Mjanga
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 1,238
- 324
kundi hili linafanya vizuri sana katika tasnia ya ucheshi hapa Bongo,lakini wadau naomba kuuliza hivi watoto wetu ambao ni mashabiki wakubwa wanajifunza nini? hasa pale wanapoporomosha matusi ""mfano JIBWA, NYOKO na mengine mengi tu! imekua kero badala ya Burudani! wadau mnalongaje!