KYALUMUKUNZA
Senior Member
- Aug 19, 2012
- 145
- 28
nimeingia kwenye website ya udsm ada zimebadilika mfano kwa wanafunzi wa sheria imeshuka toka 1,500,000. to 1,380,000.lakini sijui kwa kozi zingine kama zimepanda au zimeshuka nawaomba mcheki kwenye website ya chuo University of Dar es Salaam - Tanzania - Home - mtaona mabadiliko katika ada naomba kuwakilisha.