Mohammed Kiluwa (50) ameiambia Mahakama ya Wilaya ya Ilala, kwamba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Willium Lukuvi alimkaba na kumpora mkoba uliokuwa na fedha zake.
Kiluwa...
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Isimani, Mheshimiwa William Lukuvi atakumbukwa kwa...
Salaam,
Makadirio ya karibu ya bajeti 2025/2026 Nchini Tanzania Tanzania ipo hivi.
1. Wizara ya Katiba na Sheria → ~ Tsh bilioni 80
2. Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ni Tsh bilioni 120...
Wakuu,
Akizungumza leo CAG Charles Kichere alisema
"Mheshimiwa Rais, niongee sasa hivi kuhusu kampuni yetu ya ndege. Mheshimiwa Rais, Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imeendelea kupata hasara...
Mtandao wa wanaharakati wa demokrasia barani Afrika, Pan African Solidarity Network, umetoa tamko kali ukieleza wasiwasi mkubwa kuhusu kuzorota kwa hali ya haki za binadamu katika nchi za Afrika...
Makamu Mwenyekiti Bara John Wegesa Heche amemuelezea Marehemu Selemani Bungara(Bwege) kama mtu ambae aliyesimama imara kuwapigania wananchi kila alipopata nafasi huku akiwa hayumbishwi.
Heche...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amesema Mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini, Suleiman Said Bungara maarufu Bwege, alikuwa mwanasiasa anayepigania haki za watu wake na Taifa kwa ujumla...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akiwasili nyumbani kwa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), na Mbunge...
Wakuu, wajuzi wa mambo, ikitokea bunge limeahirishwa kama ilivyotokea leo Machi 31, 2026 na posho za kikao ambazo huwa wanalipwa wabunge nazo zinaahirishwa, au wanalipwa kwa kupigwa asilimia ya...
Hii ni makala ya mmoja wa machawa wa mama Samia. Kila mtu aisome, kisha aone ujinga na upumbavu ulio ndani ya vichwa na mawazo ya hawa jamaa kisha tia neno. Hata kama unakubaliana, wewe unga tu...
Kwa mfuatiliaji mzuri sana wa mambo ya siasa na Taifa ili tuna watu watatu ambao ni wa kuangalia kwa makini,
1.Makongoro Nyerere, Mzanaki
2. Muzamir kalokola - Mhaya
3. John Magufuli-...
Chama cha ACT Wazalendo kimetangaza kushtushwa na kuhuzunishwa na kifo cha aliyekuwa mwanachama wake, Seleman Bungara maarufu Bwege, kilichotokea ghafla asubuhi ya Machi 30, 2026, alipokuwa...
Ndugu zangu Watanzania,
Msiba haujawahi kuzoeleka hata siku moja, Hakuna msiba mwepesi .
Hakuna Maumivu Makubwa kama ya kufiwa. Msiba unaweza kuuona ni Mwepesi na rahisi Ukiwa kwa Jirani yako ...
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba leo Machi 31, 2026 amewasili Iringa Mjini akiwa njiani kwenda Idodi kumuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi...
Leo Rais Samia amesema kuwa ripoti ya CAG ijayo itaje wanaofanya vibaya ili waone aibu, hivi anatambua kuwa kuiba ni aibu tosha ambayo wameivumilia hivyo ya kutajwa ni ndogo na hawawezi kuwaza...
"Kuwa na Rais ambaye anaweza kuacha Ikulu akaenda porini kurekodi filamu, utampata wapi Rais kama huyo sasa hivi” -Amesema Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa
Kikao cha kwanza cha mkutano wa tatu wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kimeanza leo Machi 31, 2026, ambapo hata hivyo, kimedumu kwa dakika 15 pekee kisha kuahirishwa mpaka Aprili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.