Tuandamane
JF-Expert Member
- Feb 2, 2008
- 1,220
- 52
Jana saa kumi na moja na dakika hamsini na nane (17:58), gari la waziri wa fedha na uchumu (lenye namba za usajiri W FU) na ndani akiwemo waziri mwenyewe wa fedha na uchumi bwana M Mkullo, likiwa maeneo ya upanga karibu na AMREF kuelekea California Dreamer, dereva aliepuka barabara kuu na kupita "service road" nikiwa na matumaini akiwa na nia ya kukwepa foleni hasaa baada ya kukaa kwenye foleni kwa muda mrefu
Je Mkullo hajui sheria za barabarani?
Je Mkullo hakuweza kumshauri dereva wake afate sheria?
Je Mkullo anaona hiyo ndio njia pekee ya kukwepa ttz la foleni ambalo serikali yake imelikosea ufumbuzi?
Je Mkullo anatufundisha nini sisi wananchi hasa ikiwa yeye ni kioo cha jamii?
Je haoni kuwa ana tuonyesha dalili za dharau zake kwa bunge ambalo zimetunga sheria hizo?
Je Mkullo aliona kuwepa foleni kwa kupita barabara ya dharura ni suluhisho??
Je Mkullo haoni kuwa kwa mara nyingine tena katumia cheo chake vibaya?
Je Mkullo haoni umuhimu wa yeye kujiuzulu??
Je Mkullo hajui sheria za barabarani?
Je Mkullo hakuweza kumshauri dereva wake afate sheria?
Je Mkullo anaona hiyo ndio njia pekee ya kukwepa ttz la foleni ambalo serikali yake imelikosea ufumbuzi?
Je Mkullo anatufundisha nini sisi wananchi hasa ikiwa yeye ni kioo cha jamii?
Je haoni kuwa ana tuonyesha dalili za dharau zake kwa bunge ambalo zimetunga sheria hizo?
Je Mkullo aliona kuwepa foleni kwa kupita barabara ya dharura ni suluhisho??
Je Mkullo haoni kuwa kwa mara nyingine tena katumia cheo chake vibaya?
Je Mkullo haoni umuhimu wa yeye kujiuzulu??