LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,900
- 37,676
Wakati msemo huu unaanza kutumika, watu walikuwa wanasema " Tunakula Bata ". Sasa hivi wameongeza na msemo mwingine, wanasema " Tunakula bata mpaka kuku wanaona wivu. Hawa hawajui asili na neno tunakula bata. Tunakula " Bata'. Maana yake ni tunakula "butter" yaani " Siagi " na sio bata ndege.