Zarafi Zekitabu
Member
- Oct 22, 2013
- 38
- 0
Naombeni msaada wenu, mara nyingi tumekuwa tukishuhudia na kuwaona watu wenye matatizo ya:-
Kuona > tunawaita vipofu,
Kusikia > tunawaita viziwi,
Kusema > tunawaita mabubu,
Sasa hawa watu ambao hawawezi kuhisi harufu yeyote ile (pua zao hazina uwezo wa kunusa) tunawaitaje?
Kuona > tunawaita vipofu,
Kusikia > tunawaita viziwi,
Kusema > tunawaita mabubu,
Sasa hawa watu ambao hawawezi kuhisi harufu yeyote ile (pua zao hazina uwezo wa kunusa) tunawaitaje?