chaUkucha JF-Expert Member May 28, 2012 3,382 1,210 Jun 19, 2014 #1 maana yake nini? uwa najiuliza sipati jibu.
mrangi JF-Expert Member Feb 19, 2014 83,009 110,933 Jun 19, 2014 #2 ni unafiki tu sana sana --------- sana na wasani oh mm ni kioo cha jamii.kumbe fiksi
mrangi JF-Expert Member Feb 19, 2014 83,009 110,933 Jun 19, 2014 #3 chaUkucha said: maana yake nini? uwa najiuliza sipati jibu. Click to expand... ni kama mfano wa kuigwa wa mtu, lakini ni unafiki tu usemi huo mkuu
chaUkucha said: maana yake nini? uwa najiuliza sipati jibu. Click to expand... ni kama mfano wa kuigwa wa mtu, lakini ni unafiki tu usemi huo mkuu
Horseshoe Arch JF-Expert Member Aug 10, 2009 13,173 12,353 Jun 19, 2014 #4 Kila unalolifanya linakuakisi kwenye jamii...