Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Wanajamvi walopata kusoma MAGAMBA SEKONDARI (sasa chuo kikuu SEKUCO) mp?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba mnisaidie hatua za kujiunga QT form 5-6 ya mwaka mmoja na kuweza kuqualify kufanya mtihani.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu nimekuja kugundua kuwa hawa jamaa wetu wa vyuo vikuu nao hawafai.kuna rafiki yangu alimaliza chuo chake india ila cheti chake kilikosewa jina asa kwenye kufuatilia ndiyo wakafika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwenye Channel Ten Profesa Idrissa Kikula ambaye ni mwendeshaji wa Chuo Kikuu Dodoma alitangazia umma ya kuwa katika uzinduzi wa Chuo hicho ambacho sasa kinatimiza miaka minne seneti ya chuo hicho...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Hi forum members. I would like to know if biology is taught in swahili in Tanzania at secondary level. Which books are used?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kuna waandishi wengine wanapaswa kuwa na akili, yawezekana hata kazi yake ni ya kuchomekwa tu!! Huwezi kusema UDOM ndo wamesema haya kwa kupitia kapuuzi kamoja kalikokuwa na Ridhwani kwenye kuomba...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Hello brodaz and sisters, naombeni msaada wenu hivi inawezekana kuhama chuo kimoja na kuendelea na masomo chuo kingine? Sheria inaruhusu au? Mind you that hakuna change ya course na ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa kweli sasa elimu yetu ya kibongo nayo imeingiliwa na wachakachuwaji,mi sikutegemea kama hawa wanaojiita wasomi kutoa tamko la upande mmoja,nadhani wakati wa uchaguzi kulikuwa na matatizo mengi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jana wkati taarifa ya uteuzi ya wabunge watatu iliyotoka Ikulu, kuna kitu kimenishangaza. Hivi lugha iliyotumika hapo chini ni sahihi? au Ikulu hawajui kiswahili? MWISHO Imetolewa na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
habari wana jf. naombeni msaada wa kitaalamu kuhusu usafi wa mwili. huwa najiuliza sana. kama kuoga ni usafi, taulo huchafuliwa na nini? watalaam wa afya watupe majibu ya kitalaam
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Hapa naamini sitopata mtu hata mmoja.Nikimpata naamini mvua ya mawe inaweza kunyesha hapa JF. Haya Tuanze na Mazengo,Pima,Meeen,Gaguti,Soap,Mugube,kusenha na Mtaalamu wa kilimo Prosefor...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
  • Poll Poll
Karl Marx huyu huyu unayemjua, anasema endapo mtu anataka kujua the position of the teacher in any society one must look at the value his/her society places in education the organization of...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamvi Je kuna hadithi yeyote unayokumbuka kwente vile vitabu vya Primary English for Tanzanian Schools. Mr & Mrs Daudi, Baraka Neema etc Unakumbuka Hesabu Za magazijuto????? Unakumbuka...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kuna vyuo vingi vya kufundishia unesi ambavyo havijasajiliwa na serikali haichukui hatua,pia wanafunzi wa vyuo hivyo haiwatambui,mbona sasa haivisajiliau kuvifuta?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wana JF ni vyuo gani vya elimu ya juu vinaendeshwa/ongozwa kisiasa?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimepoteza Mawasiliano na hawa Ndugu zangu Keffa Mkongwa na Betty Singano wote waliwahi soma Njombe Secondary Kidato cha tano na sita. Walikuwa class mate wangu. mwenye taarifa nao kati yao...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
kwa wale wenye sifa au ndugu zao wajalibu kuomba scholaship hii hapa Government Scholarships – Developing Countries Scholarship Awards within the Foreign Development Assistance Programme -...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba msaada hivi katika 'A' level ukichukua combination ya HKL (History, Kiswahili, Language) mtu hutegemea kazi zipi atakapoendelea?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
For those interested and of a background in C#, Excel, Access, Delphi, JavaScript, Visual Basic, an easy route into web development is available in morfik 3.0. A recent acquisition of morfik by...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakati umefika sasa kuanza rasmi harambee kwa ajili ya kuwalipia watoto wetu ada za vyuo vya elimu ya juu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom