Mustafa Mkullo haziheshimu sheria za barabarani

Tuandamane

JF-Expert Member
Feb 2, 2008
1,220
52
Jana saa kumi na moja na dakika hamsini na nane (17:58), gari la waziri wa fedha na uchumu (lenye namba za usajiri W FU) na ndani akiwemo waziri mwenyewe wa fedha na uchumi bwana M Mkullo, likiwa maeneo ya upanga karibu na AMREF kuelekea California Dreamer, dereva aliepuka barabara kuu na kupita "service road" nikiwa na matumaini akiwa na nia ya kukwepa foleni hasaa baada ya kukaa kwenye foleni kwa muda mrefu

Je Mkullo hajui sheria za barabarani?

Je Mkullo hakuweza kumshauri dereva wake afate sheria?

Je Mkullo anaona hiyo ndio njia pekee ya kukwepa ttz la foleni ambalo serikali yake imelikosea ufumbuzi?

Je Mkullo anatufundisha nini sisi wananchi hasa ikiwa yeye ni kioo cha jamii?

Je haoni kuwa ana tuonyesha dalili za dharau zake kwa bunge ambalo zimetunga sheria hizo?

Je Mkullo aliona kuwepa foleni kwa kupita barabara ya dharura ni suluhisho??

Je Mkullo haoni kuwa kwa mara nyingine tena katumia cheo chake vibaya?

Je Mkullo haoni umuhimu wa yeye kujiuzulu??
 
Hata mimi Nilimuona nikashangaa maana huwa tunawaona mawaziri wengine wakiwa foleni hata kama 3 hrs au yeye ni Zaidi ya mawaziri wengine?nilimuona kabisa .........................na Vx new Model lake
 
Hata mimi Nilimuona nikashangaa maana huwa tunawaona mawaziri wengine wakiwa foleni hata kama 3 hrs au yeye ni Zaidi ya mawaziri wengine?nilimuona kabisa .........................na Vx new Model lake

Hii imeonyesha ni kiasi gani yeye mwenyewe binafsi HAJIHESHIMU KABISA
 
Hivi tatizo ni la Mkulo au dereva wake? Au Mkulo alikuwa anaendesha mwenyewe?
 
Trafic vp hawakuwepo kwani eneo hilo??Je hawa wazee wa favor wange mwona wangefanyaje ndo kwanza wangepisha au vp??
 
Trafic vp hawakuwepo kwani eneo hilo??Je hawa wazee wa favor wange mwona wangefanyaje ndo kwanza wangepisha au vp??

hao wazee wa feva wangefanya nn iwapo kazi yao kuu ni kuwalinda hao kwa mali na mali
 
Tushapoteza mwelekeo kila mtu anafanya kivyake juzi waziri kapigana leo waziri "katanua" kwenye foleni. Nchi ime switch into auto pilot!
 
Jana saa kumi na moja na dakika hamsini na nane (17:58), gari la waziri wa fedha na uchumu (lenye namba za usajiri W FU) na ndani akiwemo waziri mwenyewe wa fedha na uchumi bwana M Mkullo, likiwa maeneo ya upanga karibu na AMREF kuelekea California Dreamer, dereva aliepuka barabara kuu na kupita "service road" nikiwa na matumaini akiwa na nia ya kukwepa foleni hasaa baada ya kukaa kwenye foleni kwa muda mrefu

Je Mkullo hajui sheria za barabarani?

Je Mkullo hakuweza kumshauri dereva wake afate sheria?

Je Mkullo anaona hiyo ndio njia pekee ya kukwepa ttz la foleni ambalo serikali yake imelikosea ufumbuzi?

Je Mkullo anatufundisha nini sisi wananchi hasa ikiwa yeye ni kioo cha jamii?

Je haoni kuwa ana tuonyesha dalili za dharau zake kwa bunge ambalo zimetunga sheria hizo?

Je Mkullo aliona kuwepa foleni kwa kupita barabara ya dharura ni suluhisho??

Je Mkullo haoni kuwa kwa mara nyingine tena katumia cheo chake vibaya?

Je Mkullo haoni umuhimu wa yeye kujiuzulu??

