Wapinzania wa kweli wameanza kwenye Chadema ACT wazalendo kitabaki Zanzibar tu!
Uchungu wa madaraka ya haraka badala ya kupigania mifumo unaweza kudhani inasaidia chama kumbe ni bora uagalie...
Nchi kama Zambia, Malawi , Kenya, Botswana zimeona mbali sisi tumebaki na wizi wa kura na uchawa. Tupiganie nchi yetu
Huyu ni Wakili wa Rais Duma Boko amewasili katika Hotuba ya Bajeti ya mwaka...
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile (Mb), amesema ameridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya kimkakati ya inayoendelea mkoani Kigoma, akibainisha kuwa uwekezaji huo una lengo...
Nimeiona clip ya dokta Tulia alivyojibu Kwa jazba ,nikagundua ndugu yetu huyu hakujua Yale maswali hakuulizwa yeye kama Dr.Tulia Bali msimamo wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuihusu ukraine na...
Alitaka wauawe wangapi ndipo aseme walitosha kuwa wengi.
Kwa mtu mwenye akili timamu na hofu ya Mungu hawezi tamka maneno kama hayo, ni mnyama pekee asiye na utu au hayawani au wakala wa shetani...
Bunge kama la Tanzania huwa na maana pale nchi inapokuwa ni ya kidemokrasia na mihimili mitatu ya utawala iko huru.
Unapokuwa na mfumo wa utawala ambao serikali inaloamua ndilo linakuwa huku...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi pamoja na Rais Mstaafu wa 44 wa Taifa la Marekani kwa pamoja Wamlilia na wamesikitishwa kufuatia au kutokana na Kifo cha Jesse...
Nashauri atakae patikana na hatia ya uhaini ni vyema akahukumiwa na akanyongwa haraka na mapema iwezekanavyo ili iwe fundisho kwa wenye tabia za kihuni kama hizo na kuimarisha utamaduni wa nidhamu...
Wakuu,
Nakumbuka baada ya School Of Journalism and Mass Communication pale UDSM kupata dean mpya mwaka 2023 kama sio 2024 moja ya vitu vya kwanza ambavyo yule mama mpya alifanya ni kubadilisha...
Sisi Wafanyakazi 160 tuliopo katika Mgodi mdogo ambao unapatikana Mkoani Mara, Wilaya ya Musoma, Kata ya Kigera, Kijiji cha Kwitope chini ya Kampuni ya IDERA au GDM tuna changamoto ambazo...
Kama unatumia mitandao nadhani umewaona TFF (Tanganyika freedom fighters) wanakiri kuhusika na kumkata kata mapanga mwenyekiti wa CCM kijiji cha mkoani Mbeya na kumshambulia polisi hadi kifo...
Wakuu,
Kama mnakumbuka siku kadhaa nyuma kulikuwa na stori ya Mwenyekiti wa Kitongoji (CCM), aliposema mbele ya Waziri Mkuu kuwa anahofia kutekwa na Kuuwawa baada ya kuzuia miti kukatwa kinyemela...
Wakuu,
Oct 25, 2021 mahojiano na machinga Kariakoo kufuatia agizo la Mkuu wa Mkoa Dar wakati huo Amos Makalla kupiga marufuku shughuli za kibiashara ndogondogo katika maeneo yasiyo rasmi kama juu...
Hata utumie lugha gani, serikali ilitaka kupinduliwa. Hakuna lugha nyingine nyepesi unaweza kuitumia kukwepesha usitumie neno mapinduzi ya serikali ya Mama Samia. Haiwezi kuwa ni bahati mbaya na...
1. Egypt
2. Nigeria
3 . South Africa
4 . Morocco
5. Algeria
6. DR Congo
7. Ivory Coast
8 . Kenya
9 . Ghana
10 .Uganda.
My Take
Inashangaza eti DRC inatuzidi Hadi Tanzania Kwa viwanda...
Anaandika Boniyai kutoka Account yake ya X
======
Ali Mohamed Kibao Ameuawa
Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA Taifa na Msaidizi wa Katibu Mkuu umekutwa hospitali ya Mkoa wa...
Mbunge wa Moshi mjini (CCM), Ibrahim Shayo maarufu Ibraline amepata ajali wilayani Same, baada ya gari alilokuwa akisafiria kupinduka katika eneo la Kirinjiko wilayani humo kwenye msafara wa...
Naomba tuelewane ni chuo kikuu kilichojitosheleza chenye vitivo mbali mbali vya Uhandisi, Sheria, Ualimu, Biashara, Udaktari, n.k.
Sio kampasi ya chuo kikuu au institute au college ambayo inatoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.