Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,957
- 4,638
Jana wkati taarifa ya uteuzi ya wabunge watatu iliyotoka Ikulu,
kuna kitu kimenishangaza.
Hivi lugha iliyotumika hapo chini ni sahihi? au Ikulu hawajui kiswahili?
MWISHO
Imetolewa na Premi Kibanga,
Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi,
Ikulu.
Dodoma
17 Novemba, 2010
Hapo kwenye red ndipo ningeomba kuelimishwa.
Hapo mwandishi anakusudia kutueleza kuwa yeye ni raisi msaidizi au ni mwandishi wa raisi msaidizi (means yupo rais msaidizi) kama alikusudia kutueleza yeye ni mwandishi msaidizi wa raisi alipaswa kuandika hivyo alivyoandika??
kuna kitu kimenishangaza.
Hivi lugha iliyotumika hapo chini ni sahihi? au Ikulu hawajui kiswahili?
MWISHO
Imetolewa na Premi Kibanga,
Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi,
Ikulu.
Dodoma
17 Novemba, 2010
Hapo kwenye red ndipo ningeomba kuelimishwa.
Hapo mwandishi anakusudia kutueleza kuwa yeye ni raisi msaidizi au ni mwandishi wa raisi msaidizi (means yupo rais msaidizi) kama alikusudia kutueleza yeye ni mwandishi msaidizi wa raisi alipaswa kuandika hivyo alivyoandika??