Nimuda sasa tumekuwa tuna kalilishwa kuwa lugha ya Taifa ni kiswahili,lakini kitu cha kusikitisha ni kwamba serikali yenyewe imeshindwa kukitumia kiswahili kama lugha yake ya wasiliano kati yake...
Habari za wakati huu wana jukwaa? Nina jambo linanitatiza kidogo wana jukwaa ninaomba msaada wenu ili niondoe mkanganyiko huu kichwani. Hivi kuna tofauti gani kati ya kulala na kusinzia? Nategemea...
Nikiangalia taasisi zote za Serikali na zile za binafsi wamekuwa wakitumia lugha ya kingereza kama ndiyo lugha ya taifa. ndiyo maana sikipendi kiswahili ingawa ni lugha ninayotumia. kwa sababu...
Nikiwa mtumiaji mkubwa wa usafiri wa daladala mkoani Kilimanjaro nilianza kulisikia hili neno likitumiwa sana na makondakta wa daladala. Nilisikia sana usemi huu: "Haya, panda fasta wale wa Kwa...
Kwenye redio na tv nimesikia watu wakitumia sana hili neno 'either' kwenye mazungumzo, akimaanisha 'ama.....au....' Mtu atasema hivi: "Umaskini wetu unaletwa na either uvivu wetu au kutowajibika...
msaada wana jf nina ka certificate kangu nikaambiwa nitume barua sehemu kwa Chief Executive Officer CC au ATT human resource manager. ndo naandikaje barua kwa mtindo huu?
Habari zenu wana lugha wenzangu
Yaani nilikuwa nazurura zurua katika mtandao likanijia wazo kuna siku tulikua tukubishana kuh msemo mmoja wa kisw. wengine walisema ndo! ndo ndo si chururu na mimi...
Habari zenu wanachama,
Tafadhali zingatia tafsiri hizi:
"I gave my brother a bicycle" => "Nilimpa kaka yangu baisikeli"
"My brother was given a bicycle by me." => "Kaka yangu alipewa baisikeli...
Ikiwa wewe ni mwandishi wa vitabu, makala, n.k au ni mchapishaji (publisher) unayetaka kutafsiriwa maandiko kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili au kinyume chake tuwasiliane.
Ni kwa gharama nafuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.