Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
1)natamani niseme,shida sheria bandia. Kama kivuli cha umeme,kesi watakupatia. Wakuone paka shume,eti tusi kuwambia. 2)natamani wajue,maisha kufikiria. Hata kama wajiue,hakuna wakuwaokoa...
0 Reactions
0 Replies
730 Views
Wanajukwaa la lugha naomba msaada wenu.. UWATU ni zao gani?
0 Reactions
0 Replies
6K Views
HONGERA MEYA JACOB, KAZI YAKO TWAIONA. Jacob ndugu kongole, kazi yako twaiona, Umetangulia mbele, usiku pia mtana, Upate neema tele, toka kwake subhana, Kazi yako twaiona, kongole kaka kongole...
2 Reactions
0 Replies
905 Views
Habari wana wa Nyerere? Hilo neno huwa linamaanisha nini? Maana watu wakiwa wanaongea utaskia kwa mfano wanasema haya ni mabasi ya mikoani, au...mizigo ya mikoani. Nk. Tabia hii IPO sana hapa...
1 Reactions
24 Replies
6K Views
Mtunzi mariama ba: Madhari:senegal hiki ni kitabu kina cho zungumzia ukombozi wa mwanamke katika jamii siyo tu katika nchi ya senegali bali dunia nzima kwa ujumla hivyo...
0 Reactions
10 Replies
17K Views
Naomba maneno yafuatayo mnisaidie kuniandikia matamshi yake kwa kihaya. NAKUPENDA SANA MPENZI WANGU, NAOMBA UNIOMBE RADHI KWA MANENO YAKO MABAYA ULIYONITAMKIA ILI TUWEZE KUWA PAMOJA. NA KAMA...
0 Reactions
10 Replies
17K Views
Waswahili wengi hufikiri kwamba hakuna maana halisi ya computer na badala yake wanatohoa neno hilohilo nakuandika "Kompyuta". Hivyo ni makosa maana halisi ya Computer ni neno "NGAMIZI" na kwa...
2 Reactions
17 Replies
65K Views
KASI YA MAGUFULI IMEWAPOTEZEA DIRA YA UKAWA. Tangu rais Magufuli aanze kututumikia kama rais amefanya mambo mengi na karibu mambo yote hayo yamekuwa yakipingwa na UKAWA. Rais alianza kufukuza...
7 Reactions
137 Replies
11K Views
WANGOJANI KUMUACHA? 1) Usichelewe kuacha, mpenzi anosumbua, Kiumbe mwenye makucha, midomo aibinua, Kiama usiku kucha, moyoni una ugua, Mpenzi ano sumbua, usisite kumuacha. 2) Akupe vilivyo chacha...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba kueleweshwa maana ya neno Ujasusi manake kuna Thread humu inaelezea ujasusi nnchini wengine tumetoka kapa, hili neno geni kwetu, au mwenye tafsiri yake kiingererza ili tuligoogle. Nashukuru.
1 Reactions
4 Replies
15K Views
MGENI KARIBU, JUISI YA PILIPILI. MWENYEJI: Karibu mzee Chali, ukaribie nyumbani, Uketi upige wali, upoze chango tumboni, Kisha tujalie hali, za wenzetu Kinondoni. Karibu wetu mgeni, juisi ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
WANGOJANI KUMUACHA? 1) Usichelewe kuacha, mpenzi anosumbua, Kiumbe mwenye makucha, midomo aibinua, Kiama usiku kucha, moyoni una ugua, Mpenzi ano sumbua, usisite kumuacha. 2) Akupe vilivyo chacha...
0 Reactions
0 Replies
964 Views
FARASI FUNGUA KAMBA. 1)Hauna kichwa farasi,vipi ikutese kamba. hujatafuta nafasi,mbona kichwa umefumba. Wa waza chanya na hasi,ama wacheza marimba. Farasi fungua kamba,hicho kiti karatasi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
PENZI JINI HATARI. 1.Penzi ni jini hatari, wa kutesa na kuua, Huzibeba zote shari, za kiangazi na mvua, Nina kuomba Qahari, miye asije niua, Mahaba yanizuzua, mtima wata ghururi. 2.Penzi mganga...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
PENZI JINI HATARI. 1 Penzi ni jini hatari, wa kutesa na kuua, Huzibeba zote shari, za kiangazi na mvua, Nina kuomba Qahari, miye asije niua, Mahaba yanizuzua, mtima wata ghururi. 2 Penzi mganga...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Tuipende lugha yetu
0 Reactions
0 Replies
795 Views
Je, Kuna neno moja kumaanisha "addiction" au "addict" kwa kiswahili? Kwa mfano ni kama mtu ambaye huwa anahitaji kilevi au kitu chengine sana na hawezi kataa kisaikolojia. Bado natafuta neno...
0 Reactions
8 Replies
18K Views
GO! presents: BEST Swahili Tutorials - MAKING SENTENCES (live from Tanzania) Source: growingopportunities youtube
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wapendwa wana-JF, Mimi siku hizi nimefikwa na wazo la kutengeneza tongue twisters, sasa ni mkusanyiko wangu kutoka mtandao lakini ziko rahisi mno. naomba tuchemsha bongo pamoja na kuziunda...
1 Reactions
4 Replies
6K Views
Ikiwa mbuzi dume huitwa beberu, Kukudume huitwa jogoo, nk, Je huyo paka dume huitwaje?
0 Reactions
9 Replies
42K Views
Back
Top Bottom