KIGENE
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,552
- 813
Huyu binti si kwamba amechora kitu wanaita tatoo bali ni majibu ya mtihani wa darasa la saba uliofanyika mwezi uliopita mwaka huu.
Hayo yalijiri huko mkoani Kagera watu tulitegemea kwa vile maswali yenyewe ni ya multiple choice labda wanafunzi wamerahisishiwa kwa kiasi fulani kumbe wale kina bongolala wanaona lazima watafute mbinu mbadala, kwa mtaji huu bado tuna safari ndefu kuzuia udanganyifu wa mitihani katika karne hii.