Inashangaza waziri mkuu anapotoa tamko harafu linashindwa kutekelezwa , katika ziara aliyofanya mkoani kagera alikemea kupanda kwa bei ya sukari ukizingatia kunakiwanda 70km kutoka bukoba...
Hi Members!
I'd be interested to supply schools, especially secondary schools with lab equipments and chemicals that students use in their chemistry lessons. anyone interested especially...
Moja ya vitu ambavyo ni kikwazo kikubwa kwa mtu kufikia mafanikio yake au ndoto na maono WOGA (FEAR FOR CRITICISM) ni namba moja.
Woga ni adui mkubwa sana wa kuifikia ndoto/maono zetu, Ni...
nafikiria kuagiza hii nimeambiwa bei zimeshuka...na naipenda kuliko VOGUE (kubwa na ile sport)
sasa maswali:
1. niagize wapi kati ya Dubai, South Africa, Japan au Europe?
2. please advise...
SASA TUNAANZA KUVUNA TULICHOPANDA KWA KUTUMIA GHARAMA KUBWA SANA WAKATI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI NA MAMBO YA KISIASA.
"..I feel we support some countries that really dont give a shit about their...
Wadau! Habari zimezagaa mjini kuwa, Kuna dalili zote za kutokea mgomo mkubwa ndani ya NBC Bank, ile bank iliobinafsishwa kwa makaburu kwa bei ya chee, sasa kuna mgomo baridi, wafanyakaz...
Wakati serikali yetu ya Tanzania ikiwa haijiwezi hata kujitosheleza kwa bajeti ya mwaka mmoja, huku mkwere akiwa anachanja anga kila kukicha na mawaziri wake wakiwa kwenye mizunguko isiyoisha...
Hivi ni kweli benki hii inawakopesha fedha za kufanyia kazi bila dhamana kwa suppliers wenye L.P.O Kutoka Serikalini au Makampuni ya uhakika Waislamu kuliko Wakristu eti kwasababu waislamu ni...
Mimi naona tumechelewa kuifanya michezo kuwa ni ajira. Tunayo michezo mingi tu ambayo ikifanyiwa kazi na wataalam wetu ikawa ya Kitaifa kwanza halafu ikaanza kusambaa taratibu nchi za jirani na...
Mimi ni mteja wa Kampuni hiyo ya simu toka iingie nchini kama Celtel, Zain na sasa Airtel lakini hakuna wakati niliokwazwa nao kama safari hii wanapojiita Airtel.
Nilianza kukwazwa na tangazo...
Wana JF habarini za majukum? Mie mwenzenu niko njia panda nahitaji msaada wenu wa mawazo nataka kununua gari je kuagiza kati ya Dubai na Japan wapi kuna unafuu kwa maana ya kupata gari nzuri na...
Wana JF,
Naombeni msaada na mnishauri,
Nataka Kununua Gari ktk Survey yangu nimekuta gari mbili,
Ya kwanza
CIF 6790 ni gari ya Mwaka 1998
Ya pili ni
CIF USD 9800 ni gari ya mwaka...
Jamani hebu tusaidiane hilim limachinga complex lini litaanza kazi yake?
Naninani alitoa wazo la hili complex?
Nadhani ni pesa nyingi zimetumika, sasa serikali huu mradi vipi?
Nimewaza...
nakumbuka waziri ngeleja aliwahi kusema mgodi umerejeshwa serikalini kumbe ni uongo!mgodi upo chini ya ufilisi wa crdb,pspf,nssf jumla 29bilion wanadaiwa kiwira coal and power project!source...
Jamani wadau kwa utafiti nilioufanya, tangu CHADEMA wafanye maandamo ya nguvu huku kanda ya ziwa na kulalamikiwa na viongozi wa serikali na baadhi ya wanasiasa uchwaraa, sijaona hata kituo kimoja...
Jana nilimtuma kijana akanunue LUKU ya Tsh. 12,000/= hapo maeneo ya Science.
Cha ajabu kaja na Unit 45 tu. Nilipochunguza, nikagundua units hizo chache zimesababishwa na mlundikano wa kodi...
WAKATI SISI BADO TUKO KWENYE POROJO
NA HII NCHI YA MAANDAZI ECONOMY....TAZAMENI WANIGERIA......
World's
Billionaires
Forbes 400 Richest Americans
World's Most Powerful People
America's Best...
Firm starts phase 1 of exploration in Tanzania Send to a friend Thursday, 10 March 2011 21:59
Vancouver. A mining exploration company, the Tanzania Minerals Corp, has started drilling its 100...
"..I feel we support some countries that really dont give a shit about their own people.." - Sjoera Dikkers (MP)
The Netherlands wants to terminate its development cooperation with 15 countries...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.