Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Inashangaza waziri mkuu anapotoa tamko harafu linashindwa kutekelezwa , katika ziara aliyofanya mkoani kagera alikemea kupanda kwa bei ya sukari ukizingatia kunakiwanda 70km kutoka bukoba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hi Members! I'd be interested to supply schools, especially secondary schools with lab equipments and chemicals that students use in their chemistry lessons. anyone interested especially...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Moja ya vitu ambavyo ni kikwazo kikubwa kwa mtu kufikia mafanikio yake au ndoto na maono WOGA (FEAR FOR CRITICISM) ni namba moja. Woga ni adui mkubwa sana wa kuifikia ndoto/maono zetu, Ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nafikiria kuagiza hii nimeambiwa bei zimeshuka...na naipenda kuliko VOGUE (kubwa na ile sport) sasa maswali: 1. niagize wapi kati ya Dubai, South Africa, Japan au Europe? 2. please advise...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
SASA TUNAANZA KUVUNA TULICHOPANDA KWA KUTUMIA GHARAMA KUBWA SANA WAKATI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI NA MAMBO YA KISIASA. "..I feel we support some countries that really don’t give a shit about their...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau! Habari zimezagaa mjini kuwa, Kuna dalili zote za kutokea mgomo mkubwa ndani ya NBC Bank, ile bank iliobinafsishwa kwa makaburu kwa bei ya chee, sasa kuna mgomo baridi, wafanyakaz...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kutakuwa na kipindi maalum leo cha wafanyakazi watanesco kuzungumzia dowans tukipata muda tukichungulie. 3:15usiku
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakati serikali yetu ya Tanzania ikiwa haijiwezi hata kujitosheleza kwa bajeti ya mwaka mmoja, huku mkwere akiwa anachanja anga kila kukicha na mawaziri wake wakiwa kwenye mizunguko isiyoisha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi ni kweli benki hii inawakopesha fedha za kufanyia kazi bila dhamana kwa suppliers wenye L.P.O Kutoka Serikalini au Makampuni ya uhakika Waislamu kuliko Wakristu eti kwasababu waislamu ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi naona tumechelewa kuifanya michezo kuwa ni ajira. Tunayo michezo mingi tu ambayo ikifanyiwa kazi na wataalam wetu ikawa ya Kitaifa kwanza halafu ikaanza kusambaa taratibu nchi za jirani na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni mteja wa Kampuni hiyo ya simu toka iingie nchini kama Celtel, Zain na sasa Airtel lakini hakuna wakati niliokwazwa nao kama safari hii wanapojiita Airtel. Nilianza kukwazwa na tangazo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana JF habarini za majukum? Mie mwenzenu niko njia panda nahitaji msaada wenu wa mawazo nataka kununua gari je kuagiza kati ya Dubai na Japan wapi kuna unafuu kwa maana ya kupata gari nzuri na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF, Naombeni msaada na mnishauri, Nataka Kununua Gari ktk Survey yangu nimekuta gari mbili, Ya kwanza CIF 6790 ni gari ya Mwaka 1998 Ya pili ni CIF USD 9800 ni gari ya mwaka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani hebu tusaidiane hilim limachinga complex lini litaanza kazi yake? Naninani alitoa wazo la hili complex? Nadhani ni pesa nyingi zimetumika, sasa serikali huu mradi vipi? Nimewaza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nakumbuka waziri ngeleja aliwahi kusema mgodi umerejeshwa serikalini kumbe ni uongo!mgodi upo chini ya ufilisi wa crdb,pspf,nssf jumla 29bilion wanadaiwa kiwira coal and power project!source...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani wadau kwa utafiti nilioufanya, tangu CHADEMA wafanye maandamo ya nguvu huku kanda ya ziwa na kulalamikiwa na viongozi wa serikali na baadhi ya wanasiasa uchwaraa, sijaona hata kituo kimoja...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Jana nilimtuma kijana akanunue LUKU ya Tsh. 12,000/= hapo maeneo ya Science. Cha ajabu kaja na Unit 45 tu. Nilipochunguza, nikagundua units hizo chache zimesababishwa na mlundikano wa kodi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
WAKATI SISI BADO TUKO KWENYE POROJO NA HII NCHI YA MAANDAZI ECONOMY....TAZAMENI WANIGERIA...... World's Billionaires Forbes 400 Richest Americans World's Most Powerful People America's Best...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Firm starts phase 1 of exploration in Tanzania Send to a friend Thursday, 10 March 2011 21:59 Vancouver. A mining exploration company, the Tanzania Minerals Corp, has started drilling its 100...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
"..I feel we support some countries that really don’t give a shit about their own people.." - Sjoera Dikkers (MP) The Netherlands wants to terminate its development cooperation with 15 countries...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom