Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nacheka mimi Idu huku nakula balimi la baridi nikiwa Igunga. Mashahidi wa Jamhuri ni watu zaidi ya mil 50. Jamhuri wanahangaika nini?
2 Reactions
2 Replies
183 Views
Mwenyekiti Mstaafu wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Taifa, Patrick Ole Sosopi amehoji ukweli wa dhamira ya chama tawala nchini Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhusu maridhiano...
3 Reactions
5 Replies
136 Views
My Take Kimsingi hii jumuisha isambaratike tuu kama ilivyokuwa 1977 Kwa sababu Toka kuundwa kwake upya umeshindwa kutimiza malengo ya kuqnzishwa kwake hususani kuwa na soko huru la bidhaa pamoja...
6 Reactions
46 Replies
492 Views
Waziri Mkuu akiwa ziara Wilaya ya Same mkoa wa Kilimanjaro, ametatua kero ya mwanaume mmoja ambaye alijenga matundu ya vyoo 22 mwaka 2020 katika shule ya Sekondari Gonja, lakini mpaka leo 2026...
3 Reactions
6 Replies
233 Views
Wakuu, Tundu akiwasili Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam ambapo leo kesi ya uhaini inayomkabili itaendelea Dada wa Mhe. Tundu Lissu akiwasili Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam kusikiliza...
1 Reactions
12 Replies
670 Views
Wakuu, Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeahirishwa na Mahakama hadi kesho Februari 19 saa tatu asubuhi. Upande wa Serikali uliieleza...
0 Reactions
7 Replies
195 Views
  • Redirect
Nilitegemea leo Lisu awe mkali kuleta shahidi mmoja. Huyu aliyefiwa aachwe lakini walikubaliana angalau kwa siku walete mashahidi 3, sasa inakuwaje aje mmoja? Yule amefiwa , wa tatu vipi?
1 Reactions
Replies
Views
Kwanini mashahidi wote ktk kesi ya Lissu ni wakiristo? Kila anaelizwa dini ya shahidi, hujitambulisha mkiristo
5 Reactions
75 Replies
1K Views
Huyu boss kaacha ofisi anazunguka na waziri mkuu, hajataka kumwachia mtu majukumu kwa mda, anataka kote awe yeye Huko alipo hafanyi kazi yoyote zaidi kukaa kwenye V8 na kutumia mafuta kwa kodi za...
8 Reactions
9 Replies
332 Views
Picha ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (ICC), Balozi Mahmoud Thabiti Kombo na Naibu Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), Mame Mandiaye Niang...
6 Reactions
21 Replies
727 Views
Mzee Wasira akihojiwa na Mwananchi amesema wajumbe wa kuchunguza yaliyotokea Oktoba 29 hawapaswi kuwa questioned zaidi ya intergrity yao. Kama ni suala la kuapa kulinda katiba, hata Lissu na Heche...
1 Reactions
13 Replies
235 Views
Matukio ya Oktoba 29 yalikuwa jaribio la makusudi, lililopangwa kwa umakini na kufadhiliwa kikamilifu kutoka nje, lenye lengo la kuhujumu uthabiti wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpango huu...
3 Reactions
76 Replies
1K Views
The President elect of Uganda 🇺🇬 HE. Robert Kyagulanyi Ssentamu will address the 2026 Geneva Summit via video on 18th February 2026. ⌚Time: Morning to Evening (Geneva Time) 📌 We encourage...
6 Reactions
11 Replies
737 Views
mpendwa Samia kama utapata bahati ya kwenda the hague kwenye detention yao unauhakika wa kula milo mitatu tena iliyo pangiliwa kitaalumu kwa virutubisho vizuri. Hata kipindi cha break ukiwa...
15 Reactions
28 Replies
555 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amepuuza madai kuwa Tume ya Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Chande Othman inaweza kuwa na upendeleo kwa Serikali, akifafanua kuwa...
0 Reactions
0 Replies
94 Views
Imenitoa machozi. Kisa anapishana na mawazo yako na wala si adui wakako! Ulifanya kitu kibaya!
1 Reactions
9 Replies
240 Views
Wakuu, Akizungumza hivi karibuni kwenye kwenye mkutano Mkuu wa Mwaka wa Vyombo vya Utangazaji (ABC) Meneja wa Huduma za Utangazaji (TCRA), Mhandisi Andrew Kisaka amesema kuwa wamependekeza...
0 Reactions
0 Replies
129 Views
Nipo huku SA. Hawa jamaa wamekuwa waduanzi sana. Wanatusimanga kwa maneno ya hovyo utadhani baba yao naye ana kitu cha maana. Wanasema mama yenu ana IQ ya 40. Nawatizama nawatukana kimoyo moyo...
4 Reactions
17 Replies
240 Views
TOILET PAPER. Media house ni corrupted kwa kiwango kisichorekebishika. Narejea katuni ya @masoudkipanya alipozifananisha na ‘toilet paper’. Nafikiri hakukosea. Zinaogopa kuripoti...
9 Reactions
7 Replies
242 Views
Nimesikiliza taarifa ya habari ya leo jumanne saa nne usiku ya ITV, nimestushwa na namna TV hii inavyoripoti mwenendo wa kesi ya Lissu. TV hii inaelezea maelezo ya mashahidi wa Jamhuri dhidi ya...
19 Reactions
27 Replies
593 Views
Back
Top Bottom