Hivi ni mara ngapi mmemshuhudia Mkullo akitumia njia hiyo ya dharula...........Hivi kuna mmoja kati yenu aliyemsimamisha na kumuuliza kama alikuwa na dharula au lah??...........mlitaka aanze kuwaambia nina dharula ndio mkubali..........hata wewe Tuandamane ungekuwa na dharula.........ni rukhsa.......au?

.........dharula iwe dharula kweli na isiwe abused.......otherwise law enforcers ndio wana matatizo..............
 
Hivi ni mara ngapi mmemshuhudia Mkullo akitumia njia hiyo ya dharula...........Hivi kuna mmoja kati yenu aliyemsimamisha na kumuuliza kama alikuwa na dharula au lah??...........mlitaka aanze kuwaambia nina dharula ndio mkubali..........hata wewe Tuandamane ungekuwa na dharula.........ni rukhsa.......au?

.........dharula iwe dharula kweli na isiwe abused.......otherwise law enforcers ndio wana matatizo..............

NImekuelewa, lkn ninavoelewa ukiwa na dharura japo uwashe "hazard lights" Mkullo hakufanya hivyo, na kwa jinsi muonekano wake ulivokuwa alikuwa hana dharura yeyote alikuwa amerilax kabisa anasoma gazet

Pili hii sheria ya dharura kihivo nani kaipitisha, inabidi ifike wakati tuseme NO! to these kind of "cheap actions" ni lini tutafika tunakokutaka kama bado tunasifia hivyo vidharura na kwa haraka nadhani kumi ya raia waliokuwa kwenye ule msururu walikuwa na dharura ikiwemo mimi mwenyewe na nilivumilia foleni

ili tuendelee hata hivi vitu vya namna hii tunatakiwa tuvikatae
 
Kitendo hicho Mkullo kina tofauti gani na Batilda Buriani na mawaziri wengine kuwa na watumishi wa ndani , wakiwa na uraia wa nje na hawana vibali vya kazi wala kuishi Nchini .Kwa neno la kujua Kiingereza kwa ajii ya wageni wao majumbani mwao ?

Kuna tofauti gani na Mama Salma kutumia WAMA kama shield na kufanya mambo yake ?
Tofauti ipi na CCM kusema hakuna mafisadi wakati wanajua Nchi inayumba kwa tabia zao wa udokozi na wizi ?

Mkullo ni reflection ya Utawala mzima wa JK
 
Mkullo kama alikosa integrity na kulala na mtoto aliyekuwa mdogo kuliko umri wa mwanawe wa kwanza unafikiri anaweza kuwa na integrity ya kuheshimu traffic stipulations? Au kupata degree credible?

Kama mtu ameamua kuchukua shortcut ya elimu kwa kuchukua degree feki, unafikiri kweli atashindwa kuchukua short cut ya kuchukua service road.

Kama mtu ameamua kuchukua short cut ya ku cook up data za budget, na ku present data feki bungeni, unafikiri ataogopa kuchukua shortcut ya service road?

I am more worried by other shortcuts we may not be readily privy to_Ones that we will only find out in hindsight.

Mambo kama haya yanasema mengi sana kuhusu sio tu Mkullo, bali hata Kikwete na utawala wake mzima pamoja na wote wanaowachagua.
 
Hivi ni mara ngapi mmemshuhudia Mkullo akitumia njia hiyo ya dharula...........Hivi kuna mmoja kati yenu aliyemsimamisha na kumuuliza kama alikuwa na dharula au lah??...........mlitaka aanze kuwaambia nina dharula ndio mkubali..........hata wewe Tuandamane ungekuwa na dharula.........ni rukhsa.......au?

.........dharula iwe dharula kweli na isiwe abused.......otherwise law enforcers ndio wana matatizo..............

Vitu vingine vinaboa kha......... Huyu mheshimiwa ni kweli hapendi kufuata sheria za barabarani hivi mnahabari kama gari yake iliua mtoto pale wami dakawa?? Kama hamjui basi habari ndo hiyo, jamaa alipita pale na speed ya ajabu while kuna vibao vinavyokuonyesha kuwa utembee na speed 50,walimgonga mtoto ambaye alifariki pale pale, gari yao ilibaki kidogo tu ianguke maana ilitembea umbali wa mitaka kama 50 hivi ndo ikasimama, lakini kwa wema wao wakageuza wakauchukua ule mwili wa marehemu na kuupeleka kituo cha polisi ambacho hakikuwa mbali na eneo la tukio..... Cha ajabu tukio hili halikutangazwa kabsaaa ila angekuwa NCHUMARI ndo kasababisha hiyo ajali tungesikia kila pande ya nchi hii na adhabu ambayo angeipata
 
Yote alijitakia mwenyewe huyo mkullo kwa sababu alikuwa mvivu wa kufikiri na kukaa darasani na aka attend classes yaani both lectures na seminars

kwa kutafuta short cut akaamua (allegedly) kufoji/kununua/ hiyo degree yake sasa hayo ndio matokeo yake

the man isnt a critical thinker na kapewa jukumu la kusimami pesa za watu milioni 40
 
Vitu vingine vinaboa kha......... Huyu mheshimiwa ni kweli hapendi kufuata sheria za barabarani hivi mnahabari kama gari yake iliua mtoto pale wami dakawa?? Kama hamjui basi habari ndo hiyo, jamaa alipita pale na speed ya ajabu while kuna vibao vinavyokuonyesha kuwa utembee na speed 50,walimgonga mtoto ambaye alifariki pale pale, gari yao ilibaki kidogo tu ianguke maana ilitembea umbali wa mitaka kama 50 hivi ndo ikasimama, lakini kwa wema wao wakageuza wakauchukua ule mwili wa marehemu na kuupeleka kituo cha polisi ambacho hakikuwa mbali na eneo la tukio..... Cha ajabu tukio hili halikutangazwa kabsaaa ila angekuwa NCHUMARI ndo kasababisha hiyo ajali tungesikia kila pande ya nchi hii na adhabu ambayo angeipata



hii inabidi CSI TEAM ya JF iifanyie kazi

na si hivyo tuuu....asisikie mkeo ananukia dudi huyu...hajali ni mwezi wa toba wala nini

Hivi wale wagazija waliomuadopt sijui wanajisikiaje....
 
Mkullo kama alikosa integrity na kulala na mtoto aliyekuwa mdogo kuliko umri wa mwanawe wa kwanza unafikiri anaweza kuwa na integrity ya kuheshimu traffic stipulations? Au kupata degree credible?

Kama mtu ameamua kuchukua shortcut ya elimu kwa kuchukua degree feki, unafikiri kweli atashindwa kuchukua short cut ya kuchukua service road.

Kama mtu ameamua kuchukua short cut ya ku cook up data za budget, na ku present data feki bungeni, unafikiri ataogopa kuchukua shortcut ya service road?

I am more worried by other shortcuts we may not be readily privy to_Ones that we will only find out in hindsight.

Mambo kama haya yanasema mengi sana kuhusu sio tu Mkullo, bali hata Kikwete na utawala wake mzima pamoja na wote wanaowachagua.

Asante Pundit! You made my week end....Mkulo ni zaidi ya tunayemfahamu.
 
kwa kifupi tu mnakwenda mbali, 75% ya kabineti ya Muungwana ni uchafu mtupu. Hii ya kuchukua njia ya mkato si yeye tu, ghariba wa hii ni Dr.Husein Mwinyi.
 
Vitu vingine vinaboa kha......... Huyu mheshimiwa ni kweli hapendi kufuata sheria za barabarani hivi mnahabari kama gari yake iliua mtoto pale wami dakawa?? Kama hamjui basi habari ndo hiyo, jamaa alipita pale na speed ya ajabu while kuna vibao vinavyokuonyesha kuwa utembee na speed 50,walimgonga mtoto ambaye alifariki pale pale, gari yao ilibaki kidogo tu ianguke maana ilitembea umbali wa mitaka kama 50 hivi ndo ikasimama, lakini kwa wema wao wakageuza wakauchukua ule mwili wa marehemu na kuupeleka kituo cha polisi ambacho hakikuwa mbali na eneo la tukio..... Cha ajabu tukio hili halikutangazwa kabsaaa ila angekuwa NCHUMARI ndo kasababisha hiyo ajali tungesikia kila pande ya nchi hii na adhabu ambayo angeipata

..........mi nakuambieni mijtu mijinga mijinga (au ile inayojifanya mijinga) ndio kila siku itaendelea ku-abuse nafasi/dhamana walizonazo and they will get away with it.............
 
Back
Top Bottom