Nasikitika sintoweza kuweka sehemu yote ya shairi hili kwa sababu za zilizo ndani ya uwezo wangu ukizingatia hali ya mijadala ya kisiasa na upepo dhoruba ndani ya CHADEMA. Enjoy!!
Ikiwa chungu...
Mpenzi wangu wa moyo, uzurio nauenzi,
nachunguza wangu moyo, nipate japo utenzi,
niseme bila uchoyo, jinsi gani nafa ganzi,
kutoka ndani ya moyo, nakupenda ua ridi.
Si kwa umbo wala sura...
Nimeivuta manati, kumlenga ndege huyu,
Nikasikia sauti, siyo yake mbayuwayu,
Kutoka tawi la mti, si mbuyu ni mkuyu
Ndege anataka jina, bila jina hatunguki
Nimwite nani?
Kwanza nipe hilo...
Kiswahili kweli si chetu. Chetu ni lugha mama. Nimeona kwenye cnn mwarabu akimwonyesha ripota. And this is "miswaki". Ya vijiti lakini. hata hili neno kumbe tumedesa!
jamani naomba mnisaidie kiswahili fasaha juu ya wingi wa neno albino. Mara nyingi watu wamekuwa wakiwaita walemavu wa ngozi maalbino jambo ambalo kwa mtazamo wangu naona kama sio sahihi. Mfano mtu...
Thanksgiving is around the block
Looking for a turkey to moist out my coke (sic)
A turkey which has the thickest juiciest crutch (sic)
Ain't you the one…my naked turkey beau?
I wanna a...
Wadau, mimi natatizwa kidogo na matumizi ya maneno bibi ba bwana. Ninavyofahamu, bibi na bwana inatumika kutaja watu wawili wa jinsia tofauti ambao uhusiano wao ni rasmi (i.e Mr and Mrs)...
LAST BREATH
From those around I hear a Cry,
A muffled sob, a Hopeless sigh,
I hear their footsteps leaving slow,
And then I know my soul must Fly!
A chilly wind begins to blow,
Within my soul...
Hivi mwanamme ana maana gani anaposema 'girlfriend wangu wa kike' au mwanamke anaposema 'boyfriend wangu wa kiume'.Maneno haya nakutana nayo kila mara kwenye mazungumzo na watu na nimechoka...
Habari za leo wanjf,Leo ni sikukuu ya HALOOWEEN, naomba kufahamishwa tafsiri halisi ya neno HALOOWEEN kwa kiswahili, au maana yake kwa kiswahili tunaweza kufananisha na sherehe za mila ghani za...
NAPENDA KUANDIKA
Kalamu ya risasi tosha, naandika na kufuta.
Matendo yalonikosha,pia yalonikokota.
Yote nayaoanisha, wazo kamili napata.
Kwa njia ya ushairi, mie hupenda andika.
Lugha yangu ni...
Mlio Tz naona hili neno mnalitumia sana.
Nimeliona mara lukuki kwenye blog moja.
Ninavyojua My= belong to me
Iweje hili neno sasa linatambulishwa kwenye jamii? Utasaikia mtu akisema Jamaa...
Je unakubaliana na huyu Muungwana anayeandika matumizi ya haya maneno hapo chini?
Si vibaya tukapeana japo nyepesi nyepesi za lugha ya kiswahili baada ya kuonekana watu wengi kuitumia lugha hii...
Ngugu wana JF,naomba kama kuna mtu yeyote humu ndani anayejua hivi vitu kwa kiingereza vinaitwaje anisaidie,sababu nimeshahangaika mpaka nimeamua tafuta msaada kwenu,kama kuna mtu anajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.