Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Ndugu Wanalugha, baada ya kuhamasishwa na mjadala mkali kuhusu uzawa, uasili, uzalendo na uraia nimeamua kubadili jina langu lisilo la Kiafrika ili niwe na jina la Kikwetu. Sasa shida niliyo nayo...
0 Reactions
47 Replies
7K Views
wadau kuna hili neno ambalo linashika umaarufu kwa kasi ''CHANGAMOTO'' licha ya kuwa nalitumia lkn sijapata maana yake, wadau naombeni msaada juu ya maana halisi ya neno hilo
0 Reactions
1 Replies
4K Views
MEZA YA FUTARI Maghrib ilipofika, meza ya kufuturu ikajaa wapambe. SAMBUSA alivyo mzuri, akatongozwa na BW MKATE WA TAMBI. Kina MATOBOSHA wakamzoma "woooo umemkosaaa!! !" "BW.KEBAB...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wakubwa shikamoo, wadogo habari zenu, naomba kufahamishwa tofauti au maana ya maneno haya: wizi = ? ujambazi = ? ujangili = ? ukibaka = ? uharamia = ? udokozi = ? utapeli = ? ...... Tafadhari...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Vipo vingi vya kuiga, vinavyopaswa kuigwa, Hivyo mtu akiiga, hata yeye ataigwa, Ubaya siyo kuiga, ni vile vinavyoigwa, Kuiga tunakoiga, twaiga na vya kijinga? Mashindano ya urembo, tumeiga...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kiswahili ni lugha ya watu gani? Risala enuka hima, sikae 'kataghafali N'na jambo 'takutuma, ubalegheshe suali Nipate jawabu njema...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Swali nawaulizeni, mabingwa wa kiswahili, Wanazuoni jibuni, kwa kina kiso bahili, Hoja zenu zipangeni, kwa vyema ilo ayali, Ndege asiyetulia, huyo anategwa vipi? Ni ndege nimpendaye, kutwa...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Mtukufu Ramadhani! Date: 7 September, 2007 Bismilahi Raufu, Mhariri gazetini, Mimi sio maarufu, hapo kwenu kilingeni, Nataka kuwaarifu, Islamu na Misheni, Mwezi huu Mtukufu, kiumbe wacha...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nimekuwa nikilichunguza jambo hili ninalotaka kuzungumzia muda mrefu lakini limekuwa linanipa shida kuelewa ni nani wa kubebeshwa lawama au la. Siku za hivi karibuni, kundi kubwa la watu hasa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kula chungwa, kunywa chungwa, kunyonya chungwa.Ipi lugha sahihi?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Haya.. mapumziko time! Wewe unataka hiki, naye anataka kile, Mkononi unachaki, ubao wake ni ule, Mwaitana marafiki, tangu nyie mko shule, Ulichonacho ataka, alichonacho wataka Mbona...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
mara nyingi nimesikia ikisemwa maji safi na salama.naomba kuuliza,je maji yanaweza kuwa safi lakini sio salama au yanaweza kuwa salama lakini sio safi?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mfano: Kiswahili 2me = tume cmu = simu cc 2nakuja na 4mu ye2 = sisi tunakuja na fomu yetu gari imetta = gari imetitia tutawacliana 2jue m2 we2 kama u hai = tutawasiliana tujue mtu wetu yu...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
DURUSUNI SOMO HILI. Durusuni somo hili, Kwanini hamdurusu? Somo hili Kiswahili, kingereza hakihusu, Durusuni msifeli, somo lote siyo nusu. v Somo kaleta Mwalimu, Pamoja na mtihani. Wanafunzi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MY PROMISES TO YOU I can not promise you the world Even if I could deliver it to you I can not promise you the heaven Even if I could grant it out of the blue I can't promise what I could not...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi mbwa nimefuga, ili nyumba ailinde, Kwa jirani nimeiga, anaye kama kipande, Wabaya akiwaniga, na kuwafanya wakonde, Nini nitampa mbwa, ailinde nyumba yangu. Cha ajabu huyu wangu, kutwa kucha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimeandika shairi la ubeti mmoja naomba kama tunaweza kuuendeleza! Hodi hodi naingia, Foramuni kuwajuza, Wageni wamevamia, Nchi kuiteketeza, Wenyeji baadhi pia, Hasa tuliowakweza, Tanzania...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Penzi la kumegeana, si penzi la kupeana, Penzi la kutegeana, kwa kibaba kupeana, Penzi la kutishiana, la nini la kugawana? Penzi la kumegeana, si penzi hilo hiana! Penzi la kumegeana, ni...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Natumaini wazima wa afya wana jf atunabudi kumshukuru Mola, neno karibu ni neno la kistaarabu kwa kila Mtanzania wherever you go, sio karibu every things 'NO' KARIBU...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wa kijiji nimetinga, na swali nawapangia, Magwiji toka Iringa, wa Tanga naulizia, Na wa pwani mnotunga, fanya hima kujibia, Ndege asiyewindwa, akinasa aliwe? Ametoka bwana Kombo, keenda zake...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom