Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Taja neno lolote la kiswahili linalo ishia na silabi FO isipokuwa kifo na fofofo.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nimuda sasa tumekuwa tuna kalilishwa kuwa lugha ya Taifa ni kiswahili,lakini kitu cha kusikitisha ni kwamba serikali yenyewe imeshindwa kukitumia kiswahili kama lugha yake ya wasiliano kati yake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
naomba kujuzwa maana ya neno PUNGA....
0 Reactions
6 Replies
11K Views
Habari za wakati huu wana jukwaa? Nina jambo linanitatiza kidogo wana jukwaa ninaomba msaada wenu ili niondoe mkanganyiko huu kichwani. Hivi kuna tofauti gani kati ya kulala na kusinzia? Nategemea...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Wakuu naombeni tafisiri ya neno hili :Awesome" mfano :-I'm awesome My GOD is awesome Natanguliza shukraniani
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Nikiangalia taasisi zote za Serikali na zile za binafsi wamekuwa wakitumia lugha ya kingereza kama ndiyo lugha ya taifa. ndiyo maana sikipendi kiswahili ingawa ni lugha ninayotumia. kwa sababu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nikiwa mtumiaji mkubwa wa usafiri wa daladala mkoani Kilimanjaro nilianza kulisikia hili neno likitumiwa sana na makondakta wa daladala. Nilisikia sana usemi huu: "Haya, panda fasta wale wa Kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwenye redio na tv nimesikia watu wakitumia sana hili neno 'either' kwenye mazungumzo, akimaanisha 'ama.....au....' Mtu atasema hivi: "Umaskini wetu unaletwa na either uvivu wetu au kutowajibika...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
msaada wana jf nina ka certificate kangu nikaambiwa nitume barua sehemu kwa Chief Executive Officer CC au ATT human resource manager. ndo naandikaje barua kwa mtindo huu?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana JF! Nimerudi kwa mara nyingine mwenzangu kuhitaji tafsiri hizi, -HAGGLE -SLUMP -PAMPA -HUMPER -TEMPER -ABIDE Shukrani za dhati kwenu!
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari zenu wana lugha wenzangu Yaani nilikuwa nazurura zurua katika mtandao likanijia wazo kuna siku tulikua tukubishana kuh msemo mmoja wa kisw. wengine walisema ndo! ndo ndo si chururu na mimi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
https://www.facebook.com/photo.php?v=456768307753087&set=vb.275105389212141&type=2&theater
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Neno daladala kama nauli ya usafiri wa mabasi ya mjini lilianza kutumika mwaka gani? Chanzo chake ni nini? Neno gani llitumika kabla ya hilo?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wanachama, Tafadhali zingatia tafsiri hizi: "I gave my brother a bicycle" => "Nilimpa kaka yangu baisikeli" "My brother was given a bicycle by me." => "Kaka yangu alipewa baisikeli...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ukitumia ithibati sahihi fafanua uhusiano baina ya matawi mbalimbali ya sarufi
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nani anaweza kuniambia mtoto wa SIMBA kwa Kiswahili anaitwaje????
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa anaelewa matumizi na maana maneno haya Indeed,mystery, boom.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ikiwa wewe ni mwandishi wa vitabu, makala, n.k au ni mchapishaji (publisher) unayetaka kutafsiriwa maandiko kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili au kinyume chake tuwasiliane. Ni kwa gharama nafuu...
2 Reactions
0 Replies
785 Views
habariii wana jf!! kwa anayejua maana ya neno UGOKO kwa lugha ya kiingereza msaada plz
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hellow!!Guys,I would like to learn the differences in using the aforementied words if they do exist..
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom