Ndugu Wanalugha, baada ya kuhamasishwa na mjadala mkali kuhusu uzawa, uasili, uzalendo na uraia nimeamua kubadili jina langu lisilo la Kiafrika ili niwe na jina la Kikwetu. Sasa shida niliyo nayo...
wadau kuna hili neno ambalo linashika umaarufu kwa kasi ''CHANGAMOTO'' licha ya kuwa nalitumia lkn sijapata maana yake, wadau naombeni msaada juu ya maana halisi ya neno hilo
MEZA YA FUTARI
Maghrib ilipofika, meza ya kufuturu ikajaa wapambe.
SAMBUSA alivyo mzuri, akatongozwa na BW MKATE WA TAMBI.
Kina MATOBOSHA wakamzoma "woooo umemkosaaa!! !"
"BW.KEBAB...
Vipo vingi vya kuiga, vinavyopaswa kuigwa,
Hivyo mtu akiiga, hata yeye ataigwa,
Ubaya siyo kuiga, ni vile vinavyoigwa,
Kuiga tunakoiga, twaiga na vya kijinga?
Mashindano ya urembo, tumeiga...
Swali nawaulizeni, mabingwa wa kiswahili,
Wanazuoni jibuni, kwa kina kiso bahili,
Hoja zenu zipangeni, kwa vyema ilo ayali,
Ndege asiyetulia, huyo anategwa vipi?
Ni ndege nimpendaye, kutwa...
Nimekuwa nikilichunguza jambo hili ninalotaka kuzungumzia muda mrefu lakini limekuwa linanipa shida kuelewa ni nani wa kubebeshwa lawama au la.
Siku za hivi karibuni, kundi kubwa la watu hasa...
mara nyingi nimesikia ikisemwa maji safi na salama.naomba kuuliza,je maji yanaweza kuwa safi lakini sio salama au yanaweza kuwa salama lakini sio safi?
Mfano: Kiswahili
2me = tume
cmu = simu
cc 2nakuja na 4mu ye2 = sisi tunakuja na fomu yetu
gari imetta = gari imetitia
tutawacliana 2jue m2 we2 kama u hai = tutawasiliana tujue mtu wetu yu...
MY PROMISES TO YOU
I can not promise you the world
Even if I could deliver it to you
I can not promise you the heaven
Even if I could grant it out of the blue
I can't promise what I could not...
Mimi mbwa nimefuga, ili nyumba ailinde,
Kwa jirani nimeiga, anaye kama kipande,
Wabaya akiwaniga, na kuwafanya wakonde,
Nini nitampa mbwa, ailinde nyumba yangu.
Cha ajabu huyu wangu, kutwa kucha...
Nimeandika shairi la ubeti mmoja naomba kama tunaweza kuuendeleza!
Hodi hodi naingia, Foramuni kuwajuza,
Wageni wamevamia, Nchi kuiteketeza,
Wenyeji baadhi pia, Hasa tuliowakweza,
Tanzania...
Penzi la kumegeana, si penzi la kupeana,
Penzi la kutegeana, kwa kibaba kupeana,
Penzi la kutishiana, la nini la kugawana?
Penzi la kumegeana, si penzi hilo hiana!
Penzi la kumegeana, ni...
Natumaini wazima wa afya wana jf atunabudi kumshukuru Mola, neno karibu ni neno la kistaarabu kwa kila Mtanzania
wherever you go, sio karibu every things 'NO' KARIBU...
Wa kijiji nimetinga, na swali nawapangia,
Magwiji toka Iringa, wa Tanga naulizia,
Na wa pwani mnotunga, fanya hima kujibia,
Ndege asiyewindwa, akinasa aliwe?
Ametoka bwana Kombo, keenda zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.