Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
  • Sticky
Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k. Binafsi nina e-library kubwa...
67 Reactions
991 Replies
202K Views
  • Sticky
Raia ana haki ya kumwomba askari ajitambulishe kwako. Mwulize jina lake Mwulize namba yake ya uaskari Raia ana haki ya kujulishwa kwanini anatiliwa mashaka ama kukamatwa. Raia ana haki ya...
107 Reactions
600 Replies
221K Views
  • Sticky
Ndugu zangu mliopita au mliopo kwenye uwanja wa mapambano(Law school) tujuzeni hali halisi ya pale..naanza kwa kuuliza maswali yafuatayo; 1.Ni kozi ngapi zinafundishwa 2.Utaratibu wa malipo ya...
6 Reactions
104 Replies
51K Views
  • Sticky
Mkataba wa ajira, kama ilivyo desturi kwa mikataba mingine kwa mujibu wa sheria, huzaliwa, huishi na kufa; kama ilivyo kwa binadamu na viumbe hai vingine. Unazaliwa mara baada ya mwajiriwa na...
13 Reactions
725 Replies
316K Views
  • Sticky
SURA YA KWANZA HISTORIA YA MFUMO WA MILKI YA ARDHI Chimbuko na misingi ya mfumo wa umiliki na matumizi ya ardhi yaliyopo sasa umepitia katika vipindi vifuatavyo:- A. MFUMO WA MILKI YA ARDHI...
11 Reactions
18 Replies
11K Views
  • Sticky
"Why do we Kill People who Kill People to Show that Killing People is Wrong ?" Je ni sawa kuwa na Hukumu ya Kifo? Baada ya yule Chizi wa Norway kuua kadamnasi ya watu (ukizingatia Norway life...
16 Reactions
329 Replies
93K Views
  • Sticky
Asha Mkwizu Hauli akipelekwa Mahakamani R. v. Asha Mkwizu Hauli, Crim Sessions Case No 3 of 1984 (DSM) (unreported).[/COLOR] Mnamo tarehe 19 Novemba , 1983 mwanamke mmoja aliyejulikana kwa...
79 Reactions
266 Replies
146K Views
  • Sticky
When I was in secondary school, the girl used to sit next to me died after performing illegal abortion. It was very sad because it happened a week before we started our final exams. Women who...
9 Reactions
153 Replies
71K Views
  • Sticky
  • Redirect
Wana-JF, Karibuni hapa kwa maswali mbalimbali yahusuyo Sheria ya Ndoa,1971.Wale wote waliopo kwenye ndoa na wanaotarajia kuwa kwenye ndoa wanakaribishwa hapa kuuliza na kujibiwa. Nitashirikiana...
13 Reactions
Replies
Views
Mimi ni Mtanzania mwezenu, nimeandika na kuweka katika jukwaa hili ili niweze kujengewa uwezo na ushauri na yeyote atakayeguswa na habari yangu; kama kuna sehemu haitaeleweka nipo kwa ajili ya...
26 Reactions
167 Replies
4K Views
Naomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu. Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia...
25 Reactions
283 Replies
13K Views
Mm nimtumishi wa umma katika idara ya afya, miezi sita nyuma nilihamia katika kata moja maeneo ya mkoa wa lindi kutumikia wananchi. Sasa katika utoaji wa huduma eneo nilipangiwa kikazi kama...
10 Reactions
75 Replies
800 Views
Habari wanajamii, natumai mko njema. Naomba kujuzwa hatua za kufuata ili kufungua file la usimamizi wa mirathi. Kwa maana vitu gani vinahitajika ili kuweza kuwa msimamizi na wapi anatakiwa kwenda...
2 Reactions
58 Replies
981 Views
Kuna jambo linaniumiza Kichwa sana. Baba yangu alikufa 2014, babu yangu(baba wa baba yangu) akafa 2021. Inasadikika muuaji ni mwanafamilia mshirikina; lkn hapa nataka kuleta hoja nisaidike...
0 Reactions
1 Replies
68 Views
Habari, Naomba msaada/Muongozo jinsi ya kufikisha rufaa kwa Rais. Nilipeleka rufaa tume ya utumishi wakaikataa, zaidi nimeongezewa kosa ambalo silitambui. Na Mwajiri hakufuata kanuni za...
