Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,458
Wajameni, habarini za mchana/asubuhi/usiku etc. Katika kipindi cha sabasaba nilishawahi kusikia kama kuna machine fulani za kichine za kukamulia mafuta ya alizeti, sijajua kama ni za kichina au zinatengenezwa hapahapa kwetu tz....nina uhitaji sana na machine ya aina hii, naomba kama kuna mtu mwenye fununu wa wapi na namna nitakavyoipata, aniambie wapi niipate please!
Natafuta ile ya small scale production ambayo haiwezi kuleta complications sana wakati wa kuitengeneza kama ikikorofisha, so iwe kidogo ile ndogo ambayo naweza kuweka nyumbani kwangu kwenye chumba kimoja au viwili na kufanya kazi....kwa mwenye fununu na hili, wapi wanauza etc, nitashukuru kama atanitaarifu kwa hapa....asanteni.
Natafuta ile ya small scale production ambayo haiwezi kuleta complications sana wakati wa kuitengeneza kama ikikorofisha, so iwe kidogo ile ndogo ambayo naweza kuweka nyumbani kwangu kwenye chumba kimoja au viwili na kufanya kazi....kwa mwenye fununu na hili, wapi wanauza etc, nitashukuru kama atanitaarifu kwa hapa....asanteni.