Ndugu wanajamii,kwa kifupi nategemea kupata mkopo toka Bank moja hapa
Dar essalaam kwa kuweka nyumba yangu kama collateral(security).
original business idea ilikuwa ni kufungua nursary ambayo baadaye inge turn into
secondary school.Lakini kwa mtazamo wa haraka,naona kama hii biashara yahitaji
mtaji mkubwa kuweza kuwa na shule ya kiwango cha juu-kusurvive competition.Na kwa upande mwingine shule binafsi zimekuwa nyingi sana na serikali inazidi kujenga shule za kata.Nikiangalia mbele naona giza kwa watu wenye mitaji midogo na hasa baada ya watu wenye uwezo kuanza kuwekeza kwenye mashule na huku maisha ya working class yakizidi kuwa magumu siku baada ya siku.
Aina ya biashara isiwe NAFAKA wala HARDWARES(vifaa vya ujenzi).
Ombi langu ni: wapi naweza ku invest hii pesa? Location -Dar.
Hiyo investment naomba iwe ni yenye turnover kubwa ili niweze kulipa
mkopo ndani ya miaka miwili au tatu kuepuka riba kubwa ya Miaka 5.
Natanguliza shukrani,kwa msaada wowote wa kimawazo.
Davidson!!
Dar essalaam kwa kuweka nyumba yangu kama collateral(security).
original business idea ilikuwa ni kufungua nursary ambayo baadaye inge turn into
secondary school.Lakini kwa mtazamo wa haraka,naona kama hii biashara yahitaji
mtaji mkubwa kuweza kuwa na shule ya kiwango cha juu-kusurvive competition.Na kwa upande mwingine shule binafsi zimekuwa nyingi sana na serikali inazidi kujenga shule za kata.Nikiangalia mbele naona giza kwa watu wenye mitaji midogo na hasa baada ya watu wenye uwezo kuanza kuwekeza kwenye mashule na huku maisha ya working class yakizidi kuwa magumu siku baada ya siku.
Aina ya biashara isiwe NAFAKA wala HARDWARES(vifaa vya ujenzi).
Ombi langu ni: wapi naweza ku invest hii pesa? Location -Dar.
Hiyo investment naomba iwe ni yenye turnover kubwa ili niweze kulipa
mkopo ndani ya miaka miwili au tatu kuepuka riba kubwa ya Miaka 5.
Natanguliza shukrani,kwa msaada wowote wa kimawazo.
Davidson!!