Kiufupi hii nchi Kwa Sasa Kuna watu wamepata pesa nyingi sana ,kupitia ufisadi wa kiserikali kuliko walivyopata pesa nyingi kupitia madawa ya kulevya huku nyumba, huko zikiwa zote hizi ni...
Lissu kua mwenyekiti wa Chadema ilikua big mistake sana kwa sisi CCM hapo ndo tulitakiwa kuboresha siasa na kubadilika kuja kwenye siasa za kweli za kushindana kwa hoja kutoka na karne hii ya...
Nimeifuatilia hii kesi kwa karibu sana tangu mwanzo. Nimeifuatilia zaidi ilipofika kwa majaji huku mahakama kuu.
Itoshe kusena kuwa kwa ushahidi wa serikali na utetezi huu anaoendelea kuutoa, na...
Ukianza na Serikali yote , Njoo kwenye Chama, kuanzia Wajumbe wa Halmashauri Kuu, Kamati Kuu, ni nani mwenye Akili yaan ni nani mule ana Akili???
Hata tukipitia safari zao za Kielemu !!!.
Sasa...
Wahusika tatueni hii stimulus (salary advance) haraka Kuna watu wamefyekwa salary yote (jokes)🤣
Kupitia mitandao ya kijamii mbalimbali naona watu... wanasubiri salary advance kama vile wanasubiri...
TAREHE 28 AUGUST,2026 Mahali WAKILI HOUSE.Tutakuwa na Mjadala Muhimu kuhusu Demokrasia katika Taifa letu na Namna bora ya kutoka hapa tulipo.
Tufuatilie Kupitia Wakili.tv na tutawatangazia vituo...
Tangu mwaka 1945, viongozi na watu mashuhuri wa kisiasa wamefikishwa mbele ya mahakama na mahakama maalumu za ndani na za kimataifa katika nchi mbalimbali duniani.
Baadhi yao wamehukumiwa, huku...
Inasikitisha sana Kwa kweli kwa nchi ilipofikia.
Imekua nchi ya mfano kwa miaka mingi.
1) Ilikuwa nchi ya mfano kwa kupigania haki ya watu wengine duniani kote walikokua wanaonewa na watawala wa...
Za chini chini ni waliwaweka wapima upepo wa uzinduzi wakaona hakuna mwenye mda nao wala kuongelea plan ikawekwa
Chaap option ikaingia ni wanayemtumiaga kila siku sababu anapenda sana pesa
Kutega...
Tarehe 25 Aprili 2026, Mzanzibari Samia Suluhu Hassan alizindua Meli ya Uvuvi kwenye maji ya kina kirefu, hadi sasa sijaona Samaki waloletwa. Eti Uchumi wa Bluu.. Meli ilitengenezwa kwa zaidi ya...
MWANACHAMA mkongwe wa TANU na CCM na Mbunge mstaafu wa Maswa, Mzee John Magale Shibuda maarufu ‘Drogba’, amemtaka Makamu wa Rais na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi, kujitafakari...
Rais, mawaziri, viongozi na raia wote wanatoka kwenye familia. Familia ndio msingi wa Taifa kwakuwa tabia zote za viongozi na raia wa nchi zinazaliwa, kulelewa na kukoma kwenye ngazi ya familia...
Habari za wakat huu mwanaJF.
Kwa wapenzi na wafuatiliaji wa siasa za Nchi hii nahisi leo imekua siku ya somo kubwa sana katika kuelewa siasa za mapambano ambazo Lissu amekua nazo kwa zaid ya...
Kama mnataka kuona nguvu ya umma ikoje basi fanyeni uthubutu wa kumdhuru John Heche au Tundu Antipass Lissu.
Wananchi wana machungu moyoni juu ya taifa lao la Tanganyika halafu mnawatisha kupitia...
Mkimuona Mbowe popote pale, awe kwenye Mradi wa Serikali, awe añaupiga picha na Samia, Awe kwenye chombo chochote cha habari, MPUUZENI, MSIMUONGELEE KWA NAMNA YOYOTE ILE.
Hana jipya, keshajifia...
Kwa hatua aliyofukia Lisu akiachiliwa au akinyongwa Bado credits zote zinarudi kwake na chama chake maana wamechagua haki na ukweli
Lakini waswahili wanasema heri nusu shari kuliko Shari kamili...
Wakuuu, Yaan Samia na Genge lake , wanachofanya ni Kujaribu Kumuumiza Lissu kiakili ...….... Huuu ni Ujinga kwa kwa sababu Lissu sio wa kupiga Magoti .
Lissu ni Mtanzania aliyetayari Kufa so long...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.