Hili la Waziri Kassim Majaliwa na Mulugo kuwafukuza walimu wakuu wa Ilboru na namkukwe chunya mbona linatia shaka taratibu za utumishi?Mamlaka zinazo husika mbona zimefunga midomo?Siwatetei...
Jamani mi miongoni mwa waathirika wa heslb,kwa kutopata hata cent 1,lakin baada ya kuwaendea heslb ofisin kwao wamesema hivi:
Kwa waombaji waliokosa mikopo yaani majina yao hayapo kwenye web ya...
Nimeguswa kuanzisha hii mada kwa sababu mbalimbali nilizoziona na kuzipima katika swala zima la kushuka kwa kiwango cha elimu katika nchi yetu ya Tanzania. Elimu kushuka inachangiwa na mambo...
Check! Kwenye websites au click down to download!
Eckernforde: http://www.eckernfordetangauniversity.ac.tz/ETU-BA-EDUCATION.pdf
TEKU: http://www.teku.ac.tz/matangazo/selection%202012.pdf
Wakuu hivi ukiwa na account kati ya Benki za NBC,NMB na CRDB ni ipi ambapo boom atleast huwa linawahi kuingia na kwa sababu zipi?
Msaada wenu tafadhali.
apa napata kauli tofaut tofaut kuhusu Computer science Udsm...sasa naomba utatuz wenu wana Jf 1. 1st yr pale wanakua na field?
2. Mtu anaesoma hii course atatakiwa pia asome mathematcs,physics au...
Nataka anisaidie kucheki jina langu nimepangwa hostel gani,maana me niko mkoani na kuja huko ni hadi next week!kama yupo naomba nimPM jina langu anisaidie..
Kitabu cha lazima kwa Walimu, Watunga sera , Waandishi wa vitabu, Wahariri na Wanaithibati.
Lipi ni jina sahihi la chombo kinachosimamia maendeleo katika ngazi ya kata? Je, ni KAMATI YA MAENDELEO...
:frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::frusty:
Jamani samahani naomba tusaidiane jinsi ya kujua kama umepata accomodation mabibo au main campus.
Nimechaguliwa ktk chuo kimoja ila tatizo linaloniumiza ni kukosa mkopo ! Hivyo naombeni msaada wa jinsi ya kuappeal au njia nyngne ninayoweza kuitumia ili nipate mkopo kama wenzangu !
Thanx in advance
Ni ndoto yangu kujenga shule maishani mwangu,wadau na wataalamu mbali mbali wenye ufahamu juu ya uanzishwaji wa shule naomba mnijuze nini kina hitajika il kuanzisha au kujenga shule. Ni kiasi...
jamani wana jf mimi nimechaguliwa kusoma medicine udom kama eguivalent majina yalitoka juzi ambapo niliapply kupitia chuo lakini vile vile niliapply kupitia TCU nimechaguliwa kairuki
na mkopo...
Wadau nisaidieni nipate kujua, nilijiunga na netlog, mda mfupi tu nikapata marafiki kede kede wakike wakiomba tuwasiliane kwa Email walizo nipa kisha wakaanza kudai wao baba zao washa kufa na...
Jamani,kwa anaejua hawa jamaa wanatoa lini majina ya applicants waliopata mikopo atujuze,maana wengine huku hatuamini kama hawa jamaa ni wakweli au ni matapeli wa mjini tu,so mpaka tuone watu...
Hie, wana mipango! Samahani jamani naomba msaada nataka kujua kuhusu upatkanaji wa hostel au vyumba vya kupanga pale chuo, MIPANGO' Na nlitaka kujua kama 1st year kuna field au na jins ya...
mm ndiye niliyeandika hii thread " kwa kupata loan naipigia CCM kura " watu waliwaka na mm wengine walinitukana na wenye busara walinielewesha kuwa loan ni haki yangu.....NAIFUTA kauli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.