SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
Leo siku ya Jumamosi 28/6 muda kama wa saa 5.30, nilimsikia Waziri wa
Fedha Mh. Sada Mkuya aki wind up mswada wa sheria ya fedha akisema kwa kiingereza: 'I
can see a huge different.....'
Huu mtindo wa wabunge kuchanganya kiingereza na kiswahili bungeni ninaupinga sana.
Waziri huyu kaacha kutumia kiswahili akatumia kiingereza ambacho si sahihi.Kwa nini mnapenda
kung'ang'ania lugha ngeni na kuacha lugha yetu nzuri ya kiswahili? Na
mnapotumia hicho kiingereza mnakosea vibaya sana!
Ninachojiuliza: Je, mtu hawezi kufahamu kiwango cha ufahamu wake wa lugha fulani?
Na ukifahamu kwamba uwezo wako wa kiingereza ni mdogo, huwezi kwenda English course?
Mimi kwa mawazo yangu kuna wabunge na mawaziri wanahitaji kozi kali ya business english.
Fedha Mh. Sada Mkuya aki wind up mswada wa sheria ya fedha akisema kwa kiingereza: 'I
can see a huge different.....'
Huu mtindo wa wabunge kuchanganya kiingereza na kiswahili bungeni ninaupinga sana.
Waziri huyu kaacha kutumia kiswahili akatumia kiingereza ambacho si sahihi.Kwa nini mnapenda
kung'ang'ania lugha ngeni na kuacha lugha yetu nzuri ya kiswahili? Na
mnapotumia hicho kiingereza mnakosea vibaya sana!
Ninachojiuliza: Je, mtu hawezi kufahamu kiwango cha ufahamu wake wa lugha fulani?
Na ukifahamu kwamba uwezo wako wa kiingereza ni mdogo, huwezi kwenda English course?
Mimi kwa mawazo yangu kuna wabunge na mawaziri wanahitaji kozi kali ya business english.