Hivi Kenya, Uganda & Co. Ni English Speaking Countries?

Kijakazi

JF-Expert Member
Jun 26, 2007
6,410
8,911
Napenda kujua kwa anayefahamu, hivi Nchi za Kiafrika kama Kenya, Uganda, Zambia, Nigeria, Ghana Malawi n.k zinastahili kuitwa kwamba ni nchi zinazoongea Kiingereza (English Speaking Countries)?
Yaani ninachomaanisha ni kama vile kwa mfano Mtu akisema Nchi ya Australia ni English Speaking Country au Marekani ni English Speaking Country, sasa Je hawa wenzetu (Kenya, Uganda &Co.) na wao wamo kwenye hilo kundi?

Nauliza hivyo kwa maana nimesikia kwamba hawa jamaa kama Kenya na wenzake kwa mfano wakitaka kwenda kusoma Marekani ni lazima wafanye mtihani unaoitwa TOEFL (Test of English as a Foreign Language) au Mtihani wa kupima uwezo wa kuongea na kuandika kwa kutumia Lugha ya Kiingereza, lakini Raia wa Australia au Canada au sijui New Zealand hana haja ya kufanya TOEFL...sasa ni kwa nini?
 
Hizo nchi za kiafrika ulizozitaja zote zina watu wengi tu hawajui kuzungumza kiingereza. Hivyo sio ajabu kwa watu wao kutahiniwa kiingereza.
 
kenya, uganda,malawi na nigeria ni nchi za kikabila,kenya vijijini wanaongea sana kikikuyu na kijaluo, uganda huongea buganda na malawi wana lugha yao ya taifa sio english. ni kwamba tu kazi zao za kiserikali wanaendesha kwa english kama wakoloni walivyowaachia.
 
kenya, uganda,malawi na nigeria ni nchi za kikabila,kenya vijijini wanaongea sana kikikuyu na kijaluo, uganda huongea buganda na malawi wana lugha yao ya taifa sio english. ni kwamba tu kazi zao za kiserikali wanaendesha kwa english kama wakoloni walivyowaachia.

what a shallow mindset. sio ajabu tz is always lagging behind in everything.leo tz cpmpared to kenya and other EA countries english comprehesion is lowest in tz. anyone in the world whose first language is not english as either english, french or some other language as their first foreign language.kenya as english as its first foreign language. taking school in the US you test becoz english is not your native language, testing among others your basic skills in being able to be instructed in english. kenya has 42 different local lanuages among them kikuyu and luo. you sound so illiterate. kiswahili is not a local language.mizizi yake ukoloni wa waarabu. tanzania lugha za mama zipo usijifanya hapa bwana.wahehe, wachagga n.k
 
kenya, uganda,malawi na nigeria ni nchi za kikabila,kenya vijijini wanaongea sana kikikuyu na kijaluo, uganda huongea buganda na malawi wana lugha yao ya taifa sio english. ni kwamba tu kazi zao za kiserikali wanaendesha kwa english kama wakoloni walivyowaachia.

Malawi ni chichewa.
 
what a shallow mindset. sio ajabu tz is always lagging behind in everything.leo tz cpmpared to kenya and other EA countries english comprehesion is lowest in tz. anyone in the world whose first language is not english as either english, french or some other language as their first foreign language.kenya as english as its first foreign language. taking school in the US you test becoz english is not your native language, testing among others your basic skills in being able to be instructed in english. kenya has 42 different local lanuages among them kikuyu and luo. you sound so illiterate. kiswahili is not a local language.mizizi yake ukoloni wa waarabu. tanzania lugha za mama zipo usijifanya hapa bwana.wahehe, wachagga n.k

Sijajua ni nini hasa kinachosababisha utoke povu. Hivi huyu unayemwita ana shallow mindset na wewe kuna tofauti yoyote kweli? Ungejibu swali kama lilivyoulizwa bila kutoa povu ungeweza kusaidia wengi.
 
Mtoa mada naona anahangaika sana na Kingereza cha Kenya. Kuna post nyingi ametoa kuhusu Kingereza Kenya. Inafaa ifahamike kwetu Kiswahili hatukidhamini sana, maana uwezo wake kwenye corporate world bado finyu. Kinatumika sana na mama nitilie, vijakazi na wadau vijiweni. Lakini ofisini Kingereza ndio mno maana kinatupatia competitive advantage globally.

Kingereza huwezi epukanaek nacho, la si kwa kutumia Kiswahili, labda lugha zilizo komaa kama Kichina na Kifaransa. Bongo niliona matangazo mengi eti "Ongea Kingereza baada ya wiki sita". Wengi mnadhani ni rahisi kujifunza lugha ghafla na kuongea. Lazima mubadilishe na muanze kuwafundisha wakiwa wadogo, hilo lenu la kuanza kufundishia kwa lugha ya Kingereza baada ya kidato cha kwanza is very confusing.
 
what a shallow mindset. sio ajabu tz is always lagging behind in everything.leo tz cpmpared to kenya and other EA countries english comprehesion is lowest in tz. anyone in the world whose first language is not english as either english, french or some other language as their first foreign language.kenya as english as its first foreign language. taking school in the US you test becoz english is not your native language, testing among others your basic skills in being able to be instructed in english. kenya has 42 different local lanuages among them kikuyu and luo. you sound so illiterate. kiswahili is not a local language.mizizi yake ukoloni wa waarabu. tanzania lugha za mama zipo usijifanya hapa bwana.wahehe, wachagga n.k

you've no credibilities of calling others shallow mindset.the one that fits in that category is you.
what english word is "cpmpared"? or "lanuages"?.
and what sentence is this "kenya as english
as its first foreign language.."?kamba?

