Stationary! Tatizo ni nini?

Stationary! Tatizo ni nini?

Stv Mkn

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
328
Reaction score
275
Ukipita kila kona nchi hii utakuta asilimia 90 ya maduka ya vifaa vya ofisini yameandikwa Stationary badala ya Stationery..sijajua tatizo nini, ebu jaribu anza kutafiti nawe utaliona ilo..
 
Ukipita kila kona nchi hii utakuta asilimia 90 ya maduka ya vifaa vya ofisini yameandikwa Stationary badala ya Stationery..sijajua tatizo nini, ebu jaribu anza kutafiti nawe utaliona ilo..

Uliyobaini ni kweli Stv Mkn. Tatizo hapa ni ufahamu mdogo wa lugha zenye wenyewe. Ipo mifano mingi
ya uwelewa mdogo wa hii lugha ya Kiingereza. Kwa mfano ukienda vituo vikuu vya mabasi Moshi, Arusha na Ubungo Dsm, chumba cha kutunzia mizigo ya wasafiri huitwa Booking! Utasikia wanasema: "Huu mzigo peleka buking bwana!"
Na nimeshaona pia kama neno la kiingereza lina herufi 's ' mwishoni lazima apostrophe iwekwe kabla ya
herufi s. Kwa hiyo utaona maneno kama haya: chair's, table's nk. Wapo watu wanaopenda kutumia kiingereza kuonyesha
ufahari bila kuwa na ufahamu mzuri wa lugha hiyo.
 
Last edited by a moderator:
Uliyobaini ni kweli Stv Mkn. Tatizo hapa ni ufahamu mdogo wa lugha zenye wenyewe. Ipo mifano mingi
ya uwelewa mdogo wa hii lugha ya Kiingereza. Kwa mfano ukienda vituo vikuu vya mabasi Moshi, Arusha na Ubungo Dsm, chumba cha kutunzia mizigo ya wasafiri huitwa Booking! Utasikia wanasema: "Huu mzigo peleka buking bwana!"
Na nimeshaona pia kama neno la kiingereza lina herufi 's ' mwishoni lazima apostrophe iwekwe kabla ya
herufi s. Kwa hiyo utaona maneno kama haya: chair's, table's nk. Wapo watu wanaopenda kutumia kiingereza kuonyesha
ufahari bila kuwa na ufahamu mzuri wa lugha hiyo.
Used photocopy machine kwa bei poa na zipo vizuri
 
Uliyobaini ni kweli Stv Mkn. Tatizo hapa ni ufahamu mdogo wa lugha zenye wenyewe. Ipo mifano mingi
ya uwelewa mdogo wa hii lugha ya Kiingereza. Kwa mfano ukienda vituo vikuu vya mabasi Moshi, Arusha na Ubungo Dsm, chumba cha kutunzia mizigo ya wasafiri huitwa Booking! Utasikia wanasema: "Huu mzigo peleka buking bwana!"
Na nimeshaona pia kama neno la kiingereza lina herufi 's ' mwishoni lazima apostrophe iwekwe kabla ya
herufi s. Kwa hiyo utaona maneno kama haya: chair's, table's nk. Wapo watu wanaopenda kutumia kiingereza kuonyesha
ufahari bila kuwa na ufahamu mzuri wa lugha hiyo.
Tumeazima hayo maneno na kisha kuyageuza kwa kuyavalisha maana yetu sisi tunayoelewana! Originally, ni maneno ya kizungu ila tumeuageuza yamekuwa ya kiswahili.
 
Ukipita kila kona nchi hii utakuta asilimia 90 ya maduka ya vifaa vya ofisini yameandikwa Stationary badala ya Stationery..sijajua tatizo nini, ebu jaribu anza kutafiti nawe utaliona ilo..

IT IS CORRECT, Hakuna shida hata kidogo we are making Tanzanian English no need na SIO lazima ifanane na UK or US Enligsh mbona yapo maneno mengi tu na different pronunciation,
 
Jamani tusidanganyane hayo ni maneno mawili tofauti kabisa na yana maana tofauti so ukiandika stationary instead of stationery unaharibu kila kitu.
 
Mhm mbona tunalishana matango me nnavyojua stationary na stationery ni maneno mawili tofauti na yana maana tofauti. Sijui kama nipo sahihi?
 
Ukipita kila kona nchi hii utakuta asilimia 90 ya maduka ya vifaa vya ofisini yameandikwa Stationary badala ya Stationery..sijajua tatizo nini, ebu jaribu anza kutafiti nawe utaliona ilo..
Na Kiswahili chake ni nini? Maana kila sehemu linaandikwa kwa kiingereza.
 
Back
Top Bottom