Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu zangu Watanzania, Kama kuna watu wahatari na balaa linapokuja suala la pesa basi ni Viongozi wa CHADEMA. Kama kuna watu unatakiwa uwaweke mbali na pesa ama harufu ya pesa basi ni viongozi...
1 Reactions
38 Replies
188 Views
Sio mara ya kwanza Lema kutiliwa wasiwasi na wanachama wa Chadema. Kipindi cha Uchaguzi wa Mkiti kanda ya Kaskazin alisusa akakimbia Canada, hata wakati wa Uchaguzi wa Mkiti taifa uliomuondoa...
13 Reactions
94 Replies
1K Views
Well , taarifa za Dr. Emmanuel Nchimbi (PhD) kuhusukujiuzulu zilianza chinichini hadi Gazeti moja likapigwa ban , mwisho wa siku ni kweli Daktari Nchimbi akalazimishwa kuachia Ofisi - Ni taarifa...
35 Reactions
102 Replies
2K Views
Wanabodi leo asubuhi nimesoma post ya mwana jf huyu,Josephat Gwajima ni mtumishi wa Yesu Kristo. Nguvu na uwezo wa Kristo umo ndani yake, ndiyo maana polisi awakumkamata nikaguswa!na kuamua...
34 Reactions
145 Replies
7K Views
My Take Nadhani kuna shida mahali Kwa nyumbu wengi wa Chadomo ambao wameshikiwa akili na Heche na Mange. Maboksi wao wameonesha utu hapa 👇 👇...
5 Reactions
39 Replies
292 Views
  • Redirect
Yaan sijawahi sikia BAKWATA wanatoa Waraka wowote ,angalau hata Pole kwa walofiwa Oktoba 29. Bado tu mnawaamini Hawa Bakwata ???. Waloshindwa kulinda Haki za Uhai za Waumini wao??. BAKWATA...
0 Reactions
Replies
Views
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Morogoro limeunga mkono agizo la Serikali ya Awamu ya Sita kutaka vyombo vya ulinzi na usalama kuchunguza vifo vilivyotokea baada ya Uchaguzi Mkuu...
1 Reactions
13 Replies
440 Views
Huyu waziri malaya malaya ameanza kuita wasanii wa kike kila mtu anajua ni mtu wa kupenda kutishia ili kutoa nyegezi zake. Wasanii msikubali huu ujinga kisheria kama una kosa Polisi ndiyo...
5 Reactions
3 Replies
123 Views
Ikiwa Makamu Mwenyekiti (au kiongozi mkuu) wa Chadema, Tundu Lissu, atafungwa kwa kosa la uhaini, hali ya hewa ya kisiasa nchini Tanzania inatarajiwa kukumbwa na taharuki kubwa, migawanyiko ya...
6 Reactions
23 Replies
357 Views
Akijibu tuhuma kwenye mtandao wa Twiiter (X) kuwa wanachama wanamashaka ana uhusiano na serikali ya CCM uhusiano ambao una harufu ya kukihujumu chama, kada huyo wa CHADEMA, ndugu Godbless Lema...
8 Reactions
126 Replies
3K Views
-hii inchi inavituko sana na concentration ipo kwenye mambo yasiyo na tija kwa inchi. - makelele ya watu probably walioandaliwa toka huku na kule ati hevhe amekula michango ya tone tone...
0 Reactions
3 Replies
44 Views
Vyama wekeni mifumo rasmi ya kupata pesa ya kuendesha shughuli za vyama! Au Kama Bado mifumo haijawa sawa bora mtahadharishe kabla ya kupokea pesa kwamba hatutaendeshwa nanyi kisa pesa yenu...
10 Reactions
9 Replies
224 Views
The current CHADEMA discussion raises important questions about the future of political leadership in Tanzania. Whatever the outcome, transparency, evidence, and respect for democratic processes...
0 Reactions
2 Replies
31 Views
Morning wana JF Watanzania tumekuwa tukilalamika kila siku kuhusu uongozi na mambo mbalimbali ambayo hatupendezwi nayo 1. Tumeongea sana tukiomba maboresho ya Katiba 2. Tumezungumza sana kuhusu...
38 Reactions
205 Replies
2K Views
Anaandika Mange: “Mlisikia tetesi za Mwigulu kupewa sumu? Hii ilikuwa ni kweli. Nimepewa taarifa na mtu wa ndani kuwa misimamo yake juu ya rushwa na wizi imeshtua sana kundi lenye nguvu na...
18 Reactions
94 Replies
2K Views
Oktoba 2025 Kura yangu sahihi nitampigia Dr Samia na wagombea wote watakaopitishwa na vikao halali vya Chama Cha Mapinduzi CCM. Lucas Mwashambwa Lucas mwashamba ChoiceVariable Tlaatlaah
10 Reactions
134 Replies
5K Views
Mkuu wa Tiss katoa agizo kwa Mkuu wa Uhamiji Prof Ngongo apatiwe Passport mara moja. Hizi habari za kwenda office za uhamiaji kuomba Passport zimepitwa na wakati. Sisi wakubwa tuna utaratibu...
4 Reactions
16 Replies
441 Views
Mama Samia jitathmini unaoenekana kuchanganyikiwa!. Uoga uliopitiliza huwaamini hata VP wako? Kiasi cha kuwaweka kizuizini kama Nchimbi. Je unafikiri Deo anajali chochote au yupo tofauti au...
28 Reactions
43 Replies
1K Views
Lissu alifanya kosa kubwa sana kwa kuwachafua viongozi waliokuwepo kwa shutuma za uongo kwahyo alijitengenezea maadui ambao wanamtesa mpaka leo....in short Lissu siyo kiongozi
4 Reactions
30 Replies
326 Views
Back
Top Bottom