Wakuu na wataalam wa lugha yetu ipi ni kauli sahihi inyapaswa kutumiwa kati ya hizo mbili, mara nyingi nimewasikia viongozi akiwemo waziri wetu mkuu wakipenda sana kuitumia kauli moja kati ya...
Wadau wa lugha naomba mnisaidie juu ya neno hili 'worry out' maana naona limeshika kasi sana kwenye mazungumzo na maandishi yasiyo rasmi(informal writings). Nashindwa kuelewa kama ni sahihi ama si...
Neno Washenzi asili yake haswa lilikuwa likimaanisha watu wote wanaotoka Bara yaani katikati ya Ziwa Tanganyika na ukanda wa Pwani, kwa maana wakati huo walikuwa hawajastaarabika na hivyo Watu wa...
Habari zenu wadau,samahani nimekwama kidogo hapa nahitaji kujua "shamba la mfano" kwa kiingereza litaiwaje.Niko nafanya kazi ya mtu hapa sasa mimi mwenyewe natakiwa niwe dictionary ya swahili tu...
Habari zenu wandugu? Hili tatizo la baadhi ya watu kuondoa herufi 'h' kwenye maneno linazidi kukua. Kila siku nakutana na maneno haya: ataki badala ya hataki, uyu badala ya huyu, awezi badala ya...
Wakuu hawa wadogo zetu wanakoelekea sio kuzuri.Inahitajika busara za ziada kuwarudisha kwenye mstari.
Hii ni sms ya mdogo wangu wa kike miaka 19 akiniomba msamaha baada ya kurudi akiwa pombe...
Habari WAungwana, Leo Na wapa Siri Chache za Kiswahili.
1. Je Unajua Kua Kiswahili Kina Zaidi Ya Methali 600?
2. Je Unajua Kua Kiswahili kina ZAidi Ya Nahau 350?
3. Je Unajua Kua Kiswahili Kina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.