WAZIRI WA MAMBO YA NJE AKUTANA NA TUME YA UCHUNGUZI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amekutana na Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya...
Hii tume nayo inamuogopa mafwele!?
Huyu măfwele waandamanaji walimtaja kama sehemu
ya hasira zao kwakua ametajwa kama mtekaji na mashaidi kama
Sativa, wanaharakati wa kenya na uganda waliotekwa...
Kimsingi ni kweli! kesi ya Lissu ni ya kisiasa na imekaa kimchongo sana
Tunapotezeana muda kwa mambo ya kijinga tu, na ukitaka kujua inapoteza pesa na muda hata kwa Lissu angalia mashahidi wa hii...
Kesi ya uhaini Na. 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu inaendelea tena leo, Alhamisi Februari 12.2026 kama ilivyo ada mbele ya jopo...
Wasalaamu WanaJF.
Katika elimu yangu niliyoipata duniani ikiwa ni formal ,historical na ya kienyeji nimejifunza jambo moja muhimu sana.
Duniani kuna watu wakorofi sana na kiasili mwanadamu ni...
Wakuu
Leo Lissu ametinga na chakula kizimbani na kusema maneno haya, "Una chakula cha kutosha kila kheri" Wakili Peter Kibatala akizungumza na Lissu kabla ya kesi kuendelea hapa Mahakama Kuu ya...
Alikwenda kwenye mkutano wa AU pamoja na mambo mengi alitegemea kutambulishwa kama Rais aliyemaliza CHAGULIWA nchini TZ.
Wenzake waliomaliza kushinda uchaguzi wakatambulishwa, yeye akaondoka kwa...
Kiukweli kauli ya thabiti kombo sio kauli nzuri kamwe anasema vurugu ilikuwa ndogo ukifananisha za mataifa mengine Africa how ?
Kubabake kyabakari ntaliaamwe.
Nimepitia baadhi ya picha nimeona vijana wanao ongazana na mafwele hawafai kuwa askari wa jeshi la polisi wamekaa kijambazi jambazi.
Weredi wa kuajiri askari umpengua sana inatia wasiwasi mkubwa...
Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Maalim Seif amefariki ktk Hospitali ya Muhimbili. Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi ametangaza siku 7 za maombolezo ya Kitaifa...
Kwenye Biblia Takatifu, waraka wa Pili wa Petro 1:5-6, imeandikwa hivi: ... katika imani yenu tieni na wema, na katika wema wenu maanifa, na katika maarifa yenu kiasi, na katika kiasi chenu...
Baadhi ya waandishi wa habari mkoani Iringa wamepata ajali ya gari leo Februari 5, 2026, wakati wakirejea kutoka kwenye sherehe za Maadhimisho ya Miaka 49 ya Kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi...
1. Kuwa mstaarabu, usishupaze shingo, kiri uliteleza, omba msamaha yesheee. Angalau upate wabunge wawili upewe na ruzuku. Upunguze njaa maana hizi kelele sijui reforms ni njaa tu.
2. Wananchi...
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, inatarajiwa kuendelea leo, Februari 17, 2026, katika Mahakama Kuu, Masijala Ndogo, Dar es Salaam.
Leo kesi hiyo itaendelea...
Mzee Wasira akihojiwa na Mwananchi amedai kuwa yale matukio yaliyotokea Oktoba 29 huwezi kuyaita maandamano bali uhalifu kwani wananchi waliharibu mali, kuiba pesa kwenye ATM.
Nawashauri tu, mnafanya dhidi ya Lissu iwe kweli. Sio kukaa vikao vya siri mkajadiliana dhidi ya kumkwamisha Lissu na kufarihisha wengine.
Helo hapa duniani mnaweza mkajiona wajanja lkn siku...
Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kuiboresha Bandari ya Tanga ili iweze kukidhi ushindani wa kibiashara uliopo katika bandari za mwambao wa Bahari ya Hindi...
RC KHERI JAMES AWATAKA WAHANDISI WA UMWAGILIAJI KUTANGULIZA UZALENDO NA WELEDI KULINDA FEDHA ZA SERIKALI
📍NIRC Iringa.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amewataka Wahandisi wa Mikoa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.