josewatano
Member
- Sep 20, 2011
- 65
- 25
wadau kwakua bodi ya mkopo ya elimu ya juu tz inanigia mkataba na miye wakunpatipa pesa za chakula na maradhi nk kwa muda huhafaka je nauliza ni wapi naweza ishitaki hii bodi kipindi inapochelewa kunipa huo mkopo wangu kwa wakati