Aibu - Toa mawazo yako!

Slim5

JF-Expert Member
Jan 7, 2014
28,110
37,645
weka mawazo yako ktk haya:
  1. aibu ni nini?
  2. nini chanzo cha aibu?
  3. binadamu anaanza kuwa na aibu wakati gn?
  4. ni kweli mtu alierukwa na akili hana aibu?
  5. kuna namna yyt ya kumfanya asie na aibu awe na aibu?
  6. kuna uhusiano gn kati ya aibu na akili? ni sahihi kuwa aibu ni kiashirio cha kuwepo kwa akili?
  7. kwa nini wanawake wana aibu kuliko wanaume?

nimewamiss sana!
 
nini chanzo cha aibu?

  1. Kutojiamini kukichanganyika na uoga
  2. binadamu anaanza kuwa na aibu wakati gn?
  3. Wakati wowote haina muda maalum inategemea mtu na mtu
  4. ni kweli mtu alierukwa na akili hana aibu?
  5. Ni kweli
  6. kuna namna yyt ya kumfanya asie na aibu awe na aibu?
  7. Ngumu sana
  8. kwa nini wanawake wana aibu kuliko wanaume?
  9. Ndivyo walivyoumbwa na ndio maana Mwanaume anakuwa kiongozi wake
 
  1. Kutojiamini kukichanganyika na uoga
  2. Wakati wowote haina muda maalum inategemea mtu na mtu
  3. Ni kweli
  4. Ngumu sana
  5. Ndivyo walivyoumbwa na ndio maana Mwanaume anakuwa kiongozi wake

Mkuu nakushukuru! vp khs swali la kwanza?
 
Mkuu nakushukuru! vp khs swali la kwanza?
Soni, haya

Au kwa maelezo niseme kukosa ujasiri wa moja kwa moja kufanya jambo fulani au maamuzi fulani panapokuwa na mtu mmoja au zaidi ya mmoja.

Kwa kweli swali la kwanza ni rahisi sana kwa kuliona lakini lina kachangamoto fulani, kwahiyo nimejitahidi kujibu kwa uelewa wangu. Tuwasubiri wengine waje kudadavula zaidi
 
AIBU ni lugha mbadala ya neno Hayaa (asili neno la kiarabu "Aib" ) ni mfumo wa ukingo au uzio mfano wa pazia ulofunika uso/mwili. Hivyo ukiondoa uzio huo basi unaji kashifu utupu wako !! au unatambulika undani mwako !! kutokuwa na maadili ya kijamii.
 
Back
Top Bottom