Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kiufupi hii nchi Kwa Sasa Kuna watu wamepata pesa nyingi sana ,kupitia ufisadi wa kiserikali kuliko walivyopata pesa nyingi kupitia madawa ya kulevya huku nyumba, huko zikiwa zote hizi ni...
6 Reactions
31 Replies
741 Views
Lissu kua mwenyekiti wa Chadema ilikua big mistake sana kwa sisi CCM hapo ndo tulitakiwa kuboresha siasa na kubadilika kuja kwenye siasa za kweli za kushindana kwa hoja kutoka na karne hii ya...
13 Reactions
27 Replies
518 Views
Nimeifuatilia hii kesi kwa karibu sana tangu mwanzo. Nimeifuatilia zaidi ilipofika kwa majaji huku mahakama kuu. Itoshe kusena kuwa kwa ushahidi wa serikali na utetezi huu anaoendelea kuutoa, na...
5 Reactions
73 Replies
960 Views
Ukianza na Serikali yote , Njoo kwenye Chama, kuanzia Wajumbe wa Halmashauri Kuu, Kamati Kuu, ni nani mwenye Akili yaan ni nani mule ana Akili??? Hata tukipitia safari zao za Kielemu !!!. Sasa...
10 Reactions
16 Replies
240 Views
Wahusika tatueni hii stimulus (salary advance) haraka Kuna watu wamefyekwa salary yote (jokes)🤣 Kupitia mitandao ya kijamii mbalimbali naona watu... wanasubiri salary advance kama vile wanasubiri...
7 Reactions
13 Replies
314 Views
TAREHE 28 AUGUST,2026 Mahali WAKILI HOUSE.Tutakuwa na Mjadala Muhimu kuhusu Demokrasia katika Taifa letu na Namna bora ya kutoka hapa tulipo. Tufuatilie Kupitia Wakili.tv na tutawatangazia vituo...
4 Reactions
14 Replies
126 Views
Tangu mwaka 1945, viongozi na watu mashuhuri wa kisiasa wamefikishwa mbele ya mahakama na mahakama maalumu za ndani na za kimataifa katika nchi mbalimbali duniani. Baadhi yao wamehukumiwa, huku...
1 Reactions
1 Replies
70 Views
Inasikitisha sana Kwa kweli kwa nchi ilipofikia. Imekua nchi ya mfano kwa miaka mingi. 1) Ilikuwa nchi ya mfano kwa kupigania haki ya watu wengine duniani kote walikokua wanaonewa na watawala wa...
8 Reactions
11 Replies
189 Views
Za chini chini ni waliwaweka wapima upepo wa uzinduzi wakaona hakuna mwenye mda nao wala kuongelea plan ikawekwa Chaap option ikaingia ni wanayemtumiaga kila siku sababu anapenda sana pesa Kutega...
7 Reactions
10 Replies
298 Views
Hizi ndizo ziwe salamu zetu za kwanza wapenda haki , Amani na mageuzi kila ufunguapo JF. SOTE TUSEME AMEN
5 Reactions
2 Replies
78 Views
Tarehe 25 Aprili 2026, Mzanzibari Samia Suluhu Hassan alizindua Meli ya Uvuvi kwenye maji ya kina kirefu, hadi sasa sijaona Samaki waloletwa. Eti Uchumi wa Bluu.. Meli ilitengenezwa kwa zaidi ya...
28 Reactions
97 Replies
1K Views
MWANACHAMA mkongwe wa TANU na CCM na Mbunge mstaafu wa Maswa, Mzee John Magale Shibuda maarufu ‘Drogba’, amemtaka Makamu wa Rais na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi, kujitafakari...
0 Reactions
21 Replies
541 Views
Rais, mawaziri, viongozi na raia wote wanatoka kwenye familia. Familia ndio msingi wa Taifa kwakuwa tabia zote za viongozi na raia wa nchi zinazaliwa, kulelewa na kukoma kwenye ngazi ya familia...
0 Reactions
9 Replies
69 Views
Habari za wakat huu mwanaJF. Kwa wapenzi na wafuatiliaji wa siasa za Nchi hii nahisi leo imekua siku ya somo kubwa sana katika kuelewa siasa za mapambano ambazo Lissu amekua nazo kwa zaid ya...
8 Reactions
13 Replies
210 Views
Kama mnataka kuona nguvu ya umma ikoje basi fanyeni uthubutu wa kumdhuru John Heche au Tundu Antipass Lissu. Wananchi wana machungu moyoni juu ya taifa lao la Tanganyika halafu mnawatisha kupitia...
15 Reactions
71 Replies
997 Views
  • Redirect
Mkimuona Mbowe popote pale, awe kwenye Mradi wa Serikali, awe añaupiga picha na Samia, Awe kwenye chombo chochote cha habari, MPUUZENI, MSIMUONGELEE KWA NAMNA YOYOTE ILE. Hana jipya, keshajifia...
0 Reactions
Replies
Views
Kwa hatua aliyofukia Lisu akiachiliwa au akinyongwa Bado credits zote zinarudi kwake na chama chake maana wamechagua haki na ukweli Lakini waswahili wanasema heri nusu shari kuliko Shari kamili...
5 Reactions
4 Replies
101 Views
Wakuuu, Yaan Samia na Genge lake , wanachofanya ni Kujaribu Kumuumiza Lissu kiakili ...….... Huuu ni Ujinga kwa kwa sababu Lissu sio wa kupiga Magoti . Lissu ni Mtanzania aliyetayari Kufa so long...
11 Reactions
21 Replies
208 Views
Back
Top Bottom