Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

On JF:

On Wednesday this week, Tanzania's Parliament, the Bunge, passed a bill known as the Law of the Child Act 2009. This landmark legislation effectively domesticates the UN Convention of the Rights...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mahakamani kuna Raia 32 kama washitakiwa wa kesi ya kukamatwa wakifanya uvuvi kwenye pwani ya ya Tanzania ya Bahari Hindi bila ya kuwa na leseni. Washitakiwa hao wanadaiwa kukutwa na tani 296 za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu wadau, nilikuwa nafuatilia 'issue' ya wakazi wa Kipawa kwenye luninga wiki iliyopita nikasikia kuwa Serikali inatumia Sheria ya Ardhi ya mwaka 1967 na siyo ya 1999. Kwanza, msemaji mmoja wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
THE GOVERNMENT SHOULD REVOKE THIS CONTRACT Agreement may be terminated at any time: (a) By either part, by way of notice of termination on the basis of default, (b) by either part, through...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Homosexuals should not be killed but instead imprisoned for life, religious leaders have suggested. Making their input in the Anti-homosexuality Bill 2009 yesterday, said clergy said the clause...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau siielewi vizuri hii kesi ya Liyumba ni njisi gani hakimu aliweza kutoa maamuzi Cheo chake naona kwa maamuzi kama yale ni kama haiwezekani
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Je ni haki Wauguzi kama RN kufanya kazi masaa kumi na mbili kwa siku, siku sita kwa wiki kwa mshahara wa jumla wa Tshs. 300,000.00 kwa mwezi ? Kwa hesabu za haraka haraka ni kwamba analipwa Tshs...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Na Geofrey Nyang'oro HATIMAYE kitendawili cha sheria gani itatumika katika kuwalipa fidia wakazi wa Kipawa, jijini Dar es Salaam, kimeteguliwa baada ya serikali kuelezea msimamo wake kuwa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu jana nikiwa safarini kuja Dar nilishangazwa na ubabe wa watumishi wa umma! Pale Mikumi Morogoro kuna bonge la Hotel ya Veta iliyo umbali kama mt10 toka barabara kuu ya Tanzam.Tuliingia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Written by Ssemujju Ibrahim Nganda Chief of Defence Forces battles Constitutional Court petition alleging sectarianism in the Army. The Banyankore were exclusively promoted to the highest...
0 Reactions
0 Replies
9K Views
film director Roman Polanski for release on bail as the risk was too high he would flee pending extradition to the United States for having unlawful sex with a minor in 1977. "According to Swiss...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam wana jamii.Naombeni ushauri tunawezaje kupata malipo ya bima baada ya kuumia katika ajali ya barabarani hapa dsm.sie tulikuwa katika basi, lilikuja loli lilioshehana pamba likagonga kwa...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Sheila Naturinda Parliament A new law on homosexuality currently on the table of Parliament, could see some people jailed for life, Daily Monitor has learnt. Moved by Ndorwa East MP David...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
(Habari hii nimeiweka kidogo kidogo ili isichoshe kufuatilia) Aitaka serikali kuacha kubambikia watu kesi! Source: Na Happiness Katabazi. http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=9216...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
the South Gauteng High Court this week is true, we live in a gangsters’ paradise. Agliotti’s evidence would easily give any Sopranos episode a run for its money. The alleged plot is classic and...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zinazotoka katika shirika la habari la Italia ANSA zinasema kwamba waziri mkuu wa Italia Silvio Berlusconi ameondolewa kinga dhidi ya mashataka au "immunity law" yoyote yale dhidi yake na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau mliobobea katika masuala ya Kaizari (lenedi kakaz) hebu nipeni mawazo yenu. Hivi ni sahihi na pia ni haki Hakimu/Jaji akihukumiwa kufungwa atupwe selo moja na wafungwa wa kawaida na baadhi...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
DPP atoa sababu 11 kupinga hukumu yake! Na Happiness Katabazi. HATIMAYE Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), Eliezer Feleshi, amewasilisha rufaa yake kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
WanaJF, Mahakama ilishatoa hukumu kuwa serikali iandae mazingira yatakayowesha wagombea huru kushiriki katika chaguzi zetu. Sasa tunajindaa kuingia kwenye chaguzi zetu huku serikali ikionyesha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndio Dunia. Huyu dada alifiwa na dada yake ambaye alikuwa na mtoto 1(7 yrs) tu na mume wake aliishafariki. Ikabidi huyu dada amchukue huyo mtoto akae nae na akamuweka chumba kimoja na watoto...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Back
Top Bottom