CC Askari Kanzu
 
Last edited by a moderator:
you've no credibilities of calling others shallow mindset.the one that fits in that category is you.
what english word is "cpmpared"? or "lanuages"?.
and what sentence is this "kenya as english
as its first foreign language.."?kamba?

CC Askari Kanzu
Hawa vinyangalikita wengi wao bado wapo gizani. Kubishana nao ni sawa na kupoteza wakati!
 
Hawa vinyangalikita wengi wao bado wapo gizani. Kubishana nao ni sawa na kupoteza wakati!

hahaha !
huyu waltham ni shida kweli mkuu, hajui kuandika kizungu,hajui kuandika kiswahili.
lugha pekee anayomudu ni kikamba pekee.
ndio mana kila mada anayo changia hukimbilia kuleta vitu vya ku-google kuliko vya kuandika yeye mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
hahaha !
huyu waltham ni shida kweli mkuu, hajui kuandika kizungu,hajui kuandika kiswahili.
lugha pekee anayomudu ni kikamba pekee.
ndio mana kila mada anayo changia hukimbilia kuleta vitu vya ku-google kuliko vya kuandika yeye mwenyewe.

sikulaumu kamwe wewe ni mtz, kuelewa kwako ni chini ya maji.i will let that pass
 
what a shallow mindset. sio ajabu tz is always lagging behind in everything.leo tz cpmpared to kenya and other EA countries english comprehesion is lowest in tz. anyone in the world whose first language is not english as either english, french or some other language as their first foreign language.kenya as english as its first foreign language. taking school in the US you test becoz english is not your native language, testing among others your basic skills in being able to be instructed in english. kenya has 42 different local lanuages among them kikuyu and luo. you sound so illiterate. kiswahili is not a local language.mizizi yake ukoloni wa waarabu. tanzania lugha za mama zipo usijifanya hapa bwana.wahehe, wachagga n.k

Tanzania zipo lugha mama, lakini ipo lugha ambayo inaunganisha watu wa nchi nzima amnayo ni Kiswahili. Kongo Zaire nao walijitahidi kufanya Lingala iwe na matumizi kama hayo lakini wamejikuta wanazidiwa nguvu na Kifaransa.
Kuamua kutumia lugha yenu ni uamuzi tu (tazama nchi za Ulaya), kuwa na 'komprehensheni' ya chini katika Kiingereza wala sio tatizo kama unavyotaka iwe.
 
Mtoa mada naona anahangaika sana na Kingereza cha Kenya. Kuna post nyingi ametoa kuhusu Kingereza Kenya. Inafaa ifahamike kwetu Kiswahili hatukidhamini sana, maana uwezo wake kwenye corporate world bado finyu. Kinatumika sana na mama nitilie, vijakazi na wadau vijiweni. Lakini ofisini Kingereza ndio mno maana kinatupatia competitive advantage globally.

Kingereza huwezi epukanaek nacho, la si kwa kutumia Kiswahili, labda lugha zilizo komaa kama Kichina na Kifaransa. Bongo niliona matangazo mengi eti "Ongea Kingereza baada ya wiki sita". Wengi mnadhani ni rahisi kujifunza lugha ghafla na kuongea. Lazima mubadilishe na muanze kuwafundisha wakiwa wadogo, hilo lenu la kuanza kufundishia kwa lugha ya Kingereza baada ya kidato cha kwanza is very confusing.

Hofu katika mambo ya msingi kama lugha huleta hofu pia katika mambo mengine makubwa zaidi. Wakenya hujihisi kama Wazungu, lakini Waingereza hawatakaa kamwe wajisikie kama nyinyi, au walau watake ukaribu na nyinyi. Tuamke na kuwa Waafrika zaidi, mafanikio tutayaona...
 
Napenda
kujua kwa anayefahamu, hivi Nchi za Kiafrika kama Kenya,
Uganda, Zambia, Nigeria, Ghana Malawi n.k
zinastahili kuitwa kwamba
ni nchi zinazoongea Kiingereza (English Speaking Countries)?
Yaani ninachomaanisha ni kama vile kwa mfano Mtu akisema Nchi ya
Australia ni English Speaking Country au Marekani
ni English Speaking Country, sasa Je hawa wenzetu (Kenya,
Uganda &Co.)
na wao wamo kwenye hilo kundi?

Nauliza hivyo kwa maana nimesikia kwamba hawa jamaa kama Kenya na
wenzake kwa mfano wakitaka kwenda kusoma Marekani ni
lazima
wafanye mtihani unaoitwa TOEFL (Test of English as a
Foreign Language
) au Mtihani wa kupima uwezo wa kuongea na
kuandika kwa kutumia Lugha ya Kiingereza, lakini Raia wa
Australia au Canada au sijui New Zealand hana haja ya
kufanya TOEFL...sasa ni kwa nini?

Ni English speaking countries kwa vile Kingereza ni official language ya kwanza na kinatumiwa nchini mwao katika shughuli zote rasmi na katika masomo.
Lakini pamoja na hayo yote haiwafanyi wao wapate upendeleo wa ziada tofauti na nchi nyingine ambazo hazijakifanya kiingereza kuwa lugha rasmi kwani pamoja na kiingereza kuwa official language yao, wanazo lugha nyingine za kiasili ambazo watu wao wanazitumia na ambazo zinaathiri purity ya kiingereza wanachozungumza.
Kutokana na hilo, nao wanapaswa kupitia mtihani wa kutathmini uwezo wao katika kutumia kiingereza labda kama kuwe na ushahidi kuwa kiingereza ndio lugha mama ya mlengwa kwa kuzaliwa katika nchi inayozungumza kiingereza tu na kukulia huko kwa kipindi chote cha masomo yake mpaka ngazi aliyofikia.
 
Back
Top Bottom