Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
wapendwa leo Geof amewashukuru wanaJF wote kwa ushirikianao waliotoa kufanikisha arusi (wataalam wanasema sio HARUSI) yake . kichwa cha habari cha thread yake ameanza "SHUKRANI.........." Sasa mie nilipoona nikakumbuka neno hili hutumiwa sana na watu wafanyaPo kumbukizi za marehemu au HITMA hasazile zinazotangazwa kwnye magazeti.
mfano unakuta wanaandika :
SHUKRANI
leo ni miaka miwili tangu tulipoondokewa na mpendwa wetu..............................
sasa tusaidiane:
nini chanzo cha neno hili (SHUKRANI) kutumika kuwafanyia marehenmu hitma au (kumbukizi) zaidi kuliko matuKio mengune?????????
mfano unakuta wanaandika :
SHUKRANI
leo ni miaka miwili tangu tulipoondokewa na mpendwa wetu..............................
sasa tusaidiane:
nini chanzo cha neno hili (SHUKRANI) kutumika kuwafanyia marehenmu hitma au (kumbukizi) zaidi kuliko matuKio mengune?????????