Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

On JF:

Anonymous
Hivi, Hela ya mirathi inapocheleweshwa kulipwa na mahakama wakati hatua zote zimefatwa, na wakati huo umeshafikisha malalamiko mpaka kwa mkuu wa malipo ya mirathi na bado mnazungushwa, ni hatua...
1 Reactions
7 Replies
309 Views
A message comes in. “Hi Counsel, can I quickly ask something?” Then a 5-minute voice note follows. Then documents. Then another voice note. Before you realise it, you have: - analysed the...
4 Reactions
5 Replies
516 Views
Habari wana jamii,kuna jambo naomba muongozo kidogo wa kisheria kwa mwenye ufahamu nalo.Tuna mali tumerithi toka kwa baba yetu na tuko watatu lakini kwa bahati mbaya mwenzetu mmoja amefariki na...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nina ndugu yangu ,shughuli zake ni kuuza dawa asilia mtaa wa nyamwezi na mkunguni ,kariakoo. Akiwa kwenye majukumu yake mtaa huo,kuna ghorofa linaendelea na ujenzi, tofali likatoka...
2 Reactions
4 Replies
196 Views
Anonymous (ee77)
Habari, Hili limekuwa tatizo kubwa hasa kwa mikoa ya pembezoni kwa madalali wa mahakama kuu kutokuwa ma ofisi na maghara ya kuhifadhia mali wanazokamata. Hii ni changamoto kubwa kwani mahakimu...
0 Reactions
1 Replies
180 Views
Nataka kujua kisheria mwajiriwa ana haki gani pindi anapohamiswa kampuni au taasisi tofauti na iliyomwajiri mwanzo.
0 Reactions
9 Replies
222 Views
Jibu ambalo utalisikia mara nyingi si kwamba wanachukia sheria, bali wanahisi wanaweza kubambikiwa makosa au kutozwa faini hata pale wanapoamini hawajakosea. Badala ya askari kuonekana kama...
1 Reactions
0 Replies
183 Views
Habari za leo wakuu? Kwa wale wataalamu wa taratibu na sheria za ajira za Tanzania naomba ushauri juu ya muajiri huyu na ni hatua zipi kama muajiriwa napaswa kuchukua kabla ya kusaini mkataba wa...
0 Reactions
2 Replies
169 Views
Elimu ya sheria kuhusu usajili wa Makampuni nchini Tanzania. (Procedures for the registration of companies, costs for registration and things to take into account before and after registration of...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Anonymous
Wananchi wa Kata ya Mcharo, Wilaya ya Bunda, wanaomba mamlaka husika kuchunguza tuhuma za rushwa katika Mahakama ya Mwanzo ya Mcharo. Kwa mujibu wa madai yao, baadhi ya wananchi hukosa haki...
0 Reactions
1 Replies
185 Views
Heri ya Mwaka mpya wana JF,Nilikuwa naangalia CNN Connect of the day kuna huyu Bwana alikuwa akiongea someni kipi kilichompata.Mtu anaweza kuhukumiwa kunyongwa wakati akiwa hana makosa...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Kabla ya kuanza biashara, ni muhimu kuchagua muundo unaofaa malengo yako. Muundo wa biashara unaathiri usimamizi, uwajibikaji, ulipaji kodi & ukuaji wa biashara. Zifuatazo ni aina kuu za miundo...
2 Reactions
3 Replies
197 Views
Mahakama ya Mwanzo na Sheria zake: Mwandishi: Zakaria - Lawyer by profession). Watu wengi hata waliosoma sheria huwa wanachanganya kati ya sheria zinazotumika Primary Court na Sheria...
2 Reactions
3 Replies
7K Views
Kwa suala hili, wewe una mtazamo gani? Kijana kufungwa miaka 30 jela kwa kumpa mimba mwanafunzi ambaye, kwa mtazamo wa baadhi ya watu, alijitambua na hakulazimishwa, kisha kijana afungwe miaka 30...
0 Reactions
1 Replies
140 Views
Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Maswa, Joseph Timothy Kaare, anakabiliwa na malalamiko yanayodai kuwa amekuwa akiendesha shughuli za baraza hilo kwa kutumia maamuzi binafsi...
1 Reactions
2 Replies
190 Views
Eid Mubarak to all celebrating. Mimi ni Mtanzania halisi, miaka miwili nyuma nilinunua kiwanja huko kisiwani Zanzibar chenye thamani ya million 2.5. Tulienda kukiangalia kiwanja kisha...
5 Reactions
11 Replies
481 Views
Naomba anayejua maana ya gazeti la serikali ni nini. Naskia skia tu gazeti la serikali lakini sifahamu ni gazeti la HabariLeo au Daily News au ni lipi hilo?Msaada pls.
0 Reactions
45 Replies
24K Views
Elimu ya sheria: Kuhusu namna ya kufanya biashara yako iwe rasmi na inayoaminika kwa kufuata taratibu za kisheria. Kama unataka biashara yako iwe rasmi na ilindwe kisheria nchini Tanzania, fuata...
2 Reactions
1 Replies
187 Views
Wakuu, mwaka 1994, kuna mzee aliingia makubaliano ya kuuza eneo na halmashauri ya mji X, serikali ilitoa ahadi kuwa iwapo mwenye eneo atakubali kuiachia serikali basi yeye atanunuliwa kiwanja...
6 Reactions
5 Replies
215 Views
Back
Top Bottom