Mwenyekiti Mstaafu wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Taifa, Patrick Ole Sosopi amehoji ukweli wa dhamira ya chama tawala nchini Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhusu maridhiano...
My Take
Kimsingi hii jumuisha isambaratike tuu kama ilivyokuwa 1977 Kwa sababu Toka kuundwa kwake upya umeshindwa kutimiza malengo ya kuqnzishwa kwake hususani kuwa na soko huru la bidhaa pamoja...
Waziri Mkuu akiwa ziara Wilaya ya Same mkoa wa Kilimanjaro, ametatua kero ya mwanaume mmoja ambaye alijenga matundu ya vyoo 22 mwaka 2020 katika shule ya Sekondari Gonja, lakini mpaka leo 2026...
Wakuu,
Tundu akiwasili Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam ambapo leo kesi ya uhaini inayomkabili itaendelea
Dada wa Mhe. Tundu Lissu akiwasili Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam kusikiliza...
Wakuu,
Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeahirishwa na Mahakama hadi kesho Februari 19 saa tatu asubuhi.
Upande wa Serikali uliieleza...
Nilitegemea leo Lisu awe mkali kuleta shahidi mmoja.
Huyu aliyefiwa aachwe lakini walikubaliana angalau kwa siku walete mashahidi 3, sasa inakuwaje aje mmoja?
Yule amefiwa , wa tatu vipi?
Huyu boss kaacha ofisi anazunguka na waziri mkuu, hajataka kumwachia mtu majukumu kwa mda, anataka kote awe yeye
Huko alipo hafanyi kazi yoyote zaidi kukaa kwenye V8 na kutumia mafuta kwa kodi za...
Picha ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (ICC), Balozi Mahmoud Thabiti Kombo na Naibu Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), Mame Mandiaye Niang...
Mzee Wasira akihojiwa na Mwananchi amesema wajumbe wa kuchunguza yaliyotokea Oktoba 29 hawapaswi kuwa questioned zaidi ya intergrity yao. Kama ni suala la kuapa kulinda katiba, hata Lissu na Heche...
Matukio ya Oktoba 29 yalikuwa jaribio la makusudi, lililopangwa kwa umakini na kufadhiliwa kikamilifu kutoka nje, lenye lengo la kuhujumu uthabiti wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpango huu...
The President elect of Uganda 🇺🇬 HE. Robert Kyagulanyi Ssentamu will address the 2026 Geneva Summit via video on 18th February 2026.
⌚Time: Morning to Evening
(Geneva Time)
📌 We encourage...
mpendwa Samia kama utapata bahati ya kwenda the hague kwenye detention yao
unauhakika wa kula milo mitatu tena iliyo pangiliwa kitaalumu kwa virutubisho vizuri.
Hata kipindi cha break ukiwa...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amepuuza madai kuwa Tume ya Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Chande Othman inaweza kuwa na upendeleo kwa Serikali, akifafanua kuwa...
Wakuu,
Akizungumza hivi karibuni kwenye kwenye mkutano Mkuu wa Mwaka wa Vyombo vya Utangazaji (ABC) Meneja wa Huduma za Utangazaji (TCRA), Mhandisi Andrew Kisaka amesema kuwa wamependekeza...
Nipo huku SA. Hawa jamaa wamekuwa waduanzi sana. Wanatusimanga kwa maneno ya hovyo utadhani baba yao naye ana kitu cha maana.
Wanasema mama yenu ana IQ ya 40. Nawatizama nawatukana kimoyo moyo...
TOILET PAPER.
Media house ni corrupted kwa kiwango kisichorekebishika. Narejea katuni ya @masoudkipanya alipozifananisha na ‘toilet paper’. Nafikiri hakukosea.
Zinaogopa kuripoti...
Nimesikiliza taarifa ya habari ya leo jumanne saa nne usiku ya ITV, nimestushwa na namna TV hii inavyoripoti mwenendo wa kesi ya Lissu. TV hii inaelezea maelezo ya mashahidi wa Jamhuri dhidi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.