Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Tuliza moyo habiba, moyo wako na upoe, Upunguzie shuruba, hofu yote iondoe, Penzi letu sio haba, huzuni yako itoe, Tuliza moyo habiba, Penzi letu limeshiba! Tuliza moyo habiba, ni mbali...
0 Reactions
18 Replies
35K Views
Waswahili hivi Nyoka huwa anauma au anang'ata?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Salamu marafiki. Nimekuwa nikisoma mabandiko kadhaa katika ukumbi. Nimeona kuwa kuna watu wana tabia ya kufupisha maneno kama kusikia basi nakadhalika kwa kueka herufi "c" badala ya herufi "s"...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Salaam wenzangu hasa wataalamu wa habari za kijeshi. Naomba msaada kuhusu maneno kwa ajili ya vitengo ya kijeshi. Kiingereza: Company, battalion, regiment, brigade, division, corps, army Nasikia...
0 Reactions
3 Replies
27K Views
Mwenye kukupa furaha, ewe moyo mchague, Asiyeleta karaha, ewe moyo mchukue, Mwenye kukupa staha, ewe moyo uamue, Moyo ukipenda moyo, moyo hutuliza moyo! Mwenye kusimama nawe, ewe moyo...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
habari zenu wanajamii .. mimi huwa najitatiza swala zima la huyu samaki pomboo sijapa kumuona na pia sijui kizungu aitwaje? je ni kama wale binti wazuri wa kusadikaka katika hadithi zetu samaki...
0 Reactions
9 Replies
29K Views
Tanzania nchi yangu, yenye uso wa kung’aa, Afrika na Ulimwengu, sifa tele tapakaa, Wahindi nao wazungu, hakuna wa kuhadaa, Jinsi ilivyo sifika, kwa uongozi thabiti. Ilijulikana pote, Tanzania ya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kwa siri yake mtungi, aijuaye ni kata, Na nyumba bila msingi, utapasuka ukuta, Kila palipo na wengi, na mambo ya yatambata, Kugunduliwa kompyuta, bin'Adamu hana kazi. Binadamu hana kazi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kutoka na misemo mingi ambayo huchafua lugha kwa kutumia misemo hii mimim naona si vema kutumika na kufindishwa mashuleni kwa watoto hutafsiri misemo hii kwa matendo na kusimiliana na kuyafanya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kina mama wenye watoto daima wanaitwa kwa majina ya watoto wao, mf. kama mtoto wake anaitwa "Mfaume" basi mama yake ataitwa "Mama Mfaume". Miaka ya karibuni - kama sikosei - kina mama wamekuwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Napatwa utata pale mtu anapoulizwa jina lake au kuagizwa aandike jina lake, kisha anajibu au kuandika, mimi ni fulani fulani fulani ( John Alfa Mohamedi). Ni sahihi mtu kujibu au kuandika majina...
0 Reactions
23 Replies
9K Views
Nawaza kuwa ingekuwa vema kukawa na lugha moja ambayo itakuwa ndiyo Lugha rasmi ya ulimwengu wote. Kuwepo kwa Lugha moja rasmi ya ulimwengu, kungeleta faida zifuatazo:- Kurahisisha mawasiliano...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Huenda si hoja mpya, lakini najiuliza endapo tunajua kwamba Kenya inanufaika zaidi na Kiswahili licha ya kuwa na wazungumzaji wachache kuliko Tanzania? Nasema hayo kwasababu kibiashara au...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Zabibu langu li tamu, Pekee lanipa hamu, Ni tamu tunda adhimu, La kale kama ya Shamu! Linaendelea...
0 Reactions
51 Replies
10K Views
Tanzania ni taifa kubwa katika A.Mashariki. Cha kushangaza ni kwamba hatuna ONE OFFICIAL language. Tunatumia Kiswahili mitaani, kwenye mikutano,nk. lakini tunafundishwa Kiingereza mashuleni na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Neno Nafikiri humaanisha kufanya uchambuzi kwa lengo la kutafuta ufumbuzi wa jambo fulani kwa kutumia ubongo. waingereza hutumia "I think" Neno Nahisi humaanisha utambuzi wa jambo au hali fulani...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Namfundisha mwanangu kiswahili sasa kaniuliza hii spana inayofungua bolts nyingi tofauti inaitwaje? Jibu najua ni Spanna Malaya..lakini hili jina halijakaa sawa kwa mtoto mdogo, maana anaweza...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
  • Closed
Wadau walikosa jina la huyo samaki?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwanza, salaam za dhati ni kwenu ninyi ndugu, nimetafiti kidogo juu ya neno ASILI na CHANZO lakini bado nakanganyika kimatumizi hadi inafika wakati naamua kuyatumia popote tu hali ambayo imenipa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Helena, mwanamke mwenye ujauzito wa miezi mine, amekaa sebuleni, ndani ya nyumba nzuri ya kifahari, waliyonnunua na mumewe Samson, anawaza na kutafakari maisha ya ndoa yake yenye miezi mitatu tu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom