Idara ya ardhi inapotenga eneo kuwa hii ni la viwanda, makazi, soko, shule kanisa, msikiti, Open Space, Soko etc, inatumia sheria gani kuingia kwenye eneo la mtu na kuligawa kwa matumizi mbali mbali as such? Kote bila fidia.
2. Eneo la mtu unalipitisha barabara bila fidia.
What is the law governing that?
2. Eneo la mtu unalipitisha barabara bila fidia.
What is the law governing that?