Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kwa msichana yeyote ambaye amechaguliwa kwenda Ardhi University tafadhali aniPM.Tuongee vitu flani.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau Bodi ya mikopo kwenye matangazo yao pale ofisini walisema siku ya leo tarehe 1 October wataweka maelezo jinsi ya kukata rufaa kwa waliokosa mikopo. Lakini mpaka muda huu kwenye tovuti yao...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hbr jf,naomba 2tumia elimu zetu za a/c kuchambua courses za baaf ya muccobs ambapo mm ni mwanafunz mwaka wa kwanza,pls pale penye mapungufu utoa kwa detail na penye kusifia pia hivyo hivyo,karibun...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ivi deadline ya kuripoti kwa first year SAUT ni lini? Maana mm nilichaguliwa uko bila ya kujua na mkopo wng umepelekwa uko uko.na kwa sasa nishalipia cost zte za udom, uku nasubr tcu watangaze...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Samahani wadau naomba kuuliza kama naweza kuamisha mkopo kutoka chuo kimoja kwenda kingine,sababu nimechaguli vyuo viwili na mkopo nimepelekewa chuo nisichokipenda,nawasilisha.
0 Reactions
0 Replies
932 Views
​ sijui mchanganuo wa BSE mkopo wangu ni 4183000
0 Reactions
0 Replies
825 Views
Naomba ushauri wana jamii forums niko kazini kama mwalimu na ndo nimemaliza shahada ya ualimu nimeapply upolisi na nimeitwa kwenye usaili unaoanza jumatatu. Nahitaji ushauri nisije kurupuka...
0 Reactions
89 Replies
11K Views
Priority Course-inamkopo by Loan BoardNon-priority course-Haina mkopoHivi naomba mnieleweshe waheshimiwa, hizi course zinapobadilika wale walioelimishwa kwa course hizo hizo wanapelekwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
HakiElimu nimeona wameanzisha kampeni ya kuboresha elimu ya awali, Binafsi naona hili ni suala la kizalendo sana hasa ukiangalia elimu yetu inavyokwenda mrama, mpaka inafikia watu wanamaliza std...
0 Reactions
0 Replies
865 Views
Mri
Jaman post za mri zitatoka lini?naomba mnisaidie
0 Reactions
3 Replies
833 Views
Naomba kujua kile kitabu cha public service recruitment ntakipataje? Kile kinachoelezea kaz, na mambo ya interview. mwenye idea pls
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Hivi hili neno linaeleweka kweli kwenye baadhi ya TOVUTI za wizara kwenye hii serkali yetu? Nimejaribu kufuatilia kwa muda mrefu kwenye hii sehemu walipoweka eti ni CURRENT NEWS unakuta vitu...
0 Reactions
0 Replies
983 Views
Jaman naomba munisaidie mimi nimechaguliwa udom bachelor of education in special needs nimepatiwa mkopo sh mil 3 laki 2 alfu 27 na mia 5. Nimeshalipa direct cost lakin nimeshindwa kulipa kiwango...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kati ya civil &mining Eng. Ni ipi ina good future kwa hapa tanzania in terms of emplymnt opprtnts&income?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa wale wa sua mchanganuo wa ada umeshatoka tayari, labda niwasaidie kwa wale wa agricultural eng, meal n acmdatin 1,980,000. Field work 620,000. Special facult 175,000. Buk n statinary...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Jamani tuwekane sawa wadau wa elimu,ni kweli kwamba form six wameongezewa muda,hadi mwez wa tano?na nini sababu?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Pazia la mwaka wa masomo wa 2012/2013 vyuoni linafunguliwa kesho ambapo UDSM inapokea wanafunzi wa mwaka wa kwanza. Kesho na muhula mzima wa kwanza patajaa vituko na ushamba wa kila aina. Ni mambo...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
ndugu zangu wale PC'S vyet vya form 6 mwaka 2011 vimerudi baraza la mitihani na ili kupat wanadai 20,000 yani kuna usumbufu ndugu zangu, so ushari wangu fuatilieni mapema mim mwenyewe ni mhusika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ninawaomba mtoe kipaumbele kwa first year students ktk kuwapatia hosteli za ndani ya chuo hasa waliofika mapema kuanzia jana.Wengi wao ni wageni wa mji..!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba mtoe kipaumbele kwa wanafuzi wa first year ktk utoaji wa hosteli za ndani hususani wale waliowahi kuanzia jana kwani wengi wao ni wageni wa mji..!
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom