wanajf me nimechaguliwa ifm course BBF na mkopo nimekula 4172500 .Nimejaribu kuuliza uku na kule kuhusu swala la malipo inakuaje,wengine wakaniambia natakiwa kulipa kiasi kilichobaki kwenye tution fee na direct costs 250000 na wengine wakaniambia itabidi nilipe tution fee yote ya semister ya kwanza pamoja na 250000 ambazo ni direct costs...then mkopo ukiingia watanrudishia ela yangu je ni kweli??