Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
The reclassification of cannabis as a Class B drug has come into effect in England and Wales amid complaints the new laws are "illogical".
Ministers went against their advisors to upgrade the...
Je mara ngapi viongozi wetu usigina katiba na watu wakakaa kimya? Kumbuka jana, Hon. CJ John Roberts 'fumbled' wakati akimlisha kiapo Rais Obama, madhara ya kikatiba yangeweza kutokea
Obama...
Journalists must cooperate with us, warn MPs
Kenya Members of Parliament have passed a contentious law allowing raiding of media and giving Government powers over broadcast content.
The...
Je tuko tayari kulifanya kuwa kosa la jinai kwa mtu anayeambukiza ukimwi makusudi? Vipi kuhusu wapenzi kupelekewa kopi ya HIV Status Yako?
Ugandan Bill Would Require HIV Status Disclosure...
Call for law to disclose, limit campaign finance
2008-12-17 11:52:52
By Correspondent Gerald Kitabu
Politicians, lawyers and some University of Dar es Salaam lecturers have underscored...
Kijana Saeed Ghanbari anachapwa mijeledi 80 hadharani kwa kosa la kulewa na kuzini ikumbukwe kuwa kijana huyu bado hajaoa.Hii imetokea nchini Iran.
Je hii sharia ikija nyumbani hapa nani atapona??
Kwa kutamka kwamba atakayerudisha Fedha alizoiba atamwachia huru, Kikwete kavunja sheria ya nchi.
Kutokana na mujibu wa sheria ni lazima mtu ahukumiwe ndio rais anaweza kumsamehe.
"45.-(1)...
Yanayotokea hivi sasa jimbo la California nchini Marekani baada ya uchaguzi ulioisha hivi majuzi, yamezua maswali kuliko majibu.
Hapo nyuma wakazi wa CA waliwahi kupiga marufuku ndoa za mashoga...
Ndugu wananchi,
Sheria mama inayoliongoza taifa lolote ni katiba ya taifa husika. Kwetu sisi watanzania tunayo katika ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.Katiba yetu hii ndio mzani wa kupima...
Tuesday, 21st October 2008
Updated 10 hr(s) 55 min(s) ago
By Cyrus Ombati
Police have questioned High Court Judge GBM Kariuki over the stabbing of a motorist after a minor road accident in the...
Na Mwandishi Maalum, (Habari Leo)
Kyela, Mbeya
Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumamosi Oktoba 11, 2008) ametawazwa kuwa chifu wa Kabila la Wanyakyusa na amepewa jina rasmi la Chifu Mwangupili.
Rais...
Last Updated on: 15.10.2008 0519 EAT (1205 GMT) (Dar Leo)
Achapwa viboko kwa kuchezea nyeti za watoto
Na Rehema Maigala, Kinondoni
MSHITAKIWA Rahimu Issa (22), mkazi wa Sinza...
[B]
Nchi yetu Tanzania imekumbwa na kashfa nyingi sana hivi karibuni kama vile EPA, Richmond pamoja na mikataba mingi ya ujanjaujanja (Songwe-Kiwira coal mines nk) na pia tumeshuhudia hatua za...
Wana JF,
Binafsi kuna hili suala linanitatiza sana,
Utawala wa kisheria wa kimataifa (International Law of Governance), nini lange lake kuu?
je,
inalenga kuwadhalilisha vingozi wa afrika...
Jana saa kumi na moja na dakika hamsini na nane (17:58), gari la waziri wa fedha na uchumu (lenye namba za usajiri W FU) na ndani akiwemo waziri mwenyewe wa fedha na uchumi bwana M Mkullo, likiwa...
Sheria ya uchaguzi ni lazima ifanyiwe marekebisho-Tendwa
Martha Mtangoo, Dodoma
Daily News; Wednesday,September 17, 2008 @00:03
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa amesema...
Mbona hawa wakenya sasa hivi wapo kila mahali,sasa hivi hata mfagiaji ni mkenya. Imekwenda wapi sheria ya ajira kwa wazawa,na sisi mbona tukienda kwao hatupati nafasi hii. Kibaya zaidi akiingia...
Wana JF ninapenda kujua kuwa sheria ya NGO ya mwaka 2002 inafanya kazi na je kama inafanya kazi ni vipi kumekuwa na NGO nyingi ambazo ni briefcase, yaani watu wanaandika plan zao wanapeleka kwa...
Ni imani yangu kuwa wengi kati ya wanaotembelea hapa wana ujuzi mkubwa wa mambo ya kisiasa na kiuchumi Tanzania. Kwa hiyo sina kazi kubwa ya kuelezea hali halisi ya namna ambavyo nchi ya Tanzania...
Natanguliza salamu.
Nina jamaa yangu ambaye kwa bahati mbaya ana matatizo ya akili (Alzheimer) ambayo yanamfanya asiweze kumudu shughuli zake za kila siku. Amekwenda kwa daktari na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.