1 Reactions
1 Replies
75 Views
Mfano hakimu kakushuhudia ukiiba, alafu hakimu huyo huyo ndiye anayekuhukumu akapelekewa ushahidi unaosema huku husika na tukio hilo. Nini kitatokea wana JF?
1 Reactions
8 Replies
162 Views
Namaanisha mwanafunzi wa kiume mwenye umri wa miaka 14 Ni kidato Cha pili! Mwanafunzi huyu anatuhumiwa kumpa mimba Mwanafunzi wa kike kidato Cha kwanza miaka 13 ya umri Mwelekeo ni kwamba wote...
2 Reactions
28 Replies
535 Views
BADILIKO 1: Ongezeko la kifungu kipya cha 9A ambacho hakipo kwenye sheria kinachotaja mafao ya mke/mume wa rais mstaafu. Baada ya rais kustaafu, mwenza/wenza wake atapokea kiasi cha fedha (kwa...
2 Reactions
6 Replies
247 Views
Salaam, Nianze kwa kutoa background fupi kati ya mimi na mzazi mwenzangu. Ni mwanamke ambaye nimezaa nae mtoto mmoja, kipindi amejifungua alikuwa akiishi kwa wazazi wangu mkoa tofauti na...
0 Reactions
3 Replies
181 Views
Kuna jamaa yangu kabisa tunafanya biashara moja kwa hiyo huwa tuna aminiana anaweza kunipa mzigo niende kumuuzia au kumnunulia na pia mimi nampa pia Mwaka jana mwezi wa 5 nikampa mzigo wa kama M6...
0 Reactions
6 Replies
796 Views
Asalam aleykum, nilifukuzwa kazi na utumishi na mamlaka yangu ya nidhamu. TSD kwa sasa TSC. Mimi ni mwalimu, nilikata rufaa Tume ya Utumishi wa Umma. Nao walikataa rufaa yangu. Nikakata rufaa kwa...
1 Reactions
39 Replies
6K Views
Kuna dogo mmoja Ni ndugu yangu wa mbali! Amepatwa na hekaheka ya kutotakiwa shuleni pamoja na wenzake kadhaa! Msimamo wa mkuu wa shule ni kwamba hawawahitaji wanafunzi hao shuleni kwake, hivyo...
3 Reactions
17 Replies
643 Views
Mimi ni fundi ujenzi kuna jamaa namdai yeye ni fundi aliniuzia kazi sasa kwenye kunilipa ndio shida hatujaandikiana ila ushaidi wa kawaida kua namdai upo sasa naomba kujua kama naweza kumshitaki...
1 Reactions
5 Replies
199 Views
Habari Wanasheria mlioko humu, Mimi nilijenga nyumba yangu maeneo yasiyo rasmi ( squatter) tangu mwaka 2014 na kuhamia , kipindi hicho hakuna barabara , umeme Wala maji. Wanacnchi tulijichanga...
3 Reactions
8 Replies
582 Views
Za asubuhi wapendwa, hope nyote mu wazima wa afya, na kwa wale wagonjwa Mwenyenzi Mungu awafanyie wepesi. Hapa mtaani kuna mama amerehemika, huyo mama ameacha mume na watoto 3. Mali zote...
1 Reactions
8 Replies
309 Views
Kawaida, tena on the spot, judgment zinazotolewa na HC and CoA zinawekwa kwenye website ya TANZLII. Such a sensitive judgment one would expect to be posted as soon as possible! Tuwekeeni...
0 Reactions
3 Replies
286 Views
Idara ya ardhi inapotenga eneo kuwa hii ni la viwanda, makazi, soko, shule kanisa, msikiti, Open Space, Soko etc, inatumia sheria gani kuingia kwenye eneo la mtu na kuligawa kwa matumizi mbali...
0 Reactions
1 Replies
158 Views
AGNES DORIS LIUNDI vs REPUBLIC (1978) SOMA kesi hii ya AGNES DORIS LIUNDI ya mwaka 1978 alivyo waua watoto wake 3 na kubakiza taji liundi pekee. Shared to you by Mr. George Francis 0713736006...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom