Mkopo nimepata 4282500,nnawezaje kujua hii ni %,pia nntapaswa kulipia tuit fee kiasi gani?,plz help!
mm nawashauri msiwe na mchecheto maana mchanganuo wa huo mkopo utakuja tu, kama udsm tayar washatoa mchanganuo wa mtu analipiwa ada shs ngap na yy ajazie shs ngap, tulieni jamani msiwe na wacwac utakuja mchanganuo
mm nawashauri msiwe na mchecheto maana mchanganuo wa huo mkopo utakuja tu, kama udsm tayar washatoa mchanganuo wa mtu analipiwa ada shs ngap na yy ajazie shs ngap, tulieni jamani msiwe na wacwac utakuja mchanganuo
hiv qualifications za kuchaguliwa hiyo fani ni zipi?
Huo mchanganuo unatoka lini mkuu mbona cku zimeisha?
Three principle pass in PHYSICS,MATHEMATICS, CHEMISTRY or GEOGRAPHY
so hapo lazima upige PCM au PGM.
and PHYSICS na MATHEMATICS ni lazima usome A-Level
Thanks mkuu,ndo namalizia form 4 ilboru ngoja nikajaze hiyo PCM
Kale msuli tena wa ukweli uache kushinda Facebook na twitter upige msuli tu. usisahau kumuomba mungu sana, ukifanikiwa niko hapa kukudaidi kwa hali na mali ili ufaulu fresh form six kwa kukupa techniques za usomaji na what books to study,
KARIBU SANA
Kale msuli tena wa ukweli uache kushinda Facebook na twitter upige msuli tu. usisahau kumuomba mungu sana, ukifanikiwa niko hapa kukudaidi kwa hali na mali ili ufaulu fresh form six kwa kukupa techniques za usomaji na what books to study,
KARIBU SANA
nashidwa kuelewa kwanini viongoz wangu wa dini walichemka when i was in high school na secondary level. 2much of everythng is always harmfull i guess
nashidwa kuelewa kwanini viongoz wangu wa dini walichemka when i was in high school na secondary level. 2much of everythng is always harmfull i guess
stephen mayunganime kuPM back
ulijuaje?