Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Naomba mwenye beti zote za wimbo wa halaiki audondoshe hapa.nauhitaji tafadhali wadau.
0 Reactions
0 Replies
939 Views
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Wakuu na wataalam wa lugha yetu ipi ni kauli sahihi inyapaswa kutumiwa kati ya hizo mbili, mara nyingi nimewasikia viongozi akiwemo waziri wetu mkuu wakipenda sana kuitumia kauli moja kati ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau wa lugha naomba mnisaidie juu ya neno hili 'worry out' maana naona limeshika kasi sana kwenye mazungumzo na maandishi yasiyo rasmi(informal writings). Nashindwa kuelewa kama ni sahihi ama si...
0 Reactions
6 Replies
15K Views
Neno Washenzi asili yake haswa lilikuwa likimaanisha watu wote wanaotoka Bara yaani katikati ya Ziwa Tanganyika na ukanda wa Pwani, kwa maana wakati huo walikuwa hawajastaarabika na hivyo Watu wa...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Jamani, naomba kujua maana ya waraga.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wadau naomba kufahamishwa maana ya neno 'exclusive' kwa kiswahili. Nimeangalia kwenye kamusi lakini sijapata maana yake kamili!
0 Reactions
7 Replies
16K Views
Nimekua nikisoma majibu kwa watoa post, "pouwa mzeiya." maana yake nini?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wadau,samahani nimekwama kidogo hapa nahitaji kujua "shamba la mfano" kwa kiingereza litaiwaje.Niko nafanya kazi ya mtu hapa sasa mimi mwenyewe natakiwa niwe dictionary ya swahili tu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa anayefahamu jina hasa la mtoto wa mbuzi kwa kiswahili anifahamishe.
0 Reactions
22 Replies
51K Views
Hello wadau, Naomba mnisaidie maana ya neno 'LIWA' ni chemical au mmea au kitu gani, Nitashukuru kwa msaada wenu. Joack
0 Reactions
9 Replies
3K Views
1. Kudumbukia 2. Kutumbukia Lipi neno sahihi?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Rejea hapo juu hili neno linatamkwaje ? Je ni Wawi, Wawe.. au ?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba mnisaidie maana za maneno haya: 1. Wamsha kinehe 2. Duhu 3. Sanzi Ikibidi mniongezee mengine kwani nataka kuoa kwenu.
0 Reactions
192 Replies
26K Views
1.Shabiki wa timu ya simba ana mke.
1 Reactions
62 Replies
10K Views
- Njama - Dondoka - Anguka Wajuzi wa lugha naomba muongozo hapo.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari zenu wandugu? Hili tatizo la baadhi ya watu kuondoa herufi 'h' kwenye maneno linazidi kukua. Kila siku nakutana na maneno haya: ataki badala ya hataki, uyu badala ya huyu, awezi badala ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Samahani wakuu naomba mnisaidie swali hili kwa anaejua! ""Hali ya kitenzi kuhitaji au kutokubitaji yambwa inaitwaje?""! Nawasilisha!
0 Reactions
2 Replies
963 Views
Wakuu hawa wadogo zetu wanakoelekea sio kuzuri.Inahitajika busara za ziada kuwarudisha kwenye mstari. Hii ni sms ya mdogo wangu wa kike miaka 19 akiniomba msamaha baada ya kurudi akiwa pombe...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari WAungwana, Leo Na wapa Siri Chache za Kiswahili. 1. Je Unajua Kua Kiswahili Kina Zaidi Ya Methali 600? 2. Je Unajua Kua Kiswahili kina ZAidi Ya Nahau 350? 3. Je Unajua Kua Kiswahili Kina...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom