Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Wajanja wachota mamilioni NSSF Send to a friend Sunday, 27 March 2011 05:43 Frederick Katulanda, Geita WAKATI shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF)...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
*Watoa taarifa za uongo kwa vyombo husika *Wabadili majina ya kampuni wanazomiliki SERIKALI imeombwa kufanya uchunguzi wa kina ili kuweza kubaini wanunuzi wa madini ya dhahabu na almasi mkoani...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Outsourcing office cleaning or contract cleaning has many benefits for companies and there are numerous reasons why it could help a company actually do better at what it does. Thinking you or...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF naomba kujua kuna taarifa zilitangazwa wakati waziri wa uchukuzi kwa jina sifahamu ila nilisikia kwenye magazeti na TV kuwa YONO wastop kukamata magari na pia aliwapa kazi idara husika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa ni wapi naweza kupata viwanja vilivyopimwa hapa Dar es Salaam. Asanteni
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu wanajamii,kwa kifupi nategemea kupata mkopo toka Bank moja hapa Dar essalaam kwa kuweka nyumba yangu kama collateral(security). original business idea ilikuwa ni kufungua nursary ambayo...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
WAFANYAKAZI wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) leo wanameandamana na kumtaka mwajiri wao kukitambua chama cha wafanyakazi wa Migodi, nishati na ujenzi (Tamico) ikiwa ni pamoja na kuunda tume...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari Poleni na shughuli za kulijenga and kulikomboa Taifa la Tanzania kutoka katika mikono isiyo salama. Kuna tatizo ambalo nimeliona majuzi wakati nikiwa katika shughli zangu za utafiti wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wanandugu nimeamua kulima alizeti katika kiwango kidogo (ekari 5) kwa majaribio katika maeneo ya Fukayosi- Bagamoyo. sasa kwa sababu alizeti zina maua mengi naona ni vema niyatumie kwa ajili ya...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, amesema kuwa wajasiriamali wanapaswa kuwa na wazo la biashara kabla ya kukopa fedha. Alisema hali hiyo huwafanya wajasiriamali hao...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wajameni, habarini za mchana/asubuhi/usiku etc. Katika kipindi cha sabasaba nilishawahi kusikia kama kuna machine fulani za kichine za kukamulia mafuta ya alizeti, sijajua kama ni za kichina au...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Wabunge waulipua uongozi wa ATC Thursday, 24 March 2011 20:06 newsroom *Wadai unanuka rushwa, siasa * Ina ndege moja...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
PAYE imekuwa mrija unaotumika kutudidimiza wafanyakazi. Viwango ni vikubwa mno. Je, wabunge wanalipa? Naomba kujulishwa.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Tutapona kweli na kama tukipona kuna kitu kina yakhe tutaambulia au tutaishia tuu kama tulivyofanyiziwa kwenye dhahabu? Dar to Start Petroleum Exploitation in 2012 East African Business Week...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
March 25, 2011 Uranex, an Australia-based uranium exploration company, will soon start a 6,000m drilling program at its 100% owned Mkuju uranium project, in southern Tanzania. This 2011...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Zitto team moves to secure Sh19bn By Florence Mugarula and Frank Kimboy The Citizen Reporters Dar es Salaam. A parliamentary committee yesterday reversed a government decision, which the...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Serikali yatua rasmi Fidelis Butahe SERIKALI imesema haiwezi kutoa fedha za kusaidia uendeshaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) na badala yake, inatafuta mwekezaji wa kuliendesha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
JamANI MWENZENU NAHITAJI MSAADA WENU KUHUSU SWALA LA KULINK TEMBOVISA CARD KWA PAYPAL. KatikA KIPENGELE CHA KUVERIFY BANK A/C KUNA SEHEM WANAULIZIA BANK ROUTING NUMBERS. Je ni namba gani hizo na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakati Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), wameitaka Serikali kufunga viwanja vya ndege vilivyojengwa katika maeneo ya migodi kwa kuwa vinatumiwa na wawekezaji...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakati Pension Funds zingine zikiwa hazina Investment Policies zinayoeeleweka, NSSF on the other hand wameamua kwenda Kivyao na sasa wanaingia officially kwenye biashara ya investment ya Kuwa...
0 Reactions
134 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…