Ndugu zangu nimekuja kugundua kuwa hawa jamaa wetu wa vyuo vikuu nao hawafai.kuna rafiki yangu alimaliza chuo chake india ila cheti chake kilikosewa jina asa kwenye kufuatilia ndiyo wakafika...
Kwenye Channel Ten Profesa Idrissa Kikula ambaye ni mwendeshaji wa Chuo Kikuu Dodoma alitangazia umma ya kuwa katika uzinduzi wa Chuo hicho ambacho sasa kinatimiza miaka minne seneti ya chuo hicho...
Kuna waandishi wengine wanapaswa kuwa na akili, yawezekana hata kazi yake ni ya kuchomekwa tu!! Huwezi kusema UDOM ndo wamesema haya kwa kupitia kapuuzi kamoja kalikokuwa na Ridhwani kwenye kuomba...
Hello brodaz and sisters,
naombeni msaada wenu hivi inawezekana kuhama chuo kimoja na kuendelea na masomo chuo kingine? Sheria inaruhusu au?
Mind you that hakuna change ya course na ni...
Kwa kweli sasa elimu yetu ya kibongo nayo imeingiliwa na wachakachuwaji,mi sikutegemea kama hawa wanaojiita wasomi kutoa tamko la upande mmoja,nadhani wakati wa uchaguzi kulikuwa na matatizo mengi...
Jana wkati taarifa ya uteuzi ya wabunge watatu iliyotoka Ikulu,
kuna kitu kimenishangaza.
Hivi lugha iliyotumika hapo chini ni sahihi? au Ikulu hawajui kiswahili?
MWISHO
Imetolewa na...
habari wana jf. naombeni msaada wa kitaalamu kuhusu usafi wa mwili. huwa najiuliza sana. kama kuoga ni usafi, taulo huchafuliwa na nini? watalaam wa afya watupe majibu ya kitalaam
Hapa naamini sitopata mtu hata mmoja.Nikimpata naamini mvua ya mawe inaweza kunyesha hapa JF.
Haya Tuanze na Mazengo,Pima,Meeen,Gaguti,Soap,Mugube,kusenha na Mtaalamu wa kilimo Prosefor...
Karl Marx huyu huyu unayemjua, anasema endapo mtu anataka kujua the position of the teacher in any society one must look at
the value his/her society places in education
the organization of...
Wanajamvi
Je kuna hadithi yeyote unayokumbuka kwente vile vitabu vya Primary English for Tanzanian Schools. Mr & Mrs Daudi, Baraka Neema etc
Unakumbuka Hesabu Za magazijuto?????
Unakumbuka...
Kuna vyuo vingi vya kufundishia unesi ambavyo havijasajiliwa na serikali haichukui hatua,pia wanafunzi wa vyuo hivyo haiwatambui,mbona sasa haivisajiliau kuvifuta?
Nimepoteza Mawasiliano na hawa Ndugu zangu Keffa Mkongwa na Betty Singano wote waliwahi soma Njombe Secondary Kidato cha tano na sita.
Walikuwa class mate wangu.
mwenye taarifa nao kati yao...
kwa wale wenye sifa au ndugu zao wajalibu kuomba scholaship hii hapa
Government Scholarships Developing Countries
Scholarship Awards within the Foreign Development Assistance Programme -...
For those interested and of a background in C#, Excel, Access, Delphi, JavaScript, Visual Basic, an easy route into web development is available in morfik 3.0.
A recent acquisition of morfik by...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.