art...
Fursa zinapotokea ni kuzichangamkia haya sasa tafuteni wagombea mapema ila kaeni mkijua kuwa.👇🏼👇🏼
CCM NDO TANZANIA YENYEWE
CCM NDO MLEZI WA AMANI YA TAIFA LETU.
CCM NDO CHAMA PEKEE...
Tambua kwamba kazi nyingi za kuwatetea waathirika mbalimbali, Lissu amezifanya bure bila kilipwa na hao watu.
Lissu anasema;
Sasa leo nataka nizungumze kuhusu mchango wangu wa kupigania haki za...
Dotto hadi sasa hakuna haki yoyote ilifanyika kwenye uchaguzi huu, uchaguzi ambao umeingia doa kubwa hata kwa jiki auwezi kuondoa doa hilo.
Na hao mnaoshindana nao ni CCM B wote so hakuna...
Tukio hili litakuwa tukio la aina yake na ni fursa ya kipekee kudai uhuru wa Tanganyika kama nchi Huru.
Tuitumie hii fursa kufanya kampeni ya ghafla kuhamasisha Utaifa wa Tanganyika, kufufua...
1. Kwa kunukuu maneno ya Joseph O. Mbilinyi (SUGU) na kwa kuwa simu zake zote zilipotea katika purukushani yake na polisi - Mbeya, nitasimulia kidogo.
2. SUGU na John Mnyika walipigwa sana...
1) Mwaka 1962- Mwalimu Julius Nyerere
- Mwalimu Alijiuzulu nafasi yake ya "Waziri mkuu wa Tanganyika" miezi michache tu baada ya uhuru. Alimwachia kijiti Rashid Mfaume Kawawa na kurudi vijijini...
Askofu Josephat Mwingira wa Kanisa la Efatha amesema Tanzania inapitia mazingira ya maumivu, akidai kuwa Kanisa limeumia kutokana na matukio yanayoendelea nchini.
Mwingira amesema anashangazwa na...
Emanuel Nchimbi hana utii wala adabu kwa mh. Rais wa JMT, kwamba alishindwa hata kusema maneno machache kumpongeza mh. Rais kwa makubwa aliyoyafanya kufanikisha huo mradi mkubwa sana? Kweli?
Km...
Kifo cha mpishi wake kilimshtua sana,lakini kabla ya hapo,kitendo cha kuchomwa matako kwa mtu aliyejitokeza kukemea kutukanwa kwake,nacho kilifikirisha sana.
Ndugu Nchimbi ni mwanafunzi aliyeiva...
Vijana na watoto wana imani iliyopitiliza kuhusu Katiba tunayoitaka kuwanayo.
Wapewe elimu kuhusu katiba ya sasa na Katiba inayotakiwa iandikwe, la sivyo huenda tukaandaika katiba upya baada ya...
Utake usitake barua yako ya kujiuzulu itakuwa hadharani.
Hayati Spika Ndugai, Makamu wa Rais mstaafu Mpango, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu wa CCM mstaafu Daniel Chongolo wote...
Wakili Godfrey Wasonga, amependekeza Serikali kuangalia upya mfumo wa upelelezi na uendeshaji wa kesi za ugaidi na uhaini, akisema makosa hayo ni makubwa na yanahitaji viashiria vya kutosha kabla...
1. Kwanza kutumika na CCM kupoteza watu wenye maono wanaochipukia ndani ya chama. Yani Mbowe alimtoa kafara Ben saanane yeye anajua, Mungu anajua na Atalipia yeye na kizazi chake. Hasa watoto...
Nimedokezwa kuwa upo mpango mahususi unaandaliwa ili bwana Mbowe apewe ile nafasi. Mpeni tu maana hamna tena aibu kuficha mauchafu yenu.
Litakuwa ni pigo kwa yule bwana kuondoka.
Naona mnaangaika na Emanule Nchimbi sijui kama mmepata mafasi ya kutafakari vizuri suala la nchimbi hata tu kujiuzuru tu litazidi kuleta mpasuko mkubwa ndani ya Chama cha Mpinduzi...
Kama itatokea Makamu wa Rais akijiuzulu, nafasi yake inakuwa wazi kwa mujibu wa Ibara ya 50(2) (c). Kisha, kwa mujibu wa Ibara ya 50(4), Rais anatakiwa kumteua mtu mwingine kuwa Makamu wa Rais...
Na. M. M. Mwanakijiji
Kuna vitu sitaki kuamini hata kama vinaonekana kuaminika kwa wengine. Yaani, leo hii Emmanuel Nchimbi amegeuka kuwa shujaa wa upinzani ati kwa vile ameonekana kutetea Katiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.