Polen sana ndg zangu kwa mliokosa mikopo,lkn nataka kuwaambia kwamba kamwe msikate tamaa kuna altenative nyingi;
kwanza,unaweza kutafuta taasisi zingine za serikali au binafsi na kuomba...
Mi ni kijana niliepangwa DUCE BEDS. Nimetokea Kilimanjaro na hapa Dar nimeshukia maeneo ya Kigamboni. J1 niliripoti Chuoni nikakuta ya kuwa sijapangwa hostel yoyote kati ya Mabibo na Mbagala...
Ni jambo lislokuwa la kawaida kwenye kipindi cha mitihani au marudio ya Mitihani (probation) kwa chuo kuruhusu activity yoyote ambayo huleta usumbufu kwa wanafunzi wanaojiandaa na mitihani, lakini...
Habari wana JF,
Binafsi kabisa napenda sana ichi kipindi cha Maisha plus (Masoud Kipanya) akiwa kama founder wa kipindi hichi.
Napenda sana hatua hii ya usahili (interview) kwa kweli najifunza...
wanajf me nimechaguliwa ifm course BBF na mkopo nimekula 4172500 .Nimejaribu kuuliza uku na kule kuhusu swala la malipo inakuaje,wengine wakaniambia natakiwa kulipa kiasi kilichobaki kwenye tution...
Ni kweli kabisa kwamba Umombo siyo Lugha yetu ya Taifa kwa kuwa Lugha yetu ya Taifa ni Kiswahili. Lakini tususaha kuwa tumekubali umombo siyo tu kuwa Lugha ya Kimataifa bali kuwa moja ya Lugha za...
Waheshimiwa maisha bila mkopo Chuoni ni *MAGUMU* sijapata kuona hasa kwa sisi watoto wa wakulima Ambao tumesoma St.Kayumba Sec. school(ukipeleka ADA Elfu ishirini na Tano, basi unarudishiwa na...
nimeingia kwenye website ya udsm ada zimebadilika mfano kwa wanafunzi wa sheria imeshuka toka 1,500,000. to 1,380,000.lakini sijui kwa kozi zingine kama zimepanda au zimeshuka nawaomba mcheki...
Huyu binti si kwamba amechora kitu wanaita tatoo bali ni majibu ya mtihani wa darasa la saba uliofanyika mwezi uliopita mwaka huu.
Hayo yalijiri huko mkoani Kagera watu tulitegemea kwa vile...
Eti,mbona Vyuo Vikubwa Kama Udsm Vimegawanyika Katika Sehemu Kuu Tatu?.cheki;-
1:institutes
2:collages
3:schools
Kama Unajua Chochote Kuhusu Hili Naomba Unifafanulie Tofauti Za Dhana Hzo...
habari zenu the great thinkers!!
naomba niulize kwa anayefahamu,majibu ya mkopo kwa wanafunzi wanaoendelea(continuous) yatatoka lini,au ndo hakuna tena?kwa sababu yametolewa majibu ya first year...
28th September 2012
Aim is to ensure teachers have ample time to mark papers
Effective next year, Form Six and Four students will sit for their national examinations in May and November...
BY DAVID KISANGA 28th September 2012 Email
Print
Comments Aim is to ensure teachers have ample
time to mark papers Effective next year, Form Six and Four
students will sit for their national...
Wakati flan nakuwa na matumaini makubwa kwa hawa jamaa kwa kuangalia namna walivyojieleza kinagaubaga.... but kwa nini serikali imekaa kimya....? hata tamko?
Sponsors and supporters...
Katika miaka ya karibuni, imekuwa "fashion" kwa wanafunzi waliosoma PCM form 6 kujiunga na vyuo vya biashara, yaani, kusoma B.Comm na BAF (Bachelor of Accounting and Finance). Utakuta hata wale...
kundi hili linafanya vizuri sana katika tasnia ya ucheshi hapa Bongo,lakini wadau naomba kuuliza hivi watoto wetu ambao ni mashabiki wakubwa wanajifunza nini? hasa pale wanapoporomosha matusi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.