Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Elizabeth Michael maarufu kama Lulu
KWA UFUPI
Juni 11, mwaka huu Mahakama Kuu ilikubali kufanya uchunguzi wa umri halali wa mshtakiwa, kufuatia maombi yaliyowasilishwa mahakamani hapo na jopo la...
WADAU NISAIDIENI HII SECTION INANITAKA MIMI KAMA MWAJIRI NIANDIKE NA NIREJISTE PLAN YA KUPROMOTE EQUAL OPPORTUNITY SIJAIELEWA KABISA NAOMBA UFAFANUZI WENU,NA KAMA YUPO ALIYEANDIKA THAT PLAN NA...
Habari zenu ndugu wasomaji ni matumaini yangu mu wazima wa afya .Kuna dada yangu kapelekwa polisi na wenzake kisa wamemkopeshea pesa. Tulienda polisi kumwekea mthamana lakini askari walisema hiyo...
Hili la katibu mkuu wa CCM kuzunguka na mawaziri kuelezea mafanikio ("anyway" na mikanganyiko) ya serikali inatokakana na mfumo wa katiba ipi?
Kwenye mihimili ya serikali kwa mujibu ya katiba ya...
Mkazi wa Mtaa wa Mbete, Kata ya Isanga Jijini Mbeya Bwana Yussuf Hamad(39),anatuhumiwa kumpa mimba binti yake wa kumzaa(16) jina lake limehifadhiwa. akiingia mahakamani leo mbele yake ni mke...
Ndugu zanguni nilipata ajali mbaya ya mkono yapata miezi 4 iliyopita nikiwa marekani kazini, mkono ulivunjika mara 4 . Nikafanyiwa operation under insurance company, pia wananilipa pesa ya kuwa...
Wakuu heshima;
Pamoja na kasi iliyopo nchini ya kumtafuta sana elimu popote alipo hata kama ni Uchina, kuna "wajinga" fulani hapo wilayani Rufiji badala kuzingatia masomo wao wanatishia kuwabaka...
Habari wanajukwaa,
Ninapenda kufahamu endapo kipengere kinachompa haki mtumishi mpya kupata pesa ya kusafiria katika utumishi wa umma kimeondolewa? i.e transport allowance on first appointment...
wadau kwakua bodi ya mkopo ya elimu ya juu tz inanigia mkataba na miye wakunpatipa pesa za chakula na maradhi nk kwa muda huhafaka je nauliza ni wapi naweza ishitaki hii bodi kipindi inapochelewa...
Habari zenu Wakuu,
Kuna rafiki yangu alinikopa laki 3 tarehe 1 mwezi November mwaka huu, tukaandikishana na kutiliana saini mimi, yeye na rafiki mwingine kama mdhamini kwani ndiye...
juzi nilienda polisi kutaka kufungua kesi ya kumdai mtu ambaye ananizungusha kunilpa bt cha kushangaza askari niliyemkuta counter akanijibu kuwa polisi hawaucki n kesi za madai wao wannahucka n...
Polisi kahukumiwa kifungo cha miaka 17. Ni baada ya kumuua kijana mmoja huko Soweto Afrika Kusini.
Polisi huyo ambaye bado ni mchanga kazini alimmiminia risasi kijana huyo ambaye inasemekana ni...
Following the publication of a prison diary which turned out to be the first ever book to elucidate vividly the situation in Tanzanian prisons, The Express was inspired and hence conducted an...
Harakati za Mahakimu wa Mahakama mbalimbali Tanzania kuapishwa kuwa Mawakili zimegonga mwamba. Taarifa toka Mahakama ya Rufani Tanzania zinasema kuwa Jaji Mkuu Othman Chande amewakatalia mahakimu...
habari za jioni wana jf,nimekuwa nikifanya kazi kwa m2 binafsi kwa zaidi ya miezi 8,lakini tarehe 1,mwezi huu,amekuja ofisini na kunitaka nimkabidhi ofisi yake na vi2 vingine nlivyokuwa...
Poleni na majukumu ya kila siku.Nilikuwa naomba msaada wa kisheria juu ya uanzishwaji wa kampuni.Kwa yeyote anayeweza kunisaidia katka hili naomba tuwasiliane kwa 0759-835929,au 0717-034065
Jamani!Kuna mdau yoyote anayejua kama ripoti ya uchunguzi ya tume iliyoundwa na 'Genious' Mh Dr Mwakyembe kama imewasilishwa ?Nakumbuka Mheshimiwa alitimua menejiment kwa mbwembwe na kuweka watu...
ALIYEKUWA Mbunge wa Sumbawanga mjini, Aeshi Hillary aliyevuliwa wadhifa huo na Mahakama Kuu Kanda ya Sumbawanga, amepata tumaini jipya baada ya mahakama hiyo kumruhusiwa kukata rufani kwa mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.