Watu tunaongea kilugha tukidhani ni kuswahili fasaha, hakuna kiswahili cha ga mwishoni.
Hivi fugo kwa kiswahili ni nini? Nimekuja mjini na gari la kabeji lakini bado sijajua neno hili.
Kweli kilugha hiki, Hapa wametuenzi aisee maana ndio zetu hizi wenyeji wa kuanzia Tabora, Shy, MZA, Geita na ilikuwa ukiongea hivyo lazima kuna mtu atakurekebisha au atajua umeshuka leo kutoka Nyang'homango, ajabu siku hizi imekuwa common mpaka inasikitisha tena wengine wanapenda kutumia neno "tangia" badala ya "tangu"Watu tunaongea kilugha tukidhani ni kuswahili fasaha, hakuna kiswahili cha ga mwishoni.
Hivi fugo kwa kiswahili ni nini? Nimekuja mjini na gari la kabeji lakini bado sijajua neno hili.
Kweli kilugha hiki, Hapa wametuenzi aisee maana ndio zetu hizi wenyeji wa kuanzia Tabora, Shy, MZA, Geita na ilikuwa ukiongea hivyo lazima kuna mtu atakurekebisha au atajua umeshuka leo kutoka Nyang'homango, ajabu siku hizi imekuwa common mpaka inasikitisha tena wengine wanapenda kutumia neno "tangia" badala ya "tangu"
Alafu siku hizi ndio imekuwa utaratibu na kinachosikitisha mpaka radio zetu watangazaji wanayatumia sana haya maneno (ukichanganya siku hizi hawatangazi bali vipindi vingi ni wanaongea, kunakuwa hakuna script wala mwongozo wowote mtu anatamka na mwisho wa siku nchi nzima inaingia kwenye huu uongeaji)
Huongeaji wa namna hii tulikuwa nao watu tuliotoka huku Imalamakoye, Ihayabuyaba na kule Sikonge, na ilikuwa ukizungumza unachekwa kweli unaonekana wa wapi sasa siku hizi kila mtu.
Kweli kilugha hiki, Hapa wametuenzi aisee maana ndio zetu hizi wenyeji wa kuanzia Tabora, Shy, MZA, Geita na ilikuwa ukiongea hivyo lazima kuna mtu atakurekebisha au atajua umeshuka leo kutoka Nyang'homango, ajabu siku hizi imekuwa common mpaka inasikitisha tena wengine wanapenda kutumia neno "tangia" badala ya "tangu"
Hivi hili nalo tutalaumu utandawazi kweli? Kwa wakati mwengine naona matumizi ya misamiati hii ni kusudi za mtu binafsi.
Ila kwa mbaali unakuta kuna umahili, mazingira na kujikweza ndani yake mpaka mtu anazungumza hivi. Kwa mfano mtu anapotamka "tangia" badala ya "tangu" ni dhahiri kuna kujibwetesha katika matumiz ya lunga na kukiuka kaida zake.
Sioni ubaya wowote kama matumizi ya neno "ga" yakirasimishwa kwenye lugha ya kiswahili. Kwa hatua tuliyofikia ni itakuwa ni vyepesi zaidi kulikubali kuliko kulizuia.
Mkilitoa neno "ga" sisi watu wa iringa mtatuonea sana
Hichi ni kiambishi mkuu sio neno...