Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mohammed Kiluwa (50) ameiambia Mahakama ya Wilaya ya Ilala, kwamba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Willium Lukuvi alimkaba na kumpora mkoba uliokuwa na fedha zake. Kiluwa...
14 Reactions
200 Replies
29K Views
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Isimani, Mheshimiwa William Lukuvi atakumbukwa kwa...
0 Reactions
2 Replies
35 Views
Salaam, Makadirio ya karibu ya bajeti 2025/2026 Nchini Tanzania Tanzania ipo hivi. 1. Wizara ya Katiba na Sheria → ~ Tsh bilioni 80 2. Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ni Tsh bilioni 120...
0 Reactions
4 Replies
155 Views
Wakuu, Akizungumza leo CAG Charles Kichere alisema "Mheshimiwa Rais, niongee sasa hivi kuhusu kampuni yetu ya ndege. Mheshimiwa Rais, Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imeendelea kupata hasara...
8 Reactions
73 Replies
969 Views
Mtandao wa wanaharakati wa demokrasia barani Afrika, Pan African Solidarity Network, umetoa tamko kali ukieleza wasiwasi mkubwa kuhusu kuzorota kwa hali ya haki za binadamu katika nchi za Afrika...
0 Reactions
0 Replies
25 Views
Wanabodi, Mimi mwanabodi mwenzenu, Paskali ni Mzee wa Masauti humu jf, nikisikia sauti, nasema nilichosikia. Leo nilikuwa nasoma bandiko hili humu, Psychoanalysis: Superiority Complex ni Dalili...
50 Reactions
115 Replies
8K Views
  • Redirect
seleman bungara bwege amefariki dunia
0 Reactions
Replies
Views
Makamu Mwenyekiti Bara John Wegesa Heche amemuelezea Marehemu Selemani Bungara(Bwege) kama mtu ambae aliyesimama imara kuwapigania wananchi kila alipopata nafasi huku akiwa hayumbishwi. Heche...
1 Reactions
2 Replies
84 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amesema Mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini, Suleiman Said Bungara maarufu Bwege, alikuwa mwanasiasa anayepigania haki za watu wake na Taifa kwa ujumla...
4 Reactions
6 Replies
95 Views
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akiwasili nyumbani kwa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), na Mbunge...
0 Reactions
13 Replies
129 Views
Wakuu, wajuzi wa mambo, ikitokea bunge limeahirishwa kama ilivyotokea leo Machi 31, 2026 na posho za kikao ambazo huwa wanalipwa wabunge nazo zinaahirishwa, au wanalipwa kwa kupigwa asilimia ya...
0 Reactions
5 Replies
122 Views
Hii ni makala ya mmoja wa machawa wa mama Samia. Kila mtu aisome, kisha aone ujinga na upumbavu ulio ndani ya vichwa na mawazo ya hawa jamaa kisha tia neno. Hata kama unakubaliana, wewe unga tu...
5 Reactions
7 Replies
322 Views
Kwa mfuatiliaji mzuri sana wa mambo ya siasa na Taifa ili tuna watu watatu ambao ni wa kuangalia kwa makini, 1.Makongoro Nyerere, Mzanaki 2. Muzamir kalokola - Mhaya 3. John Magufuli-...
12 Reactions
88 Replies
18K Views
Chama cha ACT Wazalendo kimetangaza kushtushwa na kuhuzunishwa na kifo cha aliyekuwa mwanachama wake, Seleman Bungara maarufu Bwege, kilichotokea ghafla asubuhi ya Machi 30, 2026, alipokuwa...
2 Reactions
18 Replies
242 Views
Ndugu zangu Watanzania, Msiba haujawahi kuzoeleka hata siku moja, Hakuna msiba mwepesi . Hakuna Maumivu Makubwa kama ya kufiwa. Msiba unaweza kuuona ni Mwepesi na rahisi Ukiwa kwa Jirani yako ...
5 Reactions
71 Replies
2K Views
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba leo Machi 31, 2026 amewasili Iringa Mjini akiwa njiani kwenda Idodi kumuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi...
0 Reactions
1 Replies
66 Views
Leo Rais Samia amesema kuwa ripoti ya CAG ijayo itaje wanaofanya vibaya ili waone aibu, hivi anatambua kuwa kuiba ni aibu tosha ambayo wameivumilia hivyo ya kutajwa ni ndogo na hawawezi kuwaza...
11 Reactions
40 Replies
682 Views
"Kuwa na Rais ambaye anaweza kuacha Ikulu akaenda porini kurekodi filamu, utampata wapi Rais kama huyo sasa hivi” -Amesema Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa
1 Reactions
11 Replies
135 Views
Kikao cha kwanza cha mkutano wa tatu wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kimeanza leo Machi 31, 2026, ambapo hata hivyo, kimedumu kwa dakika 15 pekee kisha kuahirishwa mpaka Aprili...
5 Reactions
12 Replies
293 Views
Back
Top Bottom