Ndugu zanguni nilipata ajali mbaya ya mkono yapata miezi 4 iliyopita nikiwa marekani kazini, mkono ulivunjika mara 4 . Nikafanyiwa operation under insurance company, pia wananilipa pesa ya kuwa off to work. Swali langu kwa wale wanaojua laws za marekani mnisaidie ukiacha mambo hayo ya matibabu je ni haki gani za msingi pia wanatakiwa wanilipe hawa insurance company? Baada ya mwaka ntafanyiwa evaulation ya mkono na kujua lump sum ya kunilipa kama lakini je na hili kovu la mkononi linahesabiwa